Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi piga mmoja pale kati kati ya segera na mombo usuku wa saa 7 unusu hivi namwahisha mkuu wangu kwenye mkutano arusha aicc sikushika break wala nini na nikapita fresh tuu ila nilienda mbele kabisa kusimama natoka nje nakagua gari sikuona chochote tukaendelea na safari yetu.Hii picha inasambaa kwenye magroup ya madereva. Kuna dereva mmoja kakutana na hii kitu akiwa safarini.
Mimi kuna siku natoka Tunduma kuja Mbeya nipo kwenye costa siti ya mbele SAA sita mchana jua Kali ghafla kwenye pori kaibuka mtoto miaka 5-7 kakatisha barabara dereva akamkwepa tukayumba sana ila hatukupinduka. Swali la abiria yale maeneo hakuna nyumba hata ya nyasi mtoto anatokea wapi?
Kila mtu akaanza kuomba dua yake.
View attachment 1781704
Mkuu huu ni oungo mtupu ni eneo gani Iringa mikumi unaweza kutembea 150km/hr Hilo la kwanza.Kuna jamaa yangu ilimkuta hii akielekea Mikumi kutokea Iringa,alitokea mtu mbele akiwa kwenye speed kama 150kph usiku mkubwa,akihama upande wake na yule mtu anahama upande alikoendea,akili ya haraka ilikuwa ni kumgonga,anasema alisikia mshindo na akapita juu kwenye kioo cha mbele,hakusimama mpaka alipofika Mikumi akachukua Lodge,asubuhi akakagua gari yake hakukuta alama ya kugongwa wala damu,alipofika Dar aliuza ile gari maana alijua hayuko salama tena...
Take it or leave it...Mkuu huu ni oungo mtupu ni eneo gani Iringa mikumi unaweza kutembea 150km/hr Hilo la kwanza.
Kwa mwendo huo huwezi chezesha gari Kushoto kulia maana you only have less than sekunde tano tu. Hivyo ni uongo
Dunia ina mambo mengiMbona ni mtu kabisa huyo
Hatari sanaDar Bagamoyo saa 8 usiku unakutana na mwanamke kavaa baibui jeusi peke yake katikati ya barabara unamfanyaje huyo? kadri unavyokaribia anasogea kurudi nyuma, sisimami.
Ndg yangu alikutana na hiyo kadhia, alichofanya akazima taa na kuwasha huku akiwa speed 110 hakuna kitu, uliza madereva wanasafirisha magazeti wakupe hadithi zao, hasimami mtu iwe mbuzi au mtu, mwisho wake unakuta hujagonga chochote ni vibweka vya njiani
Mambo mengine kama huhui bora uulize kwahiyo ww ndounaupeo kuliko hao waliocoment tofauti nawwWatanzania wengi mnaamini Sana ushirikina. Ukiangalia comments hapa utajua tulivyo na upeo mdogo.
Tutambue Tanzania tunaruhusiwa kutembea muda wowote usiku na mchana, hivyo kumkuta mtu usiku njiani Wala sio kitu Cha ajabu kukufanya umgonge.
Pili Tanzania sera yetu ya kutunza wagonjwa wa akili ni mbovu Sana. Kuna kichaa anatembea eneo la hifadhi ya mikumi Sasa ukikutana nae utasema ni msukule, kumbe kichaa tu. Hivyo hivyo na vichaa sehemu zingine za nchi.
Tatu Kuna watu wanafukuzwa kwa Ndugu zao usiku wanaamua kufanya maamuzi magumu kwenda kwa Ndugu zao kwengineko tukiwakuta tunataka kuwagonga eti wanga.
Mwisho Kuna walevi ambao wkaiwa wanatembea usiku kwenye Giza linapotokea gari ule Mwanga unawasumbua na kuwafanya waweweseke, tunataka kuwagonga eti ni wanga.
By the way wanga huwezi waona, wakitaka kukumaliza watakuja Kama punda, fisi, Ngombe etc ukiwagonga shida, ukiwakwepa shida
We mgeni nn wa hiyo njia? Kuna vipande vingi tu vya kutembea speed kutoka Iringa to mikumi ila kwa uzoefu wangu havizid km 3 lazima ukutane na tuta ama kona kaliMkuu huu ni oungo mtupu ni eneo gani Iringa mikumi unaweza kutembea 150km/hr Hilo la kwanza.
Kwa mwendo huo huwezi chezesha gari Kushoto kulia maana you only have less than sekunde tano tu. Hivyo ni uongo
Kuna huyu Dereva kidogo Moyo umsimame baada ya kuona Msukule ukijichoma visu tumboni Hatari sana
Kuna kipindi huyo Dereva aliguna sasa hapo hayo yanaitwa machale kuwa huko unakoelekea kuna kitu kibayaMaigizo au kweli?
Hapana unajua issue iko hivi. Fact ni kwamba maajabu yapo na watu wote tunajua kuwa yapo ila huwa siyo rahisi sana kuyashuhudia, japo tungependa sana kuyashuhudia. Kwa hiyo huwa inatokea linapotokea tukio lenye mkanganyiko kidogo, tunalazimisha kuwa ni maajabu ili huko mbele ya maisha yetu tukajiridhishe kwa nafsi zetu kuwa na sisi angalau tulishawahi kuyashuhudia maajabu yale ambayo watu huwa wanashuhudia kuwa yapo ila hatukuwa tumewahi kuyashuhudia hapo awaliWatanzania wengi mnaamini Sana ushirikina. Ukiangalia comments hapa utajua tulivyo na upeo mdogo.
Tutambue Tanzania tunaruhusiwa kutembea muda wowote usiku na mchana, hivyo kumkuta mtu usiku njiani Wala sio kitu Cha ajabu kukufanya umgonge.
Pili Tanzania sera yetu ya kutunza wagonjwa wa akili ni mbovu Sana. Kuna kichaa anatembea eneo la hifadhi ya mikumi Sasa ukikutana nae utasema ni msukule, kumbe kichaa tu. Hivyo hivyo na vichaa sehemu zingine za nchi.
Tatu Kuna watu wanafukuzwa kwa Ndugu zao usiku wanaamua kufanya maamuzi magumu kwenda kwa Ndugu zao kwengineko tukiwakuta tunataka kuwagonga eti wanga.
Mwisho Kuna walevi ambao wkaiwa wanatembea usiku kwenye Giza linapotokea gari ule Mwanga unawasumbua na kuwafanya waweweseke, tunataka kuwagonga eti ni wanga.
By the way wanga huwezi waona, wakitaka kukumaliza watakuja Kama punda, fisi, Ngombe etc ukiwagonga shida, ukiwakwepa shida
Kama unaamini wachawi hata ukiona paka mweusi kapita utasema mchawi huyoMambo mengine kama huhui bora uulize kwahiyo ww ndounaupeo kuliko hao waliocoment tofauti naww
nakumbuka siku moja usiku tunaenda klabu na bro usiku wa saa sita njiani tukamuona dada amemshika mkono mtoto wa umri km miaka 4.Huyu atakuwa kichaa au pombe zimekubali.mzuka na camera havishikani[emoji23][emoji23].
Sema naandika huku ninaogopa.
Hiyo njiaWe mgeni nn wa hiyo njia? Kuna vipande vingi tu vya kutembea speed kutoka Iringa to mikumi ila kwa uzoefu wangu havizid km 3 lazima ukutane na tuta ama kona kali
Ukiendesha gari muda mrefu ukaona macho yanataka kufunga lazimisha next ten km. Kisha uniambie utakuwa umeona vibwengo vingapi.Hapana unajua issue iko hivi. Fact ni kwamba maajabu yapo na watu wote tunajua kuwa yapo ila huwa siyo rahisi sana kuyashuhudia, japo tungependa sana kuyashuhudia. Kwa hiyo huwa inatokea linapotokea tukio lenye mkanganyiko kidogo, tunalazimisha kuwa ni maajabu ili huko mbele ya maisha yetu tukajiridhishe kwa nafsi zetu kuwa na sisi angalau tulishawahi kuyashuhudia maajabu yale ambayo watu huwa wanashuhudia kuwa yapo ila hatukuwa tumewahi kuyashuhudia hapo awali