X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
-
- #801
jibu la tamisemi ni la msingi zaidi kuliko la humu...mimi pia ni muombaji tu ndugu yangu....ila kutokana na wasomi wengi kuwa nje ya mtandao ndio maana nikaamua nitoe msaada humu wa changamoto zinazojitokeza...ila sina sina uhusiano wowote na ofisi ya tamisemi...changamoto hizi nazitatua kutokana na utashi wangu binafsi tu.Mbna nliwapigia tamisemi kwenye namba yao ya mawasiliano wakasema inawezekana kwa degree arts kuomba EM Elimu msingi
Apo ipoje mkuu?
Haina noooma mwamba Ni ile kujuzana kinyama [emoji120][emoji120]jibu la tamisemi ni la msingi zaidi kuliko la humu...mimi pia ni muombaji tu ndugu yangu....ila kutokana na wasomi wengi kuwa nje ya mtandao ndio maana nikaamua nitoe msaada humu wa changamoto zinazojitokeza...ila sina sina uhusiano wowote na ofisi ya tamisemi...changamoto hizi nazitatua kutokana na utashi wangu binafsi tu.
mfano wa shule za sekondary kwa masomo ya sekondaryMbna ujichangua shule arts unakutana na Em elimu msingi zoote mkubwa hakuna secondary
Apo inakuwaje
Kaz tunayo mwamba nafs moja ila tupo watu 600+ duh! Tazamiamfano wa shule za sekondary kwa masomo ya sekondaryView attachment 2204827 Geography na Kiswahili
Mkuu tengeneza group la wasup me ntakuwa promota wako asee unajitoa Sana huenda huko ukawasaidia wengi zaidi katika kipindi hiki.jibu la tamisemi ni la msingi zaidi kuliko la humu...mimi pia ni muombaji tu ndugu yangu....ila kutokana na wasomi wengi kuwa nje ya mtandao ndio maana nikaamua nitoe msaada humu wa changamoto zinazojitokeza...ila sina sina uhusiano wowote na ofisi ya tamisemi...changamoto hizi nazitatua kutokana na utashi wangu binafsi tu.
Nlichokibaini kwa asilimia kubwa masomo ya Eng na History mfumo unakupeleka primary ila masomo ya geo, kisw, gs kwa asilimia kubwa mfumo unakupeleka secondary.mfano wa shule za sekondary kwa masomo ya sekondaryView attachment 2204827 Geography na Kiswahili
Naic walotegeneza mfumo hawa ku consider tangazo husika yaan ukifatilia tangazo na mfumo ka vinakizan hvNlichokibaini kwa asilimia kubwa masomo ya Eng na History mfumo unakupeleka primary ila masomo ya geo, kisw, gs kwa asilimia kubwa mfumo unakupeleka secondary.
Hata mmHivi leo system inafunguka? Manake najaribu kuingia hapa inagoma kabisa kufungua page ya kulog-in
muda huu inafungukaHata mm
muda huu saa 17 na 30 jioni inafunguka...Hivi leo system inafunguka? Manake najaribu kuingia hapa inagoma kabisa kufungua page ya kulog-in
Mie nimeomba SoMo moja tu, Biology Geography sijaliweka halikuwepo kwenye mfumo nasikia now lipo Ila sitabadilisha, kuna shidamkeka bado unazidi kusoma yani unaweza kutokwa na chozi hapo kila siku nilikuwa nafanya kazi ya kubadilisha shule...yani nimeziibadilisha hadi nimechoka....nimeamuachia Mungu atu afanye miujiza yake kwa kwakweli...sijui wenzangu mikeka yenu inasomaje....View attachment 2204979
Mie nimeomba SoMo moja tu, Biology Geography sijaliweka halikuwepo kwenye mfumo nasikia now lipo Ila sitabadilisha, kuna shidamkeka bado unazidi kusoma yani unaweza kutokwa na chozi hapo kila siku nilikuwa nafanya kazi ya kubadilisha shule...yani nimeziibadilisha hadi nimechoka....nimeamuachia Mungu atu afanye miujiza yake kwa kwakweli...sijui wenzangu mikeka yenu inasomaje....View attachment 2204979
Afu ukisha attach files, unaweza uka zi-click ili ku-verify Kama files ulizoweka Ni sahihi, inawezekana? Na hakiathiri maombi yakomkeka bado unazidi kusoma yani unaweza kutokwa na chozi hapo kila siku nilikuwa nafanya kazi ya kubadilisha shule...yani nimeziibadilisha hadi nimechoka....nimeamuachia Mungu atu afanye miujiza yake kwa kwakweli...sijui wenzangu mikeka yenu inasomaje....View attachment 2204979
shida hakuna ni maamuzi tu kikubwa umeomba kwenye level yako unayostahiki...nakutakia bahati njema tu ndugu yanguMie nimeomba SoMo moja tu, Biology Geography sijaliweka halikuwepo kwenye mfumo nasikia now lipo Ila sitabadilisha, kuna shida
ndio inawezekana hata mimi huwa naandalia mara kwa mara...japo muda mwingine mtandao ukiwa unasumbua huwa azifungukiAfu ukisha attach files, unaweza uka zi-click ili ku-verify Kama files ulizoweka Ni sahihi, inawezekana? Na hakiathiri maombi yako
Timu za kuchana mikeka zinazidi kuongezeka kila muda, hata wale waliokuwa wakijisifu wameweka timu moja tuu ya uhakika nao pia wanalia hawaelewi timu zingine zimeongezekaje ππmkeka bado unazidi kusoma yani unaweza kutokwa na chozi hapo kila siku nilikuwa nafanya kazi ya kubadilisha shule...yani nimeziibadilisha hadi nimechoka....nimeamuachia Mungu atu afanye miujiza yake kwa kwakweli...sijui wenzangu mikeka yenu inasomaje....View attachment 2204979
mkeka auchanwi...japo odd azieleweki...tunaweza kupata bonus ujue...Timu za kuchana mikeka zinazidi kuongezeka kila muda, hata wale waliokuwa wakijisifu wameweka timu moja tuu ya uhakika nao pia wanalia hawaelewi timu zingine zimeongezekaje ππ
Kwangu natumia simu,vyeti havifunguki hata tone ...nangoja ikibaki siku moja nikatymie computer nihakiki.ndio inawezekana hata mimi huwa naandalia mara kwa mara...japo muda mwingine mtandao ukiwa unasumbua huwa azifunguki