X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #601
isije ikawa unaandika mwaka huu 2022 ambao wenyewe bado awajaruhusu kuomba...ila ebu jaribu kuifunga kabisa hiyo browser kisha uilog in tena...Wakuu niko namfanyia mtu application kwa kada ya afya ila nimefika kwenye kipengele cha ( year completed ) nikijaza mwaka aliomaliza chuo inaniandikia undefined
View attachment 2201033