Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
kila chaguo unaweka na barua yake ya maombi...
Nini...!!
Kama ni ualimu itakuwa barua moja, pia kama ni afya itakuwa barua moja.
Machaguo yatakuwa zaidi ya moja(Shule kadhaa au Vituo vya Afya kadhaa)