Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Usimtumie document ndugu. Hizo ni sensitive papers mkuuUwalimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimtumie document ndugu. Hizo ni sensitive papers mkuuUwalimu
Tumia desk topView attachment 2202927wakuu nikitaka kuangalia cheti inaonyesha hivyo shida nini
Napenda wote waaply ili kila mtu apate riziki yake aliyopangiwa na Mungu. Unapowekwa kwenye compitition ndounakomaa kiakiliHadi sasa waombaji wa kada ya ualimu ni watu 89k
Mbona ww ulikuwa unaficha shule ulizoomba ili wengine wasione.? Hukujua kuna ridhiki kutoka kwa Mungu.?Napenda wote waaply ili kila mtu apate riziki yake aliyopangiwa na Mungu.
KAMA UNAJUA TAFADHALI NAKUOMBA WASAIDIE VIJANA....nimehangaika sana bila mafanikioUkishindwa wewe usiseme ni tatizo sugu. Ulizia kwa anaejua mbinu mbadala uelekezwe huwezi jua vyote kwenye hii Dunia
akili mgando hizo...nitazifanyaje...?Usimtumie document ndugu. Hizo ni sensitive papers mkuu
data sensitive hizo usiziweke humuJamani shule nilizoomba naona idadi inazidi kuwa kubwa. Mwenye ujanja wakujua shule za ndanindani vichakani huko tuambizane nifute machaguo
kwa computer ndio rahisi....
utabonyeza hapo kama picha inavyoonyesha...
View attachment 2203239
ukishabonyeza hapo itafunguka....kama kiambata kitakavyoonyesha hapo chini...kisha utabonyeza hiyo alama iliyozungushiwa duaraView attachment 2203243
utabadilisha taarifa zako kama unavyo taka kisha unasave...View attachment 2203246
au....unaingia
kwa kubonyeza kama picha inavyoonyeshaView attachment 2203249
harafu unaondoa hiyo taarifa kwa kubonyeza sehemu ya ondoa...baada ya hapo unaweka taarifa zako upyaView attachment 2203252
ukishindwa niambie haraka iwezekanavyo...ila usisahau kuwa hayo yote yanawezekana kwa urahisi ukitumia computer...kwenye simu sina uhakika
Ndo vizuri wawe wengi we unadhani ulisoma peke yakoJamani shule nilizoomba naona idadi inazidi kuwa kubwa. Mwenye ujanja wakujua shule za ndanindani vichakani huko tuambizane nifute machaguo
Weka mjini vichakani we Ni sunguraJamani shule nilizoomba naona idadi inazidi kuwa kubwa. Mwenye ujanja wakujua shule za ndanindani vichakani huko tuambizane nifute machaguo
Mjini ndousiguse kabisa mkuu, wengi wanaopangiwa town ni wenye connectionWeka mjini vichakani we Ni sungura
Au nije kwenu monduli mto wa mbuNdo vizuri wawe wengi we unadhani ulisoma peke yako
Kuna data yoyote nimeweka humu?data sensitive hizo usiziweke humu
Hahahaha dah Mkuu Mimi kwa physics day 1 kwenye machaguo ya shule ilikua hivi 1,1,1,1,1 sasahivi nikiangalia machaguo ya shule ni 5,2,2,2,5Jamani shule nilizoomba naona idadi inazidi kuwa kubwa. Mwenye ujanja wakujua shule za ndanindani vichakani huko tuambizane nifute machaguo
Ikishafikia hii hatua mfano labda Kuna sehemu unataka kuedit je inawezekana??ukisha kamilisha inajituma yenyewe...utaona imeandikwa maombi yako yamekamilika na kutumwa...kama kiambatanishi hapo chini kinavyoonyeshaView attachment 2202001
Utapata kazi mkuu!Hahahaha dah Mkuu Mimi kwa physics day 1 kwenye machaguo ya shule ilikua hivi 1,1,1,1,1 sasahivi nikiangalia machaguo ya shule ni 5,2,2,2,5
😂😂 Jamaa ulituvimbia hapa ety uko pekee yako na screenshot ukaficha shule 😂😂 na nikakuambia subiri ifike deadline ndo useme uko pekee yako, haya sasa umejua hujui 😁😁Jamani shule nilizoomba naona idadi inazidi kuwa kubwa. Mwenye ujanja wakujua shule za ndanindani vichakani huko tuambizane nifute machaguo
Hivi kwa Tamisemi wanavyopiga mkwara Kuna connection kweliMjini ndousiguse kabisa mkuu, wengi wanaopangiwa town ni wenye connection