Changamoto zilizokutana nazo katika kuanza safari yangu ya kuwa mfanyabiashara

Changamoto zilizokutana nazo katika kuanza safari yangu ya kuwa mfanyabiashara

Chief am very appreciate you very much kwa ujasiri wakiandika haya.
Kiukweli vijana wengi tunapenda maendeleo ikiwemo mimi mwenye BSc ya Eng. Am very positive na ninaweza kukubaliana na wewe, ila pengine watu hawakuelewi kwa kuwa biashara nyingi ni pasua kichwa na wengi wanafanya kwa kua angalau wanapata kidogo basi maisha yanaenda.
Mimi nilichoelewa ni kuwa kwa kuwa mtaji ulikuwepo pengine kutokana na wazazi kiwa na uwezo ndio maana umeweza kufikia hapo tofauti na sisi ambao misingi yetu ilikuwa inasikitisha (unaangalia hali ya nyumbani inabd ukabebe zege maisha yaende (very sad)) na ndio maana msingi pekee ilikuwa ni elimu.

Mm naomba usibishane na mtu wewe toa elimu wenye kuamini kama sisi tutachuja mbele kwa mbele kwakuwa hapa hatubishani tunachukua yanayofaa tuu maana wataanza kukuomba mtaji(joke)
 
Nimejibu hii mkuu. mtu anaona kabisa nimejibu ila anarudia kuuliza so huwa sirudi maana hii s business nafanya. ukikubali sawa, ukikataa sawa. tunashare ya kwetu ili tujifunze kutoka kwa watu wengine ila sio kubishana.

kuna vitu havikusaidi kitu, kama hvyo unafatilia kitu ambacho hukubaliani nacho.

kama huyo mdau amepost mada zangu, kama hujakubali, tumia muda huo fkiria mambo mengine au tafuta mada zingine.

anashangaa kuwa marekani na kuwa tanzania so unaisi haiwezekani? kwaiyo unataka tubishana, hapana
ukisoma comment za watu yan hawamin Kam mtu anaweza funga hiyo hesabu ya 90m per year kumb watu kibao wanafunga hizo hesabu na wapo hap hap Tz Kun watu ukiwambia mfano pale kariakoo Kun watu wanacheza upatu wanapokea had milioni 100 tu 200 watukubishia
 
ukisoma comment za watu yan hawamin Kam mtu anaweza funga hiyo hesabu ya 90m per year kumb watu kibao wanafunga hizo hesabu na wapo hap hap Tz Kun watu ukiwambia mfano pale kariakoo Kun watu wanacheza upatu wanapokea had milioni 100 tu 200 watukubishia
Ukweli kabisaa kariakoo mtu hiyo fikiria wauza jeans wajumla kwa siku anafungasha jeans Zaid ya elfu moja na faida yao huwa haipungui 800 kwakila jeans Sasa kwamwezi anafaifa kiasi gani nawauza nguo wengi ndo wanaonunua maghorofa ya hapo kariakoo
 
ukisoma comment za watu yan hawamin Kam mtu anaweza funga hiyo hesabu ya 90m per year kumb watu kibao wanafunga hizo hesabu na wapo hap hap Tz Kun watu ukiwambia mfano pale kariakoo Kun watu wanacheza upatu wanapokea had milioni 100 tu 200 watukubishia
Mkuu ishu niconnection tu lakini hiyo pesa inawezekana Sana tu kuipata
 
Utuelezee bas unafanya biashara gani mkuu.Mi kuajiriwa nimechoka nipate mtaji nikomae kiume aisee.Kumbe mafanikio yapo kwenye decision
Ukipata siri tuunganishe mtaji tuwe na nise mamilionea
 
Good ila pia napenda services business japo naiona inahitaji capital kubwa na akili kibwa
 
Darasa la 5?, 370m? Miaka 28? Ulianza biashara ukiwa na 24 yrs, hivyo unaingiza 93m/mwaka? Tanzania hii hii pamoja na changamoto zote? Nenda UDSM wakupe PhD uwe unafundisha vijana biashara/ujasiriliamali
Kawaida Sana,Mimi mwaka 2001 nna miaka 21, nilikuwa namiliki milioni 20 na point
 
Back
Top Bottom