Changamoto zilizokutana nazo katika kuanza safari yangu ya kuwa mfanyabiashara

Changamoto zilizokutana nazo katika kuanza safari yangu ya kuwa mfanyabiashara

Changamoto y JF kwa miaka y hv karibuni. Ukija kushea jambo kubwa la namna y kupata pesa lazima wakuzodoe.
Mpk ss naona ni bora kujipigia pesa zako kimya kimya tu.kuna cku mm nilishukiwa km mwewe kwa kifaranga hapa JF.
Toka hapo najipigia silence tu uku mambo yanaenda. Nambaya zaidi wakiona jambo ilo kwa nje utabezwa mnooo. Wakati pesa iko hapo.
Asante
 
Changamoto y JF kwa miaka y hv karibuni. Ukija kushea jambo kubwa la namna y kupata pesa lazima wakuzodoe.
Mpk ss naona ni bora kujipigia pesa zako kimya kimya tu.kuna cku mm nilishukiwa km mwewe kwa kifaranga hapa JF.
Toka hapo najipigia silence tu uku mambo yanaenda. Nambaya zaidi wakiona jambo ilo kwa nje utabezwa mnooo. Wakati pesa iko hapo.
Asante
Nimecheeeeeeeka kwa sauti sana , mpka nimeulizwa kuna nini,? Iko hivi si kuwa jf watu ni wakuzodoa tu ila ni kuwa hapa wapo watu wengi sana hivyo yawezekana lile ulisemalo walishalifanya wakashindwa hivyo wanahitaji ushaidi wa kile unasema ili kumaliza tatizo na kukuamini, maana vijana kwa sasa hamuaminiki hapa ni nyumbani usipaogope.
 
Ahsante sana mreta mada kwa muda wako. Ila ungetoa historia yako ya kibiashara toka mwanzo hadi hapo ulipo ingeeleweka zaidi kuliko kupita juu juu.
 
Hizi ngeli za kimalkia na elimu ya std 5 kwakweli zinafikirisha.....Kongole kwako mleta mada.
 
Kupata pesa nyingi ni lazima uwe mtu wa kiroho sana! Yesu alipopandishwa mlimani na shetani, alikataa pesa nyingi za shetani. Huwezi kuwa mtu wa kiroho kuliko Yesu! Naamini utajiri wa Dunia ni WA shetani.
 
Kupata pesa nyingi ni lazima uwe mtu wa kiroho sana! Yesu alipopandishwa mlimani na shetani, alikataa pesa nyingi za shetani. Huwezi kuwa mtu wa kiroho kuliko Yesu! Naamini utajiri wa Dunia ni WA shetani.
Tuzidishe kutafuta donee
 
Mkuu darasa la tano huto tukiingereza unatutoa wapi kibongo bongo hapana labda wenzetu wakenya hata ukiwa la pili ka kiingereza hakapigi chenga,tumelize kwa kusema motivasion speaker umeupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom