Nimecheeeeeeeka kwa sauti sana , mpka nimeulizwa kuna nini,? Iko hivi si kuwa jf watu ni wakuzodoa tu ila ni kuwa hapa wapo watu wengi sana hivyo yawezekana lile ulisemalo walishalifanya wakashindwa hivyo wanahitaji ushaidi wa kile unasema ili kumaliza tatizo na kukuamini, maana vijana kwa sasa hamuaminiki hapa ni nyumbani usipaogope.Changamoto y JF kwa miaka y hv karibuni. Ukija kushea jambo kubwa la namna y kupata pesa lazima wakuzodoe.
Mpk ss naona ni bora kujipigia pesa zako kimya kimya tu.kuna cku mm nilishukiwa km mwewe kwa kifaranga hapa JF.
Toka hapo najipigia silence tu uku mambo yanaenda. Nambaya zaidi wakiona jambo ilo kwa nje utabezwa mnooo. Wakati pesa iko hapo.
Asante
Maujanja ya Roho, lazima awe nayo wewe. Kupata pesa nyingi lazima uwe MTU wa Kiroho sanaHongera! Ila sema kweli, huna maujanja mengine ya ulimwengu wa roho??
Sent using Jamii Forums mobile app
Unga wa ufukwe huo mkuu😂Kuwa specific tuelekeze ni biashara gani unaingiza 93m kwa mwaka,ndo tatizo letu sisi wabongo hatupeani muongozo
Tuzidishe kutafuta doneeKupata pesa nyingi ni lazima uwe mtu wa kiroho sana! Yesu alipopandishwa mlimani na shetani, alikataa pesa nyingi za shetani. Huwezi kuwa mtu wa kiroho kuliko Yesu! Naamini utajiri wa Dunia ni WA shetani.
madem😂😂🤣Ahahaha,Kaka biashara zina changamoto Sana, hapo ukihadithiwa mapitio yake Ni hatari,