Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Mnaachaje kujiongeza kimbiji kule wakuu?
Mkuu balaa.. ndio namalizia kibanda changu yaani nawaza balaa😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu balaa.. ndio namalizia kibanda changu yaani nawaza balaa😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Zingiziwa unapita Chanika,kwa hiyo nauli inaweza kuongezeka kidogo.
Lakini hata ukienda Kariakoo mpaka Zingiziwa,Kibaha ni mbali zaidi
Kibaha ni 21 miles.
Can you believe it?
Siku moja nimekwenda kwa mguu mpaka Kibaha na kurudi kwa mguu.
Nilifika nyumbani saa tano usiku.
Chanika nimekwenda kwa mguu two or three or four times.
Lakini usually nilikuwa napenda sana kutembea kutoka Chanika mpaka Gongs.
Siku moja nimepishana na Makamu wa Rais,msafara wake pale Pugu anaelelea Kisarawe.
Nimeenda Zingiziwa siku moja kwa mguu kutoka Taliani.
Nikarudi kwa daladala.
Sasa konda ananiuliza"Mzee unakwenda wapi, Kariakoo?"
Wale abiria wanamwambia,"Huyu anashuka Taliani"
St anno amekuwa na attitude mbaya na hizo wilaya. Hajawahi kuiona kijichi huyuHizo sehemu ukiwa mpenda utulivu na maendeleo huwezi kukaa
Maana hata hao maskini wenye nyumba chumba kimoja na sebule ambayo hawajaimaliza wakimuona mwenzao mwenye nyumba size hiyo hiyo katoboa mpaka plaster wanamchawia,sasa uende wewe ukajenge mansion na fence juu,hamtaelewana wanaweza hata wakakuuwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu unatembea kwa kupenda au ni ugumu wa maisha?
Kimbiji ni balaa lingine nina plot kule chaurembo aisee nauli 2700 kutoka ferryMnaachaje kujiongeza kimbiji kule wakuu?
Kwan kuna Lami?Kimbiji ni balaa lingine nina plot kule chaurembo aisee nauli 2700 kutoka ferry
kumbe na wewe upo vzrKuna manzi ilikua pale Nguvukazi dispensary.
hukupoteza nauli kweli mkuu?Zingiziwa unapita Chanika,kwa hiyo nauli inaweza kuongezeka kidogo.
Lakini hata ukienda Kariakoo mpaka Zingiziwa,Kibaha ni mbali zaidi
Kibaha ni 21 miles.
Can you believe it?
Siku moja nimekwenda kwa mguu mpaka Kibaha na kurudi kwa mguu.
Nilifika nyumbani saa tano usiku.
Chanika nimekwenda kwa mguu two or three or four times.
Lakini usually nilikuwa napenda sana kutembea kutoka Chanika mpaka Gongs.
Siku moja nimepishana na Makamu wa Rais,msafara wake pale Pugu anaelelea Kisarawe.
Nimeenda Zingiziwa siku moja kwa mguu kutoka Taliani.
Nikarudi kwa daladala.
Sasa konda ananiuliza"Mzee unakwenda wapi, Kariakoo?"
Wale abiria wanamwambia,"Huyu anashuka Taliani"
VumbiKwan kuna Lami?
Mkuu hii mada tukiiweka kwa muktadha kwamba tubishane mimi nitakuachia ushindi.Huwezi kufananisha na kibaha mzee, kuna haja watu washuke kuchimba dawa kama gari itatokea kariakoo utake usitake
Vumbi
Kula kuna tathmini tayariSehem nyingi kigamboni nauli iko juu shaur hiyo. Although haijatathiminiwa bado au vipi? Mbon inafanana na kule pemba mnazi
Kipawa ndo nashindaga mm kila siku.. kutoka posta kwenda kipawa haifiki 30 min. Wewe kweli unataka tushindane.. na mm ndo kinachoniweka mjini hiko! Nakuagizia popcorn hapaMkuu hii mada tukiiweka kwa muktadha kwamba tubishane mimi nitakuachia ushindi.
Lakini ukweli mtu anayetoka lets say Posta kupandisha Kibaha humfananishi na anayeenda Chanika,akikamata Mwendokasi mpaka Mbezi ni 40min Mbezi akikamata coaster mpaka Kibaha hazizidi 25 to 30 minutes sasa muda huo anayeenda Chanika kama kasogea sana atakuwa yupo Kipawa,well kinachowabeba watu wa Morogoro road ni Mwendokasi but still Chanika hata huo Mwendokasi wa G/Mboto ukianza bado patakuwa mbali
na foleni pale airport duhMkuu hii mada tukiiweka kwa muktadha kwamba tubishane mimi nitakuachia ushindi.
Lakini ukweli mtu anayetoka lets say Posta kupandisha Kibaha humfananishi na anayeenda Chanika,akikamata Mwendokasi mpaka Mbezi ni 40min Mbezi akikamata coaster mpaka Kibaha hazizidi 25 to 30 minutes anashuka Kibaha sasa muda huo anayeenda Chanika kama kasogea sana atakuwa yupo Kipawa,well kinachowabeba watu wa Morogoro road ni Mwendokasi but still Chanika hata huo Mwendokasi wa G/Mboto ukianza bado patakuwa mbali
Kweli mbali sasa. Kumbe mwasonga bado tuko mjini aseeKula kuna tathmini tayari
Yeah Kijichi kule watu wanaishi lakini Chanika wengi ni wale tunaoishi tukingoja siku zetu tutwaliwe.St anno amekuwa na attitude mbaya na hizo wilaya. Hajawahi kuiona kijichi huyu
Una maanisha hawa vijana wa Gen Z nao wataulizwa na wajukuu zao kuwa "ulikua wapi wakati chanika maeneo yanauzwa 2m kiwanja??"Sasa hv wanachekwa
Miaka 20 ijayo wakianza kuuza maeneo yao 200mil
Chanika nina dada'angu mpaka leo hatuongei vizuri harusi yake ilifanyika huko na mimi niliteuliwa kama mtoa neno wa familia nikaondoka Kariakoo saa tisa kipindi hicho Chanika mgeni nikijua nitawahi.na foleni pale airport duh
Inaonesha watu wa humu mnapemda sana low density areas. Maeneo mengi yanayouzwa bei rahisi yani 1m to 3m hayafai kuwa low density mana kipande kidogo cha eneo kina watu kibao. Miguu 15 mpaka 20. Hili jambo haliwez kuingiliwa hata na mipango miji mana wauzaji ni wazawaYeah Kijichi kule watu wanaishi lakini Chanika wengi ni wale tunaoishi tukingoja siku zetu tutwaliwe.
Nimewahi kufika mara moja 2020 Kijichi ina hadhi ya kuitwa makazi ya watu.