Chanika ni kama unaenda mkoa mwingine

Chanika ni kama unaenda mkoa mwingine

Zingiziwa unapita Chanika,kwa hiyo nauli inaweza kuongezeka kidogo.
Lakini hata ukienda Kariakoo mpaka Zingiziwa,Kibaha ni mbali zaidi
Kibaha ni 21 miles.
Can you believe it?
Siku moja nimekwenda kwa mguu mpaka Kibaha na kurudi kwa mguu.
Nilifika nyumbani saa tano usiku.
Chanika nimekwenda kwa mguu two or three or four times.
Lakini usually nilikuwa napenda sana kutembea kutoka Chanika mpaka Gongs.
Siku moja nimepishana na Makamu wa Rais,msafara wake pale Pugu anaelelea Kisarawe.
Nimeenda Zingiziwa siku moja kwa mguu kutoka Taliani.
Nikarudi kwa daladala.
Sasa konda ananiuliza"Mzee unakwenda wapi, Kariakoo?"
Wale abiria wanamwambia,"Huyu anashuka Taliani"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hizo sehemu ukiwa mpenda utulivu na maendeleo huwezi kukaa

Maana hata hao maskini wenye nyumba chumba kimoja na sebule ambayo hawajaimaliza wakimuona mwenzao mwenye nyumba size hiyo hiyo katoboa mpaka plaster wanamchawia,sasa uende wewe ukajenge mansion na fence juu,hamtaelewana wanaweza hata wakakuuwa
St anno amekuwa na attitude mbaya na hizo wilaya. Hajawahi kuiona kijichi huyu
 

Attachments

  • 20240626_161502.jpg
    20240626_161502.jpg
    804.3 KB · Views: 3
Zingiziwa unapita Chanika,kwa hiyo nauli inaweza kuongezeka kidogo.
Lakini hata ukienda Kariakoo mpaka Zingiziwa,Kibaha ni mbali zaidi
Kibaha ni 21 miles.
Can you believe it?
Siku moja nimekwenda kwa mguu mpaka Kibaha na kurudi kwa mguu.
Nilifika nyumbani saa tano usiku.
Chanika nimekwenda kwa mguu two or three or four times.
Lakini usually nilikuwa napenda sana kutembea kutoka Chanika mpaka Gongs.
Siku moja nimepishana na Makamu wa Rais,msafara wake pale Pugu anaelelea Kisarawe.
Nimeenda Zingiziwa siku moja kwa mguu kutoka Taliani.
Nikarudi kwa daladala.
Sasa konda ananiuliza"Mzee unakwenda wapi, Kariakoo?"
Wale abiria wanamwambia,"Huyu anashuka Taliani"
hukupoteza nauli kweli mkuu?
 
Huwezi kufananisha na kibaha mzee, kuna haja watu washuke kuchimba dawa kama gari itatokea kariakoo utake usitake
Mkuu hii mada tukiiweka kwa muktadha kwamba tubishane mimi nitakuachia ushindi.

Lakini ukweli mtu anayetoka lets say Posta kupandisha Kibaha humfananishi na anayeenda Chanika,akikamata Mwendokasi mpaka Mbezi ni 40min Mbezi akikamata coaster mpaka Kibaha hazizidi 25 to 30 minutes anashuka Kibaha sasa muda huo anayeenda Chanika kama kasogea sana atakuwa yupo Kipawa,well kinachowabeba watu wa Morogoro road ni Mwendokasi but still Chanika hata huo Mwendokasi wa G/Mboto ukianza bado patakuwa mbali
 
Mkuu hii mada tukiiweka kwa muktadha kwamba tubishane mimi nitakuachia ushindi.

Lakini ukweli mtu anayetoka lets say Posta kupandisha Kibaha humfananishi na anayeenda Chanika,akikamata Mwendokasi mpaka Mbezi ni 40min Mbezi akikamata coaster mpaka Kibaha hazizidi 25 to 30 minutes sasa muda huo anayeenda Chanika kama kasogea sana atakuwa yupo Kipawa,well kinachowabeba watu wa Morogoro road ni Mwendokasi but still Chanika hata huo Mwendokasi wa G/Mboto ukianza bado patakuwa mbali
Kipawa ndo nashindaga mm kila siku.. kutoka posta kwenda kipawa haifiki 30 min. Wewe kweli unataka tushindane.. na mm ndo kinachoniweka mjini hiko! Nakuagizia popcorn hapa
 
Mkuu hii mada tukiiweka kwa muktadha kwamba tubishane mimi nitakuachia ushindi.

Lakini ukweli mtu anayetoka lets say Posta kupandisha Kibaha humfananishi na anayeenda Chanika,akikamata Mwendokasi mpaka Mbezi ni 40min Mbezi akikamata coaster mpaka Kibaha hazizidi 25 to 30 minutes anashuka Kibaha sasa muda huo anayeenda Chanika kama kasogea sana atakuwa yupo Kipawa,well kinachowabeba watu wa Morogoro road ni Mwendokasi but still Chanika hata huo Mwendokasi wa G/Mboto ukianza bado patakuwa mbali
na foleni pale airport duh
 
na foleni pale airport duh
Chanika nina dada'angu mpaka leo hatuongei vizuri harusi yake ilifanyika huko na mimi niliteuliwa kama mtoa neno wa familia nikaondoka Kariakoo saa tisa kipindi hicho Chanika mgeni nikijua nitawahi.

Barabarani foleni changanya na umbali nilifika ukumbini nikakuta wanakula tena na chakula nikakosa,mimi mtu anaeishi Chanika namuheshimu wale wana uvumilivu wa kipekee.
 
Yeah Kijichi kule watu wanaishi lakini Chanika wengi ni wale tunaoishi tukingoja siku zetu tutwaliwe.

Nimewahi kufika mara moja 2020 Kijichi ina hadhi ya kuitwa makazi ya watu.
Inaonesha watu wa humu mnapemda sana low density areas. Maeneo mengi yanayouzwa bei rahisi yani 1m to 3m hayafai kuwa low density mana kipande kidogo cha eneo kina watu kibao. Miguu 15 mpaka 20. Hili jambo haliwez kuingiliwa hata na mipango miji mana wauzaji ni wazawa

Kwa muktadha huu, jiji linataka liw na watu wa kipato cha kati na juu pekee. Hii ni mitazamo ya kibepari, so toa neno "hadhi" weka neno lingine
 
Back
Top Bottom