#COVID19 Chanjo ni Lazima: Hoja ya Mbowe ina Mashiko

EEti Chairman Mao?🀣🀣🀣 Yule mchina aliacha mamilioni wanakufa kwA njaa huku yy akizunguka nchi na pleasure squad iliyoundwa na vigori
 
EEti Chairman Mao?🀣🀣🀣 Yule mchina aliacha mamilioni wanakufa kwA njaa huku yy akizunguka nchi na pleasure squad iliyoundwa na vigori

Akili za kuambiwa changanya na za kwako:


Usipofanya hivyo ukiitwa kichwa panzi usijesema umetukanwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!
 
Nonsense!

Umeulizwa nchi gani inalazimisha chanjo?

Umebaki kuhara tu.... manenoo meeengii... upuuzi mtupu!
 
Msikilize Chairman Mao kuanzia dakika ya 6 hapo. Kwanza anadanganya kusema kwenye nchi za wenzetu chanjo ni lazima, nchi gani hizo?

Hahaha!

Mkuu, ni kweli haufahamu kabisa kwamba kuna mataifa ambayo yana sera ya mandatory vaccination inayofahamika duniani kote?

Ni kwamba haufahamu kabisa kuhusu sera ya afya ya chanjo ya lazima ama unafanya mzaha tu?
 
Watu wanaogopa kufa ilhali wanajua watakufa.
Na wapo walochanjwa na bado wamekufa kwa mambo mengine
 
Watu wanaogopa kufa ilhali wanajua watakufa.
Na wapo walochanjwa na bado wamekufa kwa mambo mengine
Chakula kinaliwa kila siku ingawa watu watakufa.

Watu hutibiwa hospitalini mara kwa mara ingawa watakufa.

Kifo hakiwafanyi watu wagome kula ama kwenda kutibiwa hospitalini.

Ni ujinga tu, tena wa hali ya juu ndiyo ambao unaweza kuwafanya watu wagome kula ama kutibiwa eti kwa sababu hata wakila ama kutibiwa bado watakufa.
 
Mkuu kama kula hata miti inakula,kama kutibiwa hata mimea na wanyama hutibiwa.
Kula ni nature,ila hata chanjo ni tiba.Tunachopinga ni mazingira ya chanjo hii,yaani hadi MBOWE kawa waziri wa afya
 
Mwenye AKILI TU ndio WATAMWELEWA MBOWE

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Watu wanaogopa kufa ilhali wanajua watakufa.
Na wapo walochanjwa na bado wamekufa kwa mambo mengine

Hatutaki kufa kijinga ila kufa hatuogopi:



 
Mkuu kama kula hata miti inakula,kama kutibiwa hata mimea na wanyama hutibiwa.
Kula ni nature,ila hata chanjo ni tiba.Tunachopinga ni mazingira ya chanjo hii,yaani hadi MBOWE kawa waziri wa afya

Kuna upotoshaji mkubwa wa makusudi na wenye maslahi binafsi ya kisiasa kwenye suala hili:


Hii bila kujali kuwa maisha ya watu wasio na hatia yanapotea. Mbaya zaidi wanaofanya hivi wao wako salama.

Ndiyo, ubinafsi uliopitiliza.
 
Mwenye AKILI TU ndio WATAMWELEWA MBOWE

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app

Kuna upotoshaji zaidi. Msikilize mwenyewe kuona:


Tunayoyasikia kumbe ni kelele za vyura tu.
 
Mkuu unamuonea tu,uwezo wake wa kupambanua mambo ndio ulipofikia na kwa upande ule yeye ndo akili kubwa

Hii inaitwa kisebu sebu na kiroho papo.

Tokeni Lumumba mkasome!

Hoja mkononi imewazidi kimo.
 
Mkuu tukiacha wanasiasa walazimishe masuala ya afya ndipo tunapotengeneza matatizo makubwa zaidi, ni kama Makonda alivyotaka kuwapima wanaume wa Dar Tezi dume, hiyo si sawa ! Chanjo ibaki kuwa hiari
 
Nonsense!

Umeulizwa nchi gani inalazimisha chanjo?

Umebaki kuhara tu.... manenoo meeengii... upuuzi mtupu!

Kwani mna hoja? Kumbe ungali hujaona?


Huu upumbavu wa kuja na vi ID uchwara vipya vya msimu haulipi tena:



Nendeni shule. Mnasumbuliwa na ujinga zaidi.

Rudini mkawaambie mada mkononi imewazidi kimo. Mlichokuwa mmepanga kimeparaganyika!

Habari ndiyo hiyo.
 
Naona umekubali kuwa chanjo ni hiyari
 
Mkuu tukiacha wanasiasa walazimishe masuala ya afya ndipo tunapotengeneza matatizo makubwa zaidi, ni kama Makonda alivyotaka kuwapima wanaume wa Dar Tezi dume, hiyo si sawa ! Chanjo ibaki kuwa hiari

Mkuu siasa unaiona wapi kwenye nukuu hii?



Hata hivyo nisiache kukueleza hatimaye nimekuja kufahamu kuna upotoshaji mkubwa wa makusudi kwenye aliyosema Mbowe:


Nimelazimika kuondoka uzi huo sasa baada ya kumsikiliza msemaji mwenyewe.

Hakika tuna watu waovu sana baina yetu!
 
Naona umekubali kuwa chanjo ni hiyari

Lini hatujasema hivyo?!


Uko nyuma sana ya matukio mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ !!



Someni vijana. Ni aibu kutokea kama umekurupuka kutokea chooni na suruali mkononi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…