#COVID19 Chanjo ya Corona iwe lazima kwa baadhi ya makundi yanayotoa huduma za kijamii

Tatizo CORONA haieleweki kama umechanjwa na unaambukizwa bas yawezekana virus wakafanya hiyo mutation ndan wakaja kuwa hatari zaidi ya walivyo. So bado hata chanjo iliyopo sio jibu labda ingezuia kabsa maambukizi.

Ila n mwanzo mzuri kwa kutafuta kinga, ila kulazimishana chanjo hata mm sikubali kabsaaa.
 
Okay, kumbe tatitizo ni enforcement.

Hii mbona ni rahisi. Ni kutangaza kuwa dalala zote ambazo makonda na madereva waliochanjwa zitapewa utepe maalumu na konda na dereva watavaa beji maalumu. Unahitaji siku tatu tu kwa ubora wa vifaa vya mawasiliano tulivyonavyonavyo nyakati hizi kuueleza umma na umma kukuelewa. Kwa hiyo, raia ataamua apande basi la utepe na konda na dereva mwenye beji ama la.

Kuhusu madaktari, hili pia ni rahisi, ni kuwatenga madaktari waliochajwa na ambao hawajachanjwa nao kwa kuwapa beji pia ofisi zao kuwekewa nembo. Ni mgonjwa kuamua kutibiwa na daktari yupi? Hili linawezekana, kwa sababu nina imani tuna makonda wengi na madaktari wengi wa kufanya zoezi hili.

Na hapa ndipo mtakuwa mmetekeleza eli dhana mnayoipigia upatu kila siku ya demokrasia na uhuru wa kutoa mawazo na kufanya kitu kwa utashi wako (haki za kiraia). Vinginevyo, utangaze hapa hadharani kuwa kwa sasa huna mpango tena na mambo ya demokrasia na haki za raia, bali sasa umejikita kwenye udikteta. Ha ha haaaa!

Nayaeleza haya si kwamba napinga uwepo wa chanjo na matumizi yake, bali nasisitiza uhuru wa raia wote bila kubaguana kuwa na uhuru wa kuamua kutumia aina gani ya zana kukabiliana na Covid. Na tupewe elimu ya kutosha juu ya umuhimu wa chanjo, ubora wake , madhara yake bila upendeleo. Pia tuelezwe kwa nini tunaletewa chanjo fulani, wakati chanjo nyingine tunazuiwa kuletewa.

Yangu ni hayo, Mkuu.

Nakutakia jioni njema.

Sijui kama na someka. Ukumbuke
 
Basi hiyo kazi yako ya ukonda wa daladala acha utafute kazi nyingine utakayofanyia chumbani kwako na mkeo. Nina kijana wangu hapa ana miaka 9 japo uwezekano ni mdogo, lakini anaweza kuambukizwa Korona na mtu kama wewe
Miaka 9 yupo peke yake?
Hakuna miaka 9 wengine wa kumwambukiza isipokuwa Mimi kikongwe?
Pia jiulize sababu za kuyaweka makundi hayo mbali na chanjo, ndipo utajua kuwa usalama wa chanjo hiyo Ni mdogo
Watoto wanachoma chanjo ngapi, kadhalika na wamama wajawazito, kulikoni covax!!!
 
Acha ujinga we mjinga, kwa hiyo kabla ya corona watu walikuwa hawafi?
 
Sasa kama umepata chanjo kwanini una mashaka na mimi ambaye sijachanjwa hali ya mimi siwezi kukuambukiza wewe ambaye hujac

Nyie mnaotaka kuchanjwa endeleeni kwa kadri virusi vinavyo badilika........
Very good, yaani vikibadilika wachanjwe Tena .
 
Kwa uzembe na hii mentality, lazima itakuwa wanaendelea na maisha yao kuelekea kufa kwa Korona

Kuna watu tutapata chanjo ya Corona, na wengine mtapata chinjo la Corona
Wanadamu wote njia moja, kwa hiyo wengine watapata chinjo la chanjo..
 
Sawa, acha mungu wenu awavushe salama kama alivyomvusha raisi wetu Magufuli. Anza kuimba kabisa mtakutana na Magufuli mtoni.
Tutavuka salama. Acha kuogopesha watu na kifo. Kila nafsi itaonja kifo. Jenga hoja tu usitishe watu.
 
Tatizo la chanjo ni kwamba wakichanja wengi waliokaribu nawe mkabaki wachache msiochanja ni rahisi Sana kuathirika kwakuwa hao wanakuwa wameimarisha anti-bodies zao. Hivyo unapaswa kuchagua upande walipo wengi usibaki peke yako
 
Ukiona mtu anakomalia kitu tena kwa vipropaganda vya kutia hofu...huyo ni agent wa kuzimu....666
 
Zilikuwa za majaribio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…