Mwanafalsafa
Platinum Member
- Jun 24, 2007
- 673
- 865
Wataalam wamefanya lini na wapi hiyo kazi? Yaani habari ya chanjo ndo uitafiti kwa wiki mbili hadi mwezi mmoja?Mambo mengine kwa kweli yanastaajabisha. Hivi Samia si anayo kamati yake ya wataalamu ambao ni madaktari waliofanya hiyo study? Au ulitaka umwone yeye yuko maabara anajaribia chanjo kwa watu?
Kwani tuna shida gani mpaka tuchanjwe?Hizi ni baadhi ya aina nyingine za chanjo zinazotengenezwa na makampuni na taasisi mbalimbali pamoja na nchi zitokazo;
1.Sinopharm- China
2.Sputnik V- Russia...
Hoja ni kwamba, usalama na effectiveness yake imethibitishwa na Watalaamu! Gwajima yeye ana utaalamu wowote?! Ana timu ya wataalamu waliomwelekeza huo msimamo wake?
I doubt kama una cha kunifafanulia hapa...
Angalau alichokisema kipindi hicho kilikuwa cha kitaaluma kuliko hiki cha sasa!
Mbona chanjo zile za utotoni ni karibia kila mtanzania amechanjwa
Unaandika ujinga tupu hujibu hoja zaidi ya kuonesha ushabiki wako wa kijinga kuhusu propaganda za kibeberu
Kwa hiyo ukiisha kuchanja unakuwa na hofu tena na wasiochanja, ili wakusogelee unahitaji kuona cheti chao cha chanjo siyo!
Kima mkubwa wewe
Kwahiyo wewe kuweka simulizi za kisayansi ambazo hazina scientific evidence ndo uhuru wa akili huo!Dah utumwa wa akili ni shida.
Wewe ndo hujaelewa...Naona hapo ishu ya poliovirus kusababisha polio hujaielewa vizuri, au kabisa. Yaani kwa lugha nyepesi ni kwamba ili usipate hiyo polio inayosababishwa na chanjo inabidi uchanjwe.
Ushaelewa hapo kwamba tatizo ni nini?
Hiyo ni exaggerationChanjo ya Polio ndo inaleta Polio Afrika.
Haya sio maneno yangu bali ni maneno ya WHO wenyewe. Wameandika kwenye ukurasa wao hapa, aya ya sabab kutoka juu kuwa:
Kwahiyo kile kitabu ulichotumia kama reference ya ku-support hoja yako ni kitabu kilichoandikwa na Mwafrika sio?!Yaani ni sawa na umafia (unawalipa Mafia ili wakulinde dhidi yao wenyewe); au madawa ya kulevya (dozi ya kwanza ni bure).
Utumwa wako wa fikra umeudhihirisha hapo kwenye kudhani kwamba waMarekani haohao waliotuletea UKIMWI wanaweza wakakuambia cha maana baada ya kuwa exposed. Hujiulizi tu ni kwanini waMarekani walimwaga hela nyingi sana za kupambana na UKIMWI huku kwetu.
Watu kama wewe ambao ni waumini wazuri ni shida sana kwa kweli.
Ukiona kichwa kama Magufuli anakupa warning ujue kuna vitu ameshaviona.
Vyombo vya habari ndani na nje vitakuwepo,unafikiri Mimi mtu mdogo!Sawa ukichanja utawapa wenzako mrejesho. Mimi nachanja next week.
Sawa boss.Vyombo vya habari ndani na nje vitakuwepo,unafikiri Mimi mtu mdogo !.
Kwanini miezi mitatu toka sasa Mkuu?
Nafikiri miezi mitatu ni muda unaoweza kupima utendaji wa mtu kama bado yuko vizuri.Unajua nchi yetu ya Venezuela mambo ni mengi sana wanasiasa wamewapokonya wataalamu kazi zao zote.Tulitarajia maprofesa wetu wawe mstari wa mbele kutuelimisha kwa kina na si wanasiasa kupiga chapuo la kuchanja.
Miezi mitatu tukianza kuona mtu anazidisha ukatili kama kuweka watu ndani, na kuwapakazia kesi za ugaidi basi tutajua chanjo si salama sana uenda zinaharibu akili.
🤣🤣🤣🤣🤣 Kila la heri Mkuu lakini kumbuka zimeingia doses milioni moja tu hivyo hiyo October 28 zitakuwa zimekwisha na mzigo mwingine haujulikani utawasili lini.
Ha haa! believe me mimi siyo kilaza hata kidogo. Siye yule anayesema mRNA inakwenda kubadilisha DNA.Ukiwa kilaza usidhani ni kila mtu.
Kwahiyo wewe kuweka simulizi za kisayansi ambazo hazina scientific evidence ndo uhuru wa akili huo!
Acha maneno mengi... nimekuambia weka scientific finding iliyotolewa na hicho kitabu unachosema!! In short, umeshindwa kwa sababu reference yako ni simulizi tu!!
Wewe ndo hujaelewa...
Polio inasababishwa na polio virus kama ilivyo kwa covid-19 inayosababishwa na coronavirus!! Huyu polio virus yupo pale kabla haijagunduliwa chanjo la polio!!
Lakini ingawaje polio virus anayesababisha polio is still there, sometimes mtu unaweza kupata polio baada ya kutumia chanjo ya polio, kwa sababu chanjo zingine hutengenezwa na virus, na ndivyo ilivyo kwa chanjo ya polio!!
Hata hivyo, polio unayoweza kupata kutokana na kupata chanjo ya polio ni rare, lakini wewe unataka kuaminisha watu kwamba:-
Hiyo ni exaggeration
Kwahiyo kile kitabu ulichotumia kama reference ya ku-support hoja yako ni kitabu kilichoandikwa na Mwafrika sio?!
Au nimekuwa mtumwa wa fikra baada ya kukuumbua?!
Ulikusudia kudanganya watu kwamba HIV imetokana na chanjo ya polio, na reference uliyotumia ni kitabu kisicho na any scientific evidence, na Wanasayansi wenyewe wameyatupa kapuni madai ya kitabu husika!
Ulikusaidia kudanganya watu kwamba chanjo ya polio ndo imeleta polio Afrika wakati ukweli ni kwamba polio ipo hata kabla ya kuwepo chanjo ya polio!!!
Yaani unaruka ruka huku na kule, kwa kusema uongo ili mradi tu ujaribu kutetea hoja zako zisizo na ushahidi wa kisayansi... yaani unazitetea kisa tu:-
Watu km wewe ni lost cause.
Tusipoteze muda. Maana hata uwezo wa kuelewa huna.