Kijana Msabato? Wasabato hawaaminiki. Ni dini ya Kishetani iliyojivika ngozi ya Ukristo.Mungu akubariki sana kwa ujumbe huu, kila anayemwamini Mungu asikilize na kuchukua hatua.
Akili ñusu hujaziwa kwa darasa,saidieni wadau kuwajazia wale zilizo nusu wache kutusumbuagwaj-boy akitetea hoja yake kupitia kwa kijana msabato.
utasikia hiyo ndo cha ya mpinga kristo 666...!!!
SawaHii clip imenifanya niachane na wazo la kuchanjwa tumekwisha[emoji1313][emoji1313]
ili za kuambiwa changanya na za kwako sijasemwa usichanjwe lakini usichanjwe kitu usichokijua....hii clip imenimaliza maini yote kwa huu ushahidi kuna atakayepinga?[emoji1313][emoji1313][emoji1313]View attachment 1875501
🤣🤣🤣Nimecheka sana!😂Huyu ni nani anaongea kama Mungu?
Kwanini mkuu?🤣🤣🤣Nimecheka sana!😂
Hii clip imenifanya niachane na wazo la kuchanjwa tumekwisha[emoji1313][emoji1313]
ili za kuambiwa changanya na za kwako sijasemwa usichanjwe lakini usichanjwe kitu usichokijua....hii clip imenimaliza maini yote kwa huu ushahidi kuna atakayepinga?[emoji1313][emoji1313][emoji1313]View attachment 1875501
Hapana, huyu kafafanua kivingine kabisa.gwaj-boy akitetea hoja yake kupitia kwa kijana msabato.
utasikia hiyo ndo cha ya mpinga kristo 666...!!!
Wanaendelea sana tuHakuna sehemu chanjo imetajwa kwenye hiyo video yako.
Anayeongea hajulikani ni nani, hata wewe unaweza ongea hivyo ukaweka video
Kama wazungu wangetaka kutuua wangeshafanya hivyo siku nyingi na sio kusubiri Corona vaccine