Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada.. jitahidi kuweka paragraphs.Maneno yamekuwa mengi tangu vibarazani mpaka kwa madaktari kukisia dawa ya ugonjwa unaowasumbua baadhi ya wanaume.
Waganga wa kienyeji nao wanajipatia riziki kwa kuuza dawa wanazosema zinasaidia kuongeza nguvu za kiume lakini bado tu tatizo lipo.
Mabarabarani nako utakutana na wasichana wauzaji vyakula vya asili wakisema vinarudisha hizo nguvu lakini bado tu tatizo linaendelea kusumbua.
Chanzo kikubwa cha kupungua nguvu za kiume ni wanaume kuangalia wanawake wanaotembea nusu uchi.Kwa shani yake Mwenyezi Mungu kawaumba wanawake katika maumbile mazuri sana na kuvifanya viungo vyao vivutie jicho la mtazamaji.Hakumalizia hapo akawataka viumbe wake wavae nguo ili kuvifuniko viungo hivyo ili visionekane kwa wasio waume zao.
Hata wakiwa kwa waume zao huko ndani pia wanatakiwa wasijiachie moja kwa moja.Wavae mavazi mepesi kama kwamba wanawaonea haya waume zao hao.
Athari ya wanawake kuonesha mapambo ya viungo vyao huko nje ni kuwa wanaume hata wasiopenda kuwaangalia huwa wanawaona na kugandisha sura zao akilini mwao.Wanapofika ndani badala ya kukazia kuawaangalia wake zao akili huwa zinawarudisha kule barabarani.Kwa kila uzuri alionao mke wako lazima kutakuwa na wengine uliowaona wakiwa nusu uchi wakiwa wazuri kuliko wa kwako.Mwisho wa yote matamanio yanagawnyika baina ya pale chumbani na kule barabarani.
Ukiwambia kuhusu kujistili wanawake, wagalatia wataanza kutukana waislamZamani nilikuwa nikiwa nakuwa nikiwa kijana nilikuwa nikiona pingili za mwanamke baina ya mguu na goti nilikuwa naona ni sehemu ya tupu yake ila siku siku hizi nishazoea maana kuna vitu kuzuia macho kuona labda utafute dunia yako, huwa najiulizaga Mme anatoka na mke, mke kijimstari baina ya manyonyo mawili kinaonekana, yaani maungo yake mengi yapo wazi wazi huwa nafikiria sjui ni wanaume wa aina gani hawa
Lakini tusilaumu nguvu za kiume wala wala wanawake tujilaumu sisi wenyewe, ni Mara ngapi tukileta Sera za kujistiri humu(even kisabato type, maana wengi wakisikia neno stara wanazani tunataka kuwasilimisha au kuwavalisha shungi) mnatupiga mawe mnasema tamaduni za middle east na matusi kama yote??
Look!
Nakumbuka miaka ya bongo fleva ya wabana kuanza (let say 1999 mpaka 2007) wale mabinti Wa kwenye video zao walikuwa wakivaa suruali, vijinguo vile vya kuacha mgongo wazi ila kifua kimefunikwa, na min skirt, hawakuwahi kuacha maumbile yao wazi ila wazee wetu walikuwa wakipiga kelele wakidai ni uhuni, believe me sasa hivi ukiangalia zile video(the flash back) utaona wale walikuwa na adabu na hofu ya mungu kidogo hahahah, now days mmmmh ni uchi uchi vichupi chupi ko ni kweli vile vitu sio vya kuona Mara kwa Mara ukavizoea, hutakiwi kuvizoea unatakiwa kila ukiviona unastuka lakini sasa hivi ukitoka nyuki na kariakoo utaona kwa tani yako
Magonjwa gani ?Huo ni uongo mtupu, tena ni ujinga kuamini hayo maupupu uliyoandika.
Tangu enzi ya uumbaji Mungu aliumba viumbe woote wakiwa uchi na utupu. Mavazi na makorokoro mengine vimekuja baada ya dhambi kuingia.
Ndio maana mpaka leo mwanamke wa kiafrika bado yuko uchi wakati wa kunyonyesha.
Leo hii sisi waafrika tunajifanya tuko uchi ety wastaarabu! 🥱
Wakati mavazi yenyewe wametuletea wazungu juzi tu hapa.
Tumesahau kuwa asili ya mwafrika kukaa uchiiiiii[emoji848]???
Hao wazungu waliotuletea hayo manguo leo wanakaa uchi lkn wala hawabakani na wala hawana hayo matatizo ya kupungukiwa nguvu zaidi ya kujitoa fahamu tu walizonazo.
Leo hii unamuona mwafrika na jua kali lotee amejifunika mishuka meusi tiii kuanzia utosini mpaka unyayoni kisa kaambiwa ajistili atapata thawabu kwa Allah [emoji15]....
Ndio maana magonjwa mengi yanawapata mama zetu kila kukicha.
Maneno yamekuwa mengi tangu vibarazani mpaka kwa madaktari kukisia dawa ya ugonjwa unaowasumbua baadhi ya wanaume.
Waganga wa kienyeji nao wanajipatia riziki kwa kuuza dawa wanazosema zinasaidia kuongeza nguvu za kiume lakini bado tu tatizo lipo.
Mabarabarani nako utakutana na wasichana wauzaji vyakula vya asili wakisema vinarudisha hizo nguvu lakini bado tu tatizo linaendelea kusumbua.
Chanzo kikubwa cha kupungua nguvu za kiume ni wanaume kuangalia wanawake wanaotembea nusu uchi.
Kwa shani yake Mwenyezi Mungu kawaumba wanawake katika maumbile mazuri sana na kuvifanya viungo vyao vivutie jicho la mtazamaji. Hakumalizia hapo akawataka viumbe wake wavae nguo ili kuvifuniko viungo hivyo ili visionekane kwa wasio waume zao.
Hata wakiwa kwa waume zao huko ndani pia wanatakiwa wasijiachie moja kwa moja.Wavae mavazi mepesi kama kwamba wanawaonea haya waume zao hao.
Athari ya wanawake kuonesha mapambo ya viungo vyao huko nje ni kuwa wanaume hata wasiopenda kuwaangalia huwa wanawaona na kugandisha sura zao akilini mwao.
Wanapofika ndani badala ya kukazia kuawaangalia wake zao akili huwa zinawarudisha kule barabarani. Kwa kila uzuri alionao mke wako lazima kutakuwa na wengine uliowaona wakiwa nusu uchi wakiwa wazuri kuliko wa kwako.
Mwisho wa yote matamanio yanagawnyika baina ya pale
na kule barabarani
Huu ni upuuzi mtupu umeandika. Wew unapenda watu wavae mashuka mda wote ndo tatizo la nguvu za kiume litaondoka? . Njoo na tafiti zinazoprove kwamba wanawake wakivaa mashuka kufunika maungo yao tatizo hili la nguvu za kiume litaisha la sivyo huu ni upuuzi tu baada ya kushiba uji ukaona usumbue watuManeno yamekuwa mengi tangu vibarazani mpaka kwa madaktari kukisia dawa ya ugonjwa unaowasumbua baadhi ya wanaume.
Waganga wa kienyeji nao wanajipatia riziki kwa kuuza dawa wanazosema zinasaidia kuongeza nguvu za kiume lakini bado tu tatizo lipo.
Mabarabarani nako utakutana na wasichana wauzaji vyakula vya asili wakisema vinarudisha hizo nguvu lakini bado tu tatizo linaendelea kusumbua.
Chanzo kikubwa cha kupungua nguvu za kiume ni wanaume kuangalia wanawake wanaotembea nusu uchi.
Kwa shani yake Mwenyezi Mungu kawaumba wanawake katika maumbile mazuri sana na kuvifanya viungo vyao vivutie jicho la mtazamaji. Hakumalizia hapo akawataka viumbe wake wavae nguo ili kuvifuniko viungo hivyo ili visionekane kwa wasio waume zao.
Hata wakiwa kwa waume zao huko ndani pia wanatakiwa wasijiachie moja kwa moja.Wavae mavazi mepesi kama kwamba wanawaonea haya waume zao hao.
Athari ya wanawake kuonesha mapambo ya viungo vyao huko nje ni kuwa wanaume hata wasiopenda kuwaangalia huwa wanawaona na kugandisha sura zao akilini mwao.
Wanapofika ndani badala ya kukazia kuawaangalia wake zao akili huwa zinawarudisha kule barabarani. Kwa kila uzuri alionao mke wako lazima kutakuwa na wengine uliowaona wakiwa nusu uchi wakiwa wazuri kuliko wa kwako.
Mwisho wa yote matamanio yanagawnyika baina ya pale chumbani na kule barabarani.
Mtafiti mimi mwenyewe.Na kama huu utafiti wangu umeuona ni upuuzi hebu tupe sababu kwanini hili tatizo halikuwa kama hivyo miaka ya nyuma kidogo.Huu ni upuuzi mtupu umeandika. Wew unapenda watu wavae mashuka mda wote ndo tatizo la nguvu za kiume litaondoka? . Njoo na tafiti zinazoprove kwamba wanawake wakivaa mashuka kufunika maungo yao tatizo hili la nguvu za kiume litaisha la sivyo huu ni upuuzi tu baada ya kushiba uji ukaona usumbue watu
Kuna mwamba mmoja amekujibu vizuri tu umekaza ubongo. Eroo tatizo la nguvu za kiume kulingana na tafiti nyingi za kitabibu ni life style za watu kuanzia diet, mazoezi na matatizo ya kiafya kama vile magonjwa ya kisukari ndio chanzo kikuu Achana na hyo habari ya mashuka mzeeMtafiti mimi mwenyewe.Na kama huu utafiti wangu umeuona ni upuuzi hebu tupe sababu kwanini hili tatizo halikuwa kama hivyo miaka ya nyuma kidogo.
Angalia aina ya vyakula wazee wetu walivyokuwa wanatumia sio sawa na hivi vya leo. Mfano leo watu wengi sana wanakula vyakula vya supermarket (canned foods) watoto wanapewa mayai ya kisasa na majuice ya kusindika kibao hapo unategemea nn kwa mtoto wa kiume? . Mfano mm kuna watot wengi wa umri kati ya miaka mitano mpak saba yan unashindwa kujua huyu ni wa kike au wa kiume? DohMtafiti mimi mwenyewe.Na kama huu utafiti wangu umeuona ni upuuzi hebu tupe sababu kwanini hili tatizo halikuwa kama hivyo miaka ya nyuma kidogo.
Zamani mababu zetu na mabibì zetu walikuwa wanashinda almost uchi, hakukuwa na ulawiti, ubakaji wala upungufu wa nguvu za kiume.Kwa shani yake Mwenyezi Mungu kawaumba wanawake katika maumbile mazuri sana na kuvifanya viungo vyao vivutie jicho la mtazamaji. Hakumalizia hapo akawataka viumbe wake wavae nguo ili kuvifuniko viungo hivyo ili visionekane kwa wasio waume zao.
Tafiti za kitabibu zinaishia wapi.Kama ni kweli zipo zingeaminiwa na kutumiwa na serikali lakini haya matatizo hata mama Samia anayajua na hajaelekeza wizara zianze kutumia tafiti za kitabibu kueondosha tatizo.Sikusudii raisi wa Tanzania peke yake na hata wa Kenya na kwengineko hawajaamini hizo tafiti kwa vile sio za kweli kwenye hili tatizo.Zingekuwa tafiti zimejua tatizo basi sera zingeshatungwa kubadili hiyo munayoita lifestyle.Kuna mwamba mmoja amekujibu vizuri tu umekaza ubongo. Eroo tatizo la nguvu za kiume kulingana na tafiti nyingi za kitabibu ni life style za watu kuanzia diet, mazoezi na matatizo ya kiafya kama vile magonjwa ya kisukari ndio chanzo kikuu Achana na hyo habari ya mashuka mzee