Mzee Kwayu alikuwa ni the best Principal kwa ile shule. Alipoondoka likaja dubwana fulani linaitwa chavila. Lile zee sijui lilitumwa. Likaja na system ya roll call, kukamata watoro, likaziba lile geti dogo la kuingilia jangwani kule.Daah, sikumbuki mkuu!
Kwani hata nilinunua basi?! Braza ambaye ndiye first born alianza kazi ndio akaniletea kama zawadi.
Ha ha haaa! Kitambo hicho nasoma pale Azania boyz upanga east. Hatari sana, japo shule tulikuwa haturubusiwi kwenda na hiyo kitu. Enzi hizo headmaster alikuwa Mr. David Kwayu, second master Mkongo, principal Mchompanga! Back in time!
Na mimo bi mkubwa alikuwa anaweka kwenye hiyo kitu.Mmea mzuri sana unanikumbusha mbali ,naweza upata wapi huo mmea gheto ulikua unawekwa na bi mkubwa kwenye kile kifuniko cha jiko la kichina lisilotumika lile la mafuta ya Taa .Mleta mada nauhitaji
Mimi pia bi mkubwa wangu alimwaga chapati zote zilikuwa zimeshika na kumea sana kulikuwa na sufuria kama sita hivi. Akamwaga baada ya kuambiwa na pastor kuwa hayo ni mapepo na ni maagano ya kuzimu.mkiupata nami nahitaji, nimeishywa sana kwa bibi miaka ya 90, watu walianza kuzusha ni mapepo watu wakaanza kuzitupa
Wanauza au?.Initwa "Kombucha" kwa lugha ya kigeni. Kuna kampuni baadhi hapa TANZANIA wanasindika hii
Tulikuwa tunaita Chapati ya AjabuDaah...umenikumbusha mbali sana kipindi hiko Bi Mkubwa anafanya kazi Bank NBC alikuja nayo hiyo chapati ya ajabu,na tulikuwa tunaihifadhi kwnye chungu halafu juu tunaifunika kwa kitambaa,jioni mama akitoka job wote tunakunywa yale maji yake kuna kipindi tunavizia wakiacha ufunguo wa ndani kwao tunaingia na kuiimimina ile juice na kuinywa ilikuwa na ladha nzuri na tamu sana,mama alisema walipeana huko ofisini kwao na wafanya kazi wenzao wa Banki halafu sikumbuki ilipoteaje maana ilikuwa ni miaka ya 90 kipindi hiko..
Umenikumbusha mbali sana na hiyo Chapati ya ajabu
Mzee Kwayu alikuwa ni the best Principal kwa ile shule. Alipoondoka likaja dubwana fulani linaitwa chavila. Lile zee sijui lilitumwa. Likaja na system ya roll call, kukamata watoro, likaziba lile geti dogo la kuingilia jangwani kule.
Lile zee jamani....
Mkiupata namimi mnikumbuke nijipatie KOMBUCHA yangu.Hapana mkuu,
Watu walikuwa wanapeana tu, ukasambaa hivyo!
Mzuri sana.Bila shaka tuunge nguvu moja upatikane ! Mmea mzuri sana ule!
Ndio zinauzwa juice bila hiyo chapati.Wanauza au?.
HahahahaRIDHIWANI KIKWETE ATAKUWA NAO HUU BILA SHAKA
Kampuni kama zipo mkuu? Kama unazijua kwa majina zitaje maana watu hapa wanahitaji hii kitu. 'Kombucha'. Isije kuwa hayo ma kampuni ya nauza juice tu kwenye chupa. Huuziwi ile 'Mother cell' ili ukazalishe mwenyewe na ukagawie wenzako.Initwa "Kombucha" kwa lugha ya kigeni. Kuna kampuni baadhi hapa TANZANIA wanasindika hii
Nipo china miaka yote na nilikuwa siujui, leo ndo nimeusearch hapa baada ya kusoma huu uzi[emoji4][emoji4].. Ningekuwa na uwezo wa kukunulia mtoa mada na kukutumia maybe uje kushare na wenzako ningefanya mpango.. Maybe nikiupata we can see frm there
Sasa mkuu ulikaa nao kichoyo hata hukutusambazia wadau mapema, saiv tungekusaidia mbegu