Chapati ya Kichina, mmea unaoishi kwenye maji, Kombucha/tea mushroom

Kampuni kama zipo mkuu? Kama unazijua kwa majina zitaje maana watu hapa wanahitaji hii kitu. 'Kombucha'. Isije kuwa hayo ma kampuni ya nauza juice tu kwenye chupa. Huuziwi ile 'Mother cell' ili ukazalishe mwenyewe na ukagawie wenzako.

Nikitaka kuuliza hili swali nikasahau!

Akitujibu atakuwa ametusaidia pia, maana chamsingi ni kupata ule mmea wenyewe na sio juice yake tu!
 
Dildo tena !?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kweli pastor choko , manina zake [emoji16][emoji16][emoji16]
 

Ha ha haaaa! Mkuu umeshachungulia fursa tayari, "ukiwa nao enzi hizi unaanzisha kikombe cha babu unapiga hela!"
Tena kuna mdau huko juu alisema "ukiongeza na maneno kuwa unaongeza nguvu za kiume aisee unakuwa millionaire ghafla bin vuuu!!"

Aha ah haaaa!!

*By the way, ulikuwa mmea mzuri sana, sijui hata tulikosea wapi ukatoweka kabisa!
 
Nakumbuka ilikuwa inatoa layers za chapati nyingine, hivyo unabandua tu ile layer ndio mbegu hiyo.
 
Ungeongeza unatibu na nguvu za kiume uzi ungekuwa mbali Sana.
 
Umenikumbusha mbali sana Mwaka 92 na tangu kipindi hiko sijawahi kusikia wala kuona popote pale zaidi ya kwa yule mama duuh! Nilikuwa nakunywa sana juice yake halafu watoto wake wakawa hawaipendi mimi nikuipa mambo tu kumbe yalikuwa yanapandwa? Mi nikajua ni ukwaju.
 
Google
 

Yanapandwa mkuu,

Nikama ua linalopandwa kwenye chupa ya maji,

Yana zaana na yanakufa pia, mimea mizuri sana, tulijisahau ikapotea kabisa!
 
Hawa wanazo price range 10,000 - 20,000 k chupa moja

View attachment 2117189

Duuh,,, maisha yanaenda kasi sana!

Wakati enzi zile tulikuwa tunakunywa na kumwaga!

Tulikuwa tuna yatupa mazalia yake vichakani au tunayazika chini!

Leo ni biashara nono?! Duh, kweli wakati si milele!

Labda kwavile wanavyo kuandalia na kufanya packaging hiyo lazima bei iwe juu!

Any way, sisi wakulungwa tuendelee na mchakamchaka wetu wakutafuta chapati yetu ya Kombucha kisha tusambaziane hapa, maana ukisema ununue hiyo chupa ya kombucha utanunua ngapi?! Na Mara ngapi?! Bora tupate mbegu yetu ya kombucha tea mushroom itatufaa zaidi...!!
 
Nimefurahi sana kuona mada kuhusu huu mmea, nakumbuka miaka ya 90's tuliwahi kuutumia nyumbani na mama alisema kuwa aliutoa kwa bibi. Mama ameshafariki na nilitamani kweli kujua huu mmea chapati ni nini haswa lakini kila nikimuuliza bibi anasema haujui.
Nimefurahi ku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…