Wenye nalo wakilitaka watslichukua tu.....Wala hajabugi hilo shamba ni la smz
Ndio hilo eneo alipewa Rais Aboud Jumbe na Mzee Njerere ulizia vizuri
utaidai kaburiniSijasikiliza, but whatever the case his story, WOTE NI UBATILI MTUPU, SIKU YA TANGANYIKA TUTADAI ARDHI YA WATANGANYIKA
ficha huo upumavu wako hiyo ni tangia baba wa taifa na ilikuwa hekta 17,000 na imepunguzwa na kubaki hekta 6,000.Kwa hiyo dada yao anataka kuwagawia eneo letu rasmi 🤔🤔 upumbavu wa kiwango cha lami kabisa huu, kwa sababu siamini kabisa kama mwalimu Nyerere aliwapa jumla hilo eneo na ndio maana hawana hati za kuthibitisha kwamba hilo eneo ni la kwao, watuondolee upumbavu wao hapa shenziiiiiiiiiiii kabisa hao 😡😡😡😡
Kabisa hawa wazanzibar wanatuona wajinga snSijasikiliza, but whatever the case his story, WOTE NI UBATILI MTUPU, SIKU YA TANGANYIKA TUTADAI ARDHI YA WATANGANYIKA
1964-2023 ni miaka 59, how bado ana miaka 56?Huyu ni mzazibar lazima atetee Zanzibar.
Hilary, ambaye pia aliasisi kipindi cha Charanga Time kilichomzidishia umaarufu akiwa Radio One Stereo, alizaliwa Zanzibar miaka 56 iliyopita eneo la Jang’ombe. Aliwahi kunusurika kuuawa kwa risasi mwaka 1964, siku moja baada ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyoundoa utawala wa Sultan na kuiweka Serikali ya Watu wa Zanzibar.
Hiyo kesi hata mimi nitachangia gharama, Mwl Nyerere hawezi kuwa mjinga kiasi hicho awape ardhi yetu bure watu wa kuja moja kwa mojaHakuna documents za umiliki kwa upande wa Zanzibar zaidi ya maneno kama hayo, kesi ipo mahakamani Watanganyika wameifungua
Siyo mali yao ni wavamizi tu sababu wanajua maza atawapa mali zetuHati zinashughulikiwa saiv means wanataka kurasimisha now, na kama limepungua kutoka ha 17000 to ha 6000 inamaanisha umiliki wao ulikoma.
Maza anagawa ardhi yetu kwa visingizo vya MwalimuManina, yaani mtu mmoja atuamulie watanganyika wote bila makubaliano.
Kuna siku zitapigwa kati ya Zanzibar na baraWaache huo upumbavu mara moja na hizo chokochoko tutawajibu
Maza kawaambia waje wachukue ardhi ya bure TanganyikaWazanzibari hawana shukrani! Tanganyika iliwapa favours nyingi sana kwenye elimu na vitu kama hivi. Naamini Baba wa Taifa alipolitoa, ilikuwa katika kujaribu kuwasaidia kupata nyama. Tangu wamelitelekeza, leo ndo wamekumbuka! Wakwende zao huko!