Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Wabongo utawaweza wao kila mtu wanawaza namna hiyo.NO, NO, NO na sitaki kusadikisha hata kidogo na hilo, alafu imekuwa tabia ya ajabu sana mtu akiwa na grant fulani eti ni kipenyo, ni mtumishi wa kawaida tu although hata wewe ni afisa kipenyo kwa Taifa lako.