Charles Kimei: One of the most exposed and reputable banking top executives in East & Central Africa. Hakupaswa kujiingiza katika siasa hizi za vyama

Viongozi wengi walio kuwa na nyadhifa za uteuzi wapo kisiasa na kwa maslahi ya waliowateua.

Ukifuatilia sanà,utagundua mpaka viongozi wa taasisi za vyombo vya dola wengine wamestaafu na kugombea nafasi za kisiasa.Kwa hiyo wengi wamo au wanatumikia siasa wakiwa katika nyadhifa za uteuzi.

Kwa suala la huyu ndugu hata zile fedha zilizokuwa na kashfa ya makampuni ya EPA zilipitia/ kupigwa katika taasisi aliyokuwa anaisimamia yeye, na hakuwahi kuzungumzia wala kujiuzulu wadhifa wake kutokana na kashfa ile bali alikaa kimya au kuachwa na wakubwa!
Kwa hiyo hapo alipo ndipo anaona yupo salama na amani ndani ya nafsi yake(Sisi tunamtazama kitaaluma,lakini yeye binafsi anajitazama na kuishi kisiasa)!
 
Sioni tatizo sana. Anaweza kutumika vizuri tu kwa manufaa mapana ya nchi akiwa mbunge. Atapata fursa nzuri ya kushauri watunga sera kirahisi zaidi anapokuwa kwenye game.

Kumuheshimu mtu au kumdharau kutokana na mrengo wake kisiasa ni makosa. Kigezo kikuu ni anasaidiaje au kuipotoshaje jamii kupitia taaluma yake.

Sio wanachana wote wa chama kimoja wanakubaliana kwa kila kitu. Na motives za kujiunga na chama fulani zinatofautiana kati ya mtu na mtu. Ni mapema kuhukumu
 
Uzoefu wa wengi waliokuwa wafanyakazi wa mashirika na taasisi za umma, hujiunga na siasa na hasa na chama tawala kama kinga ya kutoweza kutakiwa kuwajibika kwa yale mapungufu ya yale walioyafanya katika taasisi waliokuwa wanaziongoza. Kimei is no exception!!
 
Mbona naye aliajiriwa?maneno kama hayo yanatakiwa yatoke kwa watu kama akina shabiby,msukuma,Abooud ,sylvester koka na wabunge wengine ambao mi wamefanikiwa katika biashara zao wenyewe.Hilo la kusema fundi simu nalo ni nadharia kama nadharia zingine.

amimi namshauri Raisi angeteua baadhi ya hawa matajiri kwenye wizara zile zinazihusika na uwekezaji,biashara na viwanda .Hata wakiwa wana negotiate mikataba wanakuwa wanaelewa kitu wanasema.siyo kutumia elimu ya darasanu waliosoma miaka 20 iliyopita.Trust me ukiwaweka profesor wa uchumi pamoja na Aboud yule wa Morogoro ,Aboud yuko mbali zaidi ki uelewa wa biashara.

Tukitaka mapinduzi ya kweli tuwaweke watu wenye uzoefu wa kukuza uchumi wa biashara zao katika nafasi za maamuzi.watakuwa na mchango mkubwa nakwambia. Hata kwenye madini naona kama yule waziri Doto ni kama anatosha tosha hivi huenda alishafanyabiashara ya madini.
 
Wewe huna uzalendo wala utu.

Ungekuwa na uzalendo ungechukia kila anayeharibi taifa hili na

Ungekuwa na utu ungechukia kila anayefanya mauaji ya Raia wasio na hatia.
 
Lengo lake lilikuwa kujakuwa waziri wa fedha pungufu balozi USA au Uingereza. Matarajio yake hayakutofautiana na mama Lwakatare aliyetarajia kuwa waziri wa elimu.
Je, swala la benki ya Geita lilimuacha salama?
 
Halafu watu wanamsifia kwamba alikuwa role model mzuri, ila sasa kaharibu kuingia katika siasa.

Role model mzuri my foot!

Wengi wetu wana low standards na high tolerance for bullshit.

Kwa msingi huu, maendeleo ni kazi sana.
 
Wewe huna uzalendo wala utu.

Ungekuwa na uzalendo ungechukia kila anayeharibi taifa hili na

Ungekuwa na utu ungechukia kila anayefanya mauaji ya Raia wasio na hatia.
Mtu ambaye hana deep understanding ya issues ni vigumu kuwa mzalendo.

Hata pale anapotaka kuwa mzalendo kwa nia ya kweli.

He will back some hustling showman, thinking he is backing a true patriot.

The English have a saying.

The road to hell is paved with good intention.
 
"UDAKU":

Kwa siasa za sasa iliikuwa muhimu kwake kujipambanua mrengo wake na kuungana "nao" (hata kama kiroho hayupo nao!). Nje ya hapo, angepata tabu.

Kuna wale tunaoamini kuwa hakutoka crdb kwa "ridhaa yake"......tunahisi wenye nchi walimwambia atoke! Au alitoka kwa woga!
 
Ni sawa na prof anayefundisha ujasiriamali wa vitu mbalimbali anajua theory kuliko experience ya Field sasa huyo akiwekwa mfano na muuza genge KWA biashara lazima amushinde so ni Bora kuwapa wazoefu wa Mambo ka ni biashara kuliko mtu wa too much theory .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…