Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Utawala dhalimu usiojali wananchiWanaukumbi.
Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.
Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.
Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka. Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.
Wapo kwenye V8Ndo uchumi wa kina mwigulu huu
Wapinzani waliondolewa ili dikteta wa kiume abadili katiba
V8 moja ktk nchi masikini linakunywa lita 2000 kwa mwezi SAwa na sh milioni 4 na laki 8 SAwa na mishahara ya watumishi 10 kwa mwezi.Kazi ya v8 ni kumpeleka boss ofisini na kuwapeleka watoto shule na jumapili kanisani.Wapo kwenye V8
Hizi nchi ni masikini mpaka akili za watawalaV8 moja ktk nchi masikini linakunywa lita 2000 kwa mwezi SAwa na sh milioni 4 na laki 8 SAwa na mishahara ya watumishi 10 kwa mwezi.Kazi ya v8 ni kumpeleka boss ofisini na kuwapeleka watoto shule na jumapili kanisani.
V8 moja ni SAwa na trekta 10 zinaweza ajiri vijana 100.V8 unajenga shule 5 za sekondari kwa nguvu ya wananchi.Jumla ya v8 zote ktk nchi masikini si chini 800.
Wakisimama majukwaani wanawadanganya watu umasikini wa mwafrika chanzo ni Mzungu.
Hizi hati na uendeshaji wa kesi unatakiwa uwe kwa lugha ya Kiswahili, sielewi kwanini mahakama zetu hadi sasa zinatumia lugha ya nje utadhani tupo hospitalini.
Mataga Pori jitahidi upunguze jazba.Hahaha hamna jazba huo ndiyo utaratibu wangu ukija kipuuzi unajibiwa kipuuza naona mpini umekuingia.
Bora wangewaacha tu wakoloni aiseeHizi nchi ni masikini mpaka akili za watawala
Imefikia Chalinze.Inaelekea mikoani.Huyu samia alisema ameunda tume kufuatilia tozo !Hiyo tume imefikia wapi?
Tena tungekuwa mbali snBora wangewaacha tu wakoloni aisee
Na tume ya kuchunguza suala moto wa Kariakoo je?Huyu samia alisema ameunda tume kufuatilia tozo !Hiyo tume imefikia wapi?
Watu waende kwa wingi kuhudhuria kesiRitz kwa mara ya kwanza umeongea jambo la mbolea! Nakubaliana na wewe uharakati ni vitendo na sio uharakati wa mitandaoni,nampongeza sana charles kwa hatua aliyochukua, ajaishia tu kulalamika tozo toz mitandaoni bali ameenda next step ya kisheria ,wapo baadhi ya wanaharakati wamepinga vitu kwa vitendo kuhusu mambo mabli mbali.
Tozo inaumiza sana hasa kwa sisi tunaotuma na kupokea miamala,kazi zetu zinafanyika maporini hivyo transactions nyingi tunatumia simu,tunakatwa sana tozo zinaumiza ,ukituma 50k basi andaa 4100 ya serikali ya nyongeza ukiachana na za awali za makato.
Huo ni upumbavu wa kutafuta cheap popularity. Hawezi kushinda kwa sababu sheria hiyo alisaini SSH baada ya kupitishwa na Bunge.Wanaukumbi.
Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.
Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.
Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka. Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.
Ulifeli risasi unataweza twitani?Mtu Yuko ubelgiji anakunywa supu , alaf anakupa maelekezo uliyepo kwenye daladala za gongo la mboto , umebanana na unanuka jasho ...!!! Anyway huyu mwanaharakati nionyesheni accnt yake Twitter nimfollow
Tuungane nae katika hili sio tunapambana huku kwenye keyboard tuWanaukumbi.
Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.
Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.
Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka. Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.
Kwakweli hata busara ya kawaida inakataa.50k ni 4700 yakutolea na kutuma unakatwa 3050 jumla 7750 tozo tu.