Charles Odero, afungua kesi Katika Mahakama Kuu kupinga tozo za Miamala ya Simu

Charles Odero, afungua kesi Katika Mahakama Kuu kupinga tozo za Miamala ya Simu

Wanaukumbi.

Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.

Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.

Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka. Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.


Utawala dhalimu usiojali wananchi
 
Wapo kwenye V8
V8 moja ktk nchi masikini linakunywa lita 2000 kwa mwezi SAwa na sh milioni 4 na laki 8 SAwa na mishahara ya watumishi 10 kwa mwezi.Kazi ya v8 ni kumpeleka boss ofisini na kuwapeleka watoto shule na jumapili kanisani.
V8 moja ni SAwa na trekta 10 zinaweza ajiri vijana 100.V8 unajenga shule 5 za sekondari kwa nguvu ya wananchi.Jumla ya v8 zote ktk nchi masikini si chini 800.
Wakisimama majukwaani wanawadanganya watu umasikini wa mwafrika chanzo ni Mzungu.
 
V8 moja ktk nchi masikini linakunywa lita 2000 kwa mwezi SAwa na sh milioni 4 na laki 8 SAwa na mishahara ya watumishi 10 kwa mwezi.Kazi ya v8 ni kumpeleka boss ofisini na kuwapeleka watoto shule na jumapili kanisani.
V8 moja ni SAwa na trekta 10 zinaweza ajiri vijana 100.V8 unajenga shule 5 za sekondari kwa nguvu ya wananchi.Jumla ya v8 zote ktk nchi masikini si chini 800.
Wakisimama majukwaani wanawadanganya watu umasikini wa mwafrika chanzo ni Mzungu.
Hizi nchi ni masikini mpaka akili za watawala
 
Mwamba anajeielewa sana , wengine wanasubiria teuzi tu hakuna kingine wamepooaaaaa kama maji ya mtungi, nchi ni ngumu sana hii, kiasi kwamba watu wanaungua lakini wanachekelea ili wasionekane wasaliti, sikiliza moyo wako usisubirie mpaka usaidiewe na watu, ukiwa na misimamo yako binafsi tosha tu, acha kutumia simu kwenye miamala acha kushabikia upuuzi wa aina yoyote ile ukiwa independent utaishi
 
Hizi hati na uendeshaji wa kesi unatakiwa uwe kwa lugha ya Kiswahili, sielewi kwanini mahakama zetu hadi sasa zinatumia lugha ya nje utadhani tupo hospitalini.

Tena iwe kwa maandishi ya kiarabu kama kiswahili kilivyokua kinaandikwa kabla ya “beneru” mjerumani ajatutawala.

Maama naona hujitambui! Hakuna tatitzo lolote la kutumia kiingereza kuliko lililopo katika kutumia Kiswahili. Kama hukijui then jifunze, kama hutaki then usitake wote tusitake bila sababu za msingi.
 
Ritz kwa mara ya kwanza umeongea jambo la mbolea! Nakubaliana na wewe uharakati ni vitendo na sio uharakati wa mitandaoni,nampongeza sana charles kwa hatua aliyochukua, ajaishia tu kulalamika tozo toz mitandaoni bali ameenda next step ya kisheria ,wapo baadhi ya wanaharakati wamepinga vitu kwa vitendo kuhusu mambo mabli mbali.

Tozo inaumiza sana hasa kwa sisi tunaotuma na kupokea miamala,kazi zetu zinafanyika maporini hivyo transactions nyingi tunatumia simu,tunakatwa sana tozo zinaumiza ,ukituma 50k basi andaa 4100 ya serikali ya nyongeza ukiachana na za awali za makato.
Watu waende kwa wingi kuhudhuria kesi
 
Utashitaki mahakamani mambo mangapi ndugu, katiba iliyochoka ndiyo inaletaniza haya yote ....ponya mzizi ili mmea ukue..achana ku-deal na matawi. Jiunge nasi tudai KATIBA MPYA for better Tanzania 🇹🇿
 
Wanaukumbi.

Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.

Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.

Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka. Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.


Huo ni upumbavu wa kutafuta cheap popularity. Hawezi kushinda kwa sababu sheria hiyo alisaini SSH baada ya kupitishwa na Bunge.

Wakulaumiwa ni wabunge, wamepunguza kodi za casinos etc na kuhamisha kodi hizo kwenye simu, ni uwendawazimu. SSH kazi ishamshinda, kuongoza nchi sio sawa na kuongoza NGO na kudandia mabasi.
 
Mtu Yuko ubelgiji anakunywa supu , alaf anakupa maelekezo uliyepo kwenye daladala za gongo la mboto , umebanana na unanuka jasho ...!!! Anyway huyu mwanaharakati nionyesheni accnt yake Twitter nimfollow
Ulifeli risasi unataweza twitani?
 
hatua nzuri.japokuwa bado.siziamini tena mahakama za watanzania
ambaye majaji wote wanateuliwa na rais
Rais alie pitisha hizihizo tozo za miamala ya simu
 
Wanaukumbi.

Mwanaharakati wa Masuala ya Haki za Binadamu, Charles Odero, amefungua kesi Katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga tozo za Miamala ya Simu iliyoanza Julai Mosi. Kesi hiyo itaanza Alhamisi,Agosti 12.

Hawa ndiyo wanaharakati wanaotakiwa wapo kwa ajilii ya maslahi ya taifa.

Alaa Salah, shangazi mwenye umri ya miaka 22 aliongoza wananchi Sudan kusimamia Haki;
Alaa Salah, alikuwa mstari wa mbele kupinga utawala wa kidikteta wa Omar Al-Bashir hadi ulipoanguka. Tanzania tunanogeshana kwa Space huku wamekaa kwenye sofa majumbani wanakunywa wisk tu karanga.


Tuungane nae katika hili sio tunapambana huku kwenye keyboard tu
 
Back
Top Bottom