Chasambi amuombe msamaha Manara kwa kumuita mzungu

Chasambi amuombe msamaha Manara kwa kumuita mzungu

Nani alie muanza mwenzake?
 

Attachments

  • downloadfile-1.png
    downloadfile-1.png
    281 KB · Views: 1
Ni mbaya mno mkamkashifu kutokana na hali yake ya ulemavu
Angemtania tu bila kuhusisha ulemavu wake
Dogo acheze mpira sio mzungumzaji mzuri, aachane na mike acheze mpira

Kila akiongea anaharibu
KITENDO SI CHA KIUNGWANA

Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile.

Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living legend kwenye upande wa Habari Simba, anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba.

Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu

@sanitizerrtz

Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni.



Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwani uzungu ni kashfa au matusi?
 
KITENDO SI CHA KIUNGWANA

Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na linapaswa kukemewa vile vile.

Haji Manara amefanya makubwa mno Simba SC ameifa ya Club kujulikana ndani na nje ya Tanzania ni Living legend kwenye upande wa Habari Simba, anapaswa kuheshimiwa kama wanavyoheshimiwa viongozi wngine waliowahi kupita Simba.

Ahsanteni - Mtakanyagana kwenye Comment taratibu

@sanitizerrtz

Makolo ebu mwambien huyu dogo chasambi (Mzee wa kujisweka [emoji23]) ajue mchango wa legend manara hapo ukoloni.



Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo mwafrika mweupe kuitwa mzungu au Zungu ni kosa?

Mbona mimi ni mweusi tii kama mkaa au lami, lakini watu wakiniita blackie au mpingo nafurahi tu?

Kwa maoni yangu Chasambi hajafanya kosa lolote kutakiwa aombe msamaha.

Acha kuyatafutia maneno harmless maana mbaya.
 
Angemuita albino si ndo mngeandamana na matarumbeta kwenda kwa Trump na Mask kwenda kushitaki
 
Lkn amewafanyia mambo mengi mazuri kuliko mabaya

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Lakini aliyafuta mazuri yote aliyoyafanya akiwa Simba Kwa jinsi alivyokuwa aki act Kama vile alikuwa na kisasi na Simba alikotoka.
Manara alishindwa kuelewa kuwa alikuwa na ugomvi na bosi wake Tu na wala si Timu ya Simba. Pamoja na umri wake wote huo hajui 'Utu Uzima ni dawa' Angetoka na kuhama Timu bila jeuri Kama alivyofanya, angejijengea heshima.
Hizi Timu kubwa Simba na Yanga si za viongozi Tu, zinawafuasi mamilioni, ilipaswa awe makini na maneno na kejeli zake
 
Can you explain it?
In summary, karma operates on the principle that our actions have consequences that affect not only ourselves but also others around us—shaping our present circumstances and future experiences through a continuous cycle of cause and effect.

For more knowledge... consult prophet mwamposa

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom