ChatGPT ameshindwa swali langu?

ChatGPT ameshindwa swali langu?

KABAKA28

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2014
Posts
204
Reaction score
191
AI imetumia zaidi ya siku moja sasa, mpaka sasa haijatoa jibu la swali/task langu. Kila nikiuliza update ananiambia nisubiri analifanyia kazi.

Au uwezo wake umeishia hapo?
 

Attachments

  • IMG_2860.png
    IMG_2860.png
    386.2 KB · Views: 8
AI imetumia zaidi ya siku moja sasa, mpaka sasa haijatoa jibu la swali/task langu. Kila nikiuliza update ananiambia nisubiri analifanyia kazi.

Au uwezo wake umeishia hapo?
Sasa sisi tufanyaje? Hebu weka swali tulione labda tunaweza kukusaidia.
 
Ingejuwa ni vizuri ukaandika swali usaidiwe kutafutiwa majibu pengine hujui kutumia hiyo Ai
Anatuonesha majibu bila swali.
Jamaa ninahisi ni tapeli wa mjini😂
 
Naimani ya kuwa swali ni la kipuuzi.
KABAKA28 anatakiwa aweke swali alilouliza hapa kwa sababu watu wengi hawajui haya AI ni nini na inafanyaje kazi. Kuna jamaa mmoja alichenikesha kweli kwa kuniambia eti ameuliza AI namba za gari yake ikashindwa kujibu. Wngi hudhani AI ni dude lenye uwezo wa kimungu na linaweza kutoa majibu ya kila kitu duniani.
 
KABAKA28 anatakiwa aweke swali alilouliza hapa kwa sababu watu wengi hawajui haya AI ni nini na inafanyaje kazi. Kuna jamaa mmoja alichenikesha kweli kwa kuniambia eti ameuliza AI namba za gari yake ikashindwa kujibu. Wngi hudhani AI ni dude lenye uwezo wa kimungu na linaweza kutoa majibu ya kila kitu duniani.
Watanzia wengi hawana ujuzi na masuala ya AI naishauri serikali iweke course mashuleni hasa vyuo vikuu vya serikali ili tupate wataalamu wa hizi AI.
 
KABAKA28 anatakiwa aweke swali alilouliza hapa kwa sababu watu wengi hawajui haya AI ni nini na inafanyaje kazi. Kuna jamaa mmoja alichenikesha kweli kwa kuniambia eti ameuliza AI namba za gari yake ikashindwa kujibu. Wngi hudhani AI ni dude lenye uwezo wa kimungu na linaweza kutoa majibu ya kila kitu duniani.
Ni project nafanya na Chat, tumefikia hatua ya execution ananiambia itachukua siku moja. Ndio maana nimeshangaa. Siwezi ku disclose maana ni biashara. Ukiaoma response zake utapata clue tunazungumzia nini.

Anyway, my point was, kumbe chatGPT na gen AI zingine huwa zinafikia hatua zinahitaji muda zaidi ya saa moja. It was a new experience.
 
Watanzia wengi hawana ujuzi na masuala ya AI naishauri serikali iweke course mashuleni hasa vyuo vikuu vya serikali ili tupate wataalamu wa hizi AI.
Point kubwa hapa ni muda anaochukua kujibu (1 day). Hata uulize swali la kipuuzi kiasi gani utajibiwa immediately. So kwangu mimi hii bi new experience kuambiwa nisubiri siku moja
 
Hilo dubwana sio kua linajua kila kitu, mbona pale chini limekwambia kua ni vizuri na wewe ukachek sources nyingine maana nalo linaweza kukosea.

Shida yenu mnadhani na lenyewe linajua kila kitu na linaweza kujibu papo hapo kila kitu.
Nakumbuka kuna kipindi nililichallenge likijibu fyongo nalisahihisha nalo linakubali limekosea, then tunaendelea.
 
Kuna AI nyingi ukiona haileti majibu sahihi jaribu nyingne ila uliza swali kwa contents zinazosomeka.. Baada ya Chat GPT kuna Gemini Google ama Grok AI kwenye mtandao wa X... na muda si mrefu tutakuwa na Meta AI kule WhatsApps ambao baadhi ya nchi imeanza kutumika..
 
Unatumia ChatGPT ya bure (4.o), tumia Plus ($20/mo) au Pro ($200/mo)
Natumia paid version. 4.o nimeivhagua kulingana na kazi ninayo ifanya. Sijawahi kusikia ChatGPT Plus au Pro. Kama zipo naomba maelekezo nita upgrade.
 

Attachments

  • IMG_2862.png
    IMG_2862.png
    520.4 KB · Views: 6
yaani huyu chatGTP, anaenda kulemaza watu.

Kuna graduate mmoja nilikua namsaidia kuomba kazi.

KIla kitu anauliza chatgtp, kuandika barua, kuanda resume n.k.
aliponishangaza hafi kureply email alikuwa anatumia chatGTP.

Nikawa nawaza huyu ataweza kujieleza kweli kwenye interview.

Anyway labda ndio kukua kwenyewe kwa Technology
 
Back
Top Bottom