ChatGPT ameshindwa swali langu?

ChatGPT ameshindwa swali langu?

AI yenyewe inatoa majibu toka kwenye sever,,haiwezi toa jibu nje ya hapo,,haifikirii nje ya box!!yafaa ujue Hilo.
 
AI imetumia zaidi ya siku moja sasa, mpaka sasa haijatoa jibu la swali/task langu. Kila nikiuliza update ananiambia nisubiri analifanyia kazi.

Au uwezo wake umeishia hapo?
Jaribu na Grok ya Elon Mask
 
Ni project nafanya na Chat, tumefikia hatua ya execution ananiambia itachukua siku moja. Ndio maana nimeshangaa. Siwezi ku disclose maana ni biashara. Ukiaoma response zake utapata clue tunazungumzia nini.

Anyway, my point was, kumbe chatGPT na gen AI zingine huwa zinafikia hatua zinahitaji muda zaidi ya saa moja. It was a na mtu mwingine kwa mamna yoyote.
Kutokana na majibu yako inaonesha sisi wabongo tunakwama kipe gere cha kuiuliza AI . Kngine hio project itabaki ktk server za AI na itanakilisha majibu one day.
Kwa mimi navyoona ili ulinde AI isinukuu project nzima basi ifanye kwa vipande na siku tofauti na draft tofauti na ikiwezekama tumia AI zaifi ya moja na zipe vipengele tofauti uje ukusanye utumie AI zinazounga mafaili ambazo zipo AP store.
Kingine AI ni learner from us usipo angalia wewe ndio unaifunza hilo jambo badala ya wewe kunufaika unainufsisha.
 
yaani huyu chatGTP, anaenda kulemaza watu.

Kuna graduate mmoja nilikua namsaidia kuomba kazi.

KIla kitu anauliza chatgtp, kuandika barua, kuanda resume n.k.
aliponishangaza hafi kureply email alikuwa anatumia chatGTP.

Nikawa nawaza huyu ataweza kujieleza kweli kwenye interview.

Anyway labda ndio kukua kwenyewe kwa Technology
Sasa unataka aumize kichwa. Ndio yale yale eti calculator zitalemaza akili bila kujua kuwa table zote za analog ni teknolojia ya kurahisha mahesabu ambapo calculator ni zaidi ya table baadae computer software na sasa AI. Mambo ya kukariri vitu ndio uwe msomi yanapitwa na wakati.
Unajua Elon musk anachokifanya huenda hata elimu ikawa haina maana. 'To merge chip and brain
' ina maana elimu yote itajazwa kwenye chip na kazi ya ubongo itakuwa kuuliza na kupewa majibu instantly . Ubongo utakuwa sehemu ya mtandao. Kwa hio hio google au AI itakuwa kwenye vichwa vya binadamu(tutakuwa cyborg).
Sasa unadhani elimu itatolewa kama ulivyosoma wewe ?
Usipokubali mabaditiko basi mabadiriko yatakubadilisha kwa lazima.
Usikariri mambo yaliisha badirika kabisa.
Ukiingia kwenye platform kama up work kuna watu wanataka walimu ambao wanaweza kutumia AI kuandaa notes, mitihani. Vitabu nk sasa wewe unaona ajabu barua tu.

Waajiri wanatakiwa wabadirike haraka na vigezo vibaditike na kimojawapo muajiriwa aweze kutumia AI kwa mapana.
Mimi nampongeza huyo kijana japo mim ni wa kizamani nshspitwa na wakati.
 
Hii ikoje mkuu ? Ina tofauti gani ?
Grok ni AI pia, unapata kupita X/twitter.

Ni product ya Elon Musk, baada ya kujitoa chatgpt. Ipo more efficient.

Most of these AI's ziko programmed kutoa majibu yaliyo political right. Hii inaapelekea saa zingine kukupa majibu chaka.

Grok wanajitahidi kuwa wawazi zaidi, na data zao zipo karibu na ukweli na uwazi zaidi.
 
Ok! Ntaijsribu.

Most of these AI's ziko programmed kutoa majibu yaliyo political right. Hii inaapelekea saa zingine kukupa majibu chaka.
Sasa mkuu hapo imekaaje. Maana AI kama chat gpt walitumia vitabu vingi sana kui ngiza data kuna mda nilisikia wanataka kufunguliwa mashtaka kutumia vitabu vya watu bila makubaliano.
Sasa iweje AI zitoe majibu chaka wakati vita u vingi na data nyjgine zimetumika, sasa mimi naweza kumkosoa AI alielishwa vitabu karibu vya dunia nzima na anaendelea kulishwa ? Sisi elimu yetu tumesoma tuvitabu tuchache tu na kupewa vyeti. Tena notes zenyewe wakufunzi hudownload za hao hao wazungu.
Au AI inashindwa ku organize/ recall hizo data ?
 
Ok! Ntaijsribu.


Sasa mkuu hapo imekaaje. Maana AI kama chat gpt walitumia vitabu vingi sana kui ngiza data kuna mda nilisikia wanataka kufunguliwa mashtaka kutumia vitabu vya watu bila makubaliano.
Sasa iweje AI zitoe majibu chaka wakati vita u vingi na data nyjgine zimetumika, sasa mimi naweza kumkosoa AI alielishwa vitabu karibu vya dunia nzima na anaendelea kulishwa ? Sisi elimu yetu tumesoma tuvitabu tuchache tu na kupewa vyeti. Tena notes zenyewe wakufunzi hudownload za hao hao wazungu.
Au AI inashindwa ku organize/ recall hizo data ?
yes ni sahihi, lakini kuna muda zinaleta magaka, endelea kutumia tumia kuna siku utakuja kuibanini, although pia AI zinajifunza kila siku na kuji-update..
 
AI imetumia zaidi ya siku moja sasa, mpaka sasa haijatoa jibu la swali/task langu. Kila nikiuliza update ananiambia nisubiri analifanyia kazi.

Au uwezo wake umeishia hapo?
kuna wakati mwingine hizi akili mnemba nazo zinafanya makosa sana hasa kwenye kujibu baadhi ya maswali. hapa ndipo unakuja ule usemi wa chakuambiwa changanya na zko.. yaaani wakati anakupa majibu husika hakikisha basi unapembua na kuchambua kilichosahihi na kuacha kile ambacho sio sahihi.
 
Sijawahi kusikia ChatGPT Plus au Pro. Kama zipo naomba maelekezo nita upgrade.
Fanya hima upgrade.

Kwa sasa tuko kwenye o1 na o3 tayari imetangazwa ila bado haijawa public.
1735375235650.png


Nadhani hii video itakupa maelezo zaidi kuhusu o3

Video: OpenAI o3 and o3-mini—12 Days of OpenAI: Day 12 (@OpenAI )
 
Ni project nafanya na Chat, tumefikia hatua ya execution ananiambia itachukua siku moja. Ndio maana nimeshangaa. Siwezi ku disclose maana ni biashara. Ukiaoma response zake utapata clue tunazungumzia nini.

Anyway, my point was, kumbe chatGPT na gen AI zingine huwa zinafikia hatua zinahitaji muda zaidi ya saa moja. It was a new experience.
Uwezo wako ni mdogo kuformulate questions, live with it
 
Sasa unataka aumize kichwa. Ndio yale yale eti calculator zitalemaza akili bila kujua kuwa table zote za analog ni teknolojia ya kurahisha mahesabu ambapo calculator ni zaidi ya table baadae computer software na sasa AI. Mambo ya kukariri vitu ndio uwe msomi yanapitwa na wakati.
Unajua Elon musk anachokifanya huenda hata elimu ikawa haina maana. 'To merge chip and brain
' ina maana elimu yote itajazwa kwenye chip na kazi ya ubongo itakuwa kuuliza na kupewa majibu instantly . Ubongo utakuwa sehemu ya mtandao. Kwa hio hio google au AI itakuwa kwenye vichwa vya binadamu(tutakuwa cyborg).
Sasa unadhani elimu itatolewa kama ulivyosoma wewe ?
Usipokubali mabaditiko basi mabadiriko yatakubadilisha kwa lazima.
Usikariri mambo yaliisha badirika kabisa.
Ukiingia kwenye platform kama up work kuna watu wanataka walimu ambao wanaweza kutumia AI kuandaa notes, mitihani. Vitabu nk sasa wewe unaona ajabu barua tu.

Waajiri wanatakiwa wabadirike haraka na vigezo vibaditike na kimojawapo muajiriwa aweze kutumia AI kwa mapana.
Mimi nampongeza huyo kijana japo mim ni wa kizamani nshspitwa na wakati.
Kama kwenye usaili wa maandishi, vitendo au mahojiano watamruhusu atumie hiyo chatGPT kujibu maswali.
Basi mimi sina tatizo.
 
Back
Top Bottom