ChatGPT imetimiza unabii uliotolewa takriban miaka 2500 iliyopita!!

Kwani huo unabii umetabiri ndege, redio ama chatGpt?

Akili zako finyu ndio zimekutuma chatgpt, ndege n.k ndio kuongezeka kwa maarifa.

Daniel hakutabiri hayo maarifa unayoyawaza wewe.
Yataje wewe maarifa unayofikiri ndiyo yaliyotabiriwa na Danieli
 
Ndugu tuliza mizuka. Hii dunia sio ya wakristo peke yao.
 
Haya Yote Nimeyapenda ila Mimi Kitu kimoja tu..

Naomba Uniambie Na Unitonye Kwa siri Umetumia AI ipi au Link ipi Kutengeneza Hiyo Nyimbo Imetulia Sana
 
Wee Leo hii unaishangaa AI,

Wenzio kina BushMen waliishangaa chupa ya coca-cola iliyoshuka toka angani ikazua kuzaa zaa Kijiji kizima

Wale WA stoneAge waliishangaa Sana kilivovumbuliwa chuma na maisha yakaendelea

Kuna wenzio waliishangaa umeme enzi zile za mafuta ya Taa na mishumaa.

Binadamu anazidi kufunguka, na atafunguka na kuvumbua ata wee ukishakufa.

Nnachoamini Mimi,
Hakuna tatizo lisilokua na solution,
Hakuna Cha siku ya mwisho Wala ufufuo
Ukifa Wewe waliobaki wanaendeleza cycle
 
Pole. Subiri siku inakuja utajua ulikuwa hujui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…