Chato: Katekista wa kanisa Katoliki akamatwa kwa tuhuma za kubaka mtoto wa miaka 8

Chato: Katekista wa kanisa Katoliki akamatwa kwa tuhuma za kubaka mtoto wa miaka 8

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Huko Chato mkoa wa Geita katekista wa kanisa katoliki amekamatwa akibaka mtoto wa 8.

=====

Jeshi la polisi mkoani Geita, linamshikilia Athanas Rugambwa (62) mkazi wa Muganza wilayani Chato mkoani Geita kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka nane mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Katema.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Alhamis Septemba 15, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Henry Mwaibambe amesema mtuhumiwa ni katekista na alikua akimfundisha mtoto huyo masomo ya dini.

Mwaibambe amesema mtuhumiwa huyo alimvizia mtoto akiwa kwenye mafundisho ya dini kanisani na kumuita ofisini kwake kisha kumbaka.

Mwananchi
 
Kuna mtu ukimuambia kwa dunia ya sasa huwezi kumuamini mtu kwa usalama wa mtoto wako na njia pekee ni kujenga urafiki nae na pia kumpa uwezo wa kujieleza na kujisimamia ili aepuke hatari, anaona kama umechanganyikiwa 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️
 
Niliwahi kuandika humu JF kuhusu "uchafu" wa Kanisa Katoliki. Narudia tena kusema pasipo woga kuwa Kanisa Katoliki siyo kanisa la MUNGU, bali ni kanisa la Shetani.
Kanisa Katoliki ndilo linaongoza duniani kote kwa kuwalawiti watoto wadogo. Inakadiriwa yapata watoto milioni 2 duniani kote walilawitiwa na makasisi (mapadre) wa Kanisa Katoliki tangu mwisho wa vita kuu ya 2 ya dunia hadi sasa! Na haya ni makadirio ya chini. Hebu jiulize, tokea kanisa hili lianzishwe miaka 1900 iliyopita ni watoto wangapi wamelawitiwa na hili kanisa mpaka leo?
Achilia mbali vitendo vya kulawiti, historia inaonesha wazi kabisa kuwa kanisa katoliki ndilo kanisa linaloongoza kwa mauaji ya watu wengi zaidi tangu kuanzishwa kwake.
Kanisa la KWELI la MUNGU haliwezi kufanya mambo maovu na machafu kama hayo ya ulawiti, uuwaji, na mafundisho ya uongo. Hili ni kanisa la shetani. Kwenye Biblia kanisa katoliki limepewa jina la kinabii ambalo ni; "BABELI MKUU, NA MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI".
Soma Ufunuo 17 yote na 18 yote unaelezea habari za kanisa katoliki ingawa ni katika mfumbo mazito.
Tulia dada mbona hivyo?
Shemeji hajaacha kodi ya meza?
Issue ya ubakaji/ulawiti ni issue ya mtu binafsi sio kanisa na waamini wake wote?
Hebu nikuulize hapo ulipo hakuna mkatoliki kama yupo mbona wewe hujalawitiwa?
Ubakaji ni issue ya mtu binafsi sio dini,kabila wala rangi wala taifa wala jamii.
 
Huko Chato mkoa wa Geita katekista wa kanisa katoliki amekamatwa akibaka mtoto wa 8.

=====

Jeshi la polisi mkoani Geita, linamshikilia Athanas Rugambwa (62) mkazi wa Muganza wilayani Chato mkoani Geita kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka nane mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Katema.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Alhamis Septemba 15, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Henry Mwaibambe amesema mtuhumiwa ni katekista na alikua akimfundisha mtoto huyo masomo ya dini.

Mwaibambe amesema mtuhumiwa huyo alimvizia mtoto akiwa kwenye mafundisho ya dini kanisani na kumuita ofisini kwake kisha kumbaka.

Mwananchi
HuU SI ndio yule Katekista mashuhuri na alikuwa kimbelembele enzi zile za uncle mwendazake? Kakumbwa na Nini?
 
Huko Chato mkoa wa Geita katekista wa kanisa katoliki amekamatwa akibaka mtoto wa 8.

=====

Jeshi la polisi mkoani Geita, linamshikilia Athanas Rugambwa (62) mkazi wa Muganza wilayani Chato mkoani Geita kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka nane mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Katema.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Alhamis Septemba 15, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Henry Mwaibambe amesema mtuhumiwa ni katekista na alikua akimfundisha mtoto huyo masomo ya dini.

Mwaibambe amesema mtuhumiwa huyo alimvizia mtoto akiwa kwenye mafundisho ya dini kanisani na kumuita ofisini kwake kisha kumbaka.

Mwananchi
Daaah, hakuna pa kukimbilia!
 
Back
Top Bottom