Chato: Katekista wa kanisa Katoliki akamatwa kwa tuhuma za kubaka mtoto wa miaka 8

Chato: Katekista wa kanisa Katoliki akamatwa kwa tuhuma za kubaka mtoto wa miaka 8

Nadhani mama angu umeshindwa kunielewa nime reply komenti ya huyo anayetoa statistics za watoto wanaolawitiwa na maa skofu , cardinal
Mm ni baba yako!
Hizo takwimu yeye mbona hajalawitiwa na hao maaskofu,mapadre na makadinali?
Au anapoishi hakuna mapadre nk?
 
Ndio mwanzilishi wa Imani ya KISABATO baada ya kuvuviwa na Roho Mtakatifu, pamoja wenzake .

Hellen White aliolewa na na James White .
Kabla Helena hajazaliwa, wengine wote kabla yake lazima wataenda motoni maana hawakuitukuza sabato?
 
Na yule mama ni Msabato....

Hivi ameolewa?


Kawaulize Wamarekani, Nabii pekee aliyetabiri ,Ujenzi wa majengo marefuuuuuu Kuliko yote Dunian, na kwamba akayaona Majengo yanungua moto na kuporomoka.


Wamarekani walidharau, Wajenzi wa Yale Majengo walidharau.

Hatimaye 11/9 yakaporomoshwa!!.

Na Kwa Mara ya kwanza, Kitabu hiki Cha matukio ya siku za Mwisho, Kikanunuliwa Nakala nyingiiiiii !!.
 
Kawaulize Wamarekani, Nabii pekee aliyetabiri ,Ujenzi wa majengo marefuuuuuu Kuliko yote Dunian, na kwamba akayaona Majengo yanungua moto na kuporomoka.


Wamarekani walidharau, Wajenzi wa Yale Majengo walidharau.

Hatimaye 11/9 yakaporomoshwa!!.

Na Kwa Mara ya kwanza, Kitabu hiki Cha matukio ya siku za Mwisho, Kikanunuliwa Nakala nyingiiiiii !!.
Kwahiyo Helena ni gaidi?
 
Ni ya kweli au amezushiwaa tu kuchafua taswira ya kanisa katoliki ambalo kanisa hili roman Catholic ndio kinara wa maswal haya ya kulawiti na kuwanajis watot wadogo

Kuna nin kanisa hili kias kupelekea makasis wake kukumbwa na Kash ya ulawiti na kuwnajisis watoto wadogo

Mungu utuongoze





Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huko Chato mkoa wa Geita katekista wa kanisa katoliki amekamatwa akibaka mtoto wa 8.

=====

Jeshi la polisi mkoani Geita, linamshikilia Athanas Rugambwa (62) mkazi wa Muganza wilayani Chato mkoani Geita kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka nane mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Katema.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Alhamis Septemba 15, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Henry Mwaibambe amesema mtuhumiwa ni katekista na alikua akimfundisha mtoto huyo masomo ya dini.

Mwaibambe amesema mtuhumiwa huyo alimvizia mtoto akiwa kwenye mafundisho ya dini kanisani na kumuita ofisini kwake kisha kumbaka.

Mwananchi


Apewe adhabu ya kufanya asiweze tena kubaka!!!!



MATHAYO 5:29-30
29 Jicho lako la kuume likikukosesha, ling'oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum.
30 Na mkono wako wa kuume ukikukosesha, ukate uutupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum.
 
Hii ni kwa faida yako; Katekista ni mwalimu wa dini/wasaidizi wa Mapadre kwenye liturjia ndani ya Kanisa Katoliki. Anaweza kuwa wa jinsia yoyote ile (ke au me). Na anaruhusiwa kuoa/kuolewa.

Tofautisha kati ya Maaskofu/Mapadre na Watawa wa Kanisa Katoliki (ambao hawa sasa ndiyo hawaruhisiwi kuoa/kuolewa). Aliyefanya kosa ni Katekista, na siyo Padre.

Na alichokifanya huyo Katekista ni kosa la jinai, kama yalivyo makosa mengine! Hivyo sheria ifuate mkondo wake, ili haki ipatikane.
Sawa mkuu umesomeka

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja niweke kambi hapa Wakiristo wakirararuana maana hapa kuna bonge la battle Kati ya Wasabato Vs wakatoliki(Carlos The Jackal Vs Tate Mkuu View attachment 2357988
Wasabato hawana uwezo wa kupimana nguvu na Wakatoliki! Maana hawa ni watoto wa juzi tu.
Yaani hawana tofauti na wafuasi wa Moses kulola, Mwamposa, Josephat Gwajima, na hivi vipanya road vyetu.
Yangekuwa madhehebu mengine walau!


Watu gani hawa eti wanazuiliwa kunywa mpaka chai ya rangi! Kisa tu Ellen White alikuwa hapendi chai ya rangi, basi na wenyewe wanaiga! Wakiwa Kanisani kwao, karibia nusu ya ibada yao wanatumia kuwasema Wakatoliki! Wivu tu umewajaa.
 
Kabla Helena hajazaliwa, wengine wote kabla yake lazima wataenda motoni maana hawakuitukuza sabato?

Jambo ambalo hulifaham , Si tu kabla ya Hellen kuzaliwa, au baada ya Hellen kuzaliwa .


Hellen G White, hakuanzisha Suala la utanzaji wa Sabato.

Hellen G White, aliuanzisha IMANI YA KISABATO..Sasa Hapa Kuna mambo mengi sanaaa Ndani yake.


Sabato ilikuwapo Hata kabla ya kuumbwa Kwa Dunia, na itakuwepo siku zote Kwa sababu ni SIKU YA MUNGU MWENYEWE aliyoileta Duniani kwaajili ya wanadamu kwa mambo mawili

1) Wamkumbuke Mungu kama Muumbaji wa Mbingu na Ardhi na vyooooooote viijazavyo Dunia,siku hiii waitumie zaidi kuwasiliana na Mungu ,Uponyaji, Furaha n.k

2/Wanadam wapumzishe miili Yao na akili zao baada ya mchakachaka wa siku 6 za kazi na mahangaiko ya Dunia..



YESU alipokuja Duniani, aliikuta Sabato, na wayahudi waliiheshim Sabato , ndio Sababu alipoponyesha watu siku ya Sabato, wayahudi walimsema kafanya "Kufuru Kwa Mungu aliye juu".

Kwa hiyo Sabato ipo Toka enziii na enzi .


Kwahiyo, kabla au baada ya Hellen G , hakubadili Hatima ya mwisho wa mwanadam ambaye HAENDANI NA KINYUME NA MATAKWA YA MUNGU MWENYEWE., Na Moja ya takwa ya Mungu Kwa wanadam, ni kuzishika Amri zake 10.. na kwenye hizo Amri 10 ,Kuna Amri Sasa

Usiwe na miungu mingine, Usijifanyie sanamu, Usilitaje Bure jina langu, Ikumbuke siku ya Sabato, waheshim baba na Mama yako , usiue,usizini,usiibe, usishuhudie jirani yako uongo , usitaman nyumba ya jiran yako, Mke ,n.k...

Yaan Kwa ufupi nikwamba, Hizo ndo Amri za Mungu, Ni Vichwa vigumu tu vya wanadam.
 
YESU mwenye ni Msabato, na aliitunza Sabato, hakufanya kazi siku ya Saba ambayo ni JUMAMOS.


Kumuheshimu Mungu ni jambo la binadam mwenyewe , yaan tunatenda dhambi huku tukijua tunamkosea Mungu.

Na Moja ya sehem ambayo Mwanadam anamkosea Mungu ni Kuvunja Amri yake ya Nne, inayosema Ikumbuke siku ya Sabato na uitakase.
Bora hata useme Ijumaa ndiyo siku ya Sabato, ningekuelewa! Jumamosi maana yake ni siku ya kwanza ya juma. Hivyo ukubali tu nyinyi na sisi wa Jumapili, wote tumepuyanga tu.
 
Jambo ambalo hulifaham , Si tu kabla ya Hellen kuzaliwa, au baada ya Hellen kuzaliwa .


Hellen G White, hakuanzisha Suala la utanzaji wa Sabato.

Hellen G White, aliuanzisha IMANI YA KISABATO..Sasa Hapa Kuna mambo mengi sanaaa Ndani yake.


Sabato ilikuwapo Hata kabla ya kuumbwa Kwa Dunia, na itakuwepo siku zote Kwa sababu ni SIKU YA MUNGU MWENYEWE aliyoileta Duniani kwaajili ya wanadamu kwa mambo mawili

1) Wamkumbuke Mungu kama Muumbaji wa Mbingu na Ardhi na vyooooooote viijazavyo Dunia,siku hiii waitumie zaidi kuwasiliana na Mungu ,Uponyaji, Furaha n.k

2/Wanadam wapumzishe miili Yao na akili zao baada ya mchakachaka wa siku 6 za kazi na mahangaiko ya Dunia..



YESU alipokuja Duniani, aliikuta Sabato, na wayahudi waliiheshim Sabato , ndio Sababu alipoponyesha watu siku ya Sabato, wayahudi walimsema kafanya "Kufuru Kwa Mungu aliye juu".

Kwa hiyo Sabato ipo Toka enziii na enzi .


Kwahiyo, kabla au baada ya Hellen G , hakubadili Hatima ya mwisho wa mwanadam ambaye HAENDANI NA KINYUME NA MATAKWA YA MUNGU MWENYEWE., Na Moja ya takwa ya Mungu Kwa wanadam, ni kuzishika Amri zake 10.. na kwenye hizo Amri 10 ,Kuna Amri Sasa

Usiwe na miungu mingine, Usijifanyie sanamu, Usilitaje Bure jina langu, Ikumbuke siku ya Sabato, waheshim baba na Mama yako , usiue,usizini,usiibe, usishuhudie jirani yako uongo , usitaman nyumba ya jiran yako, Mke ,n.k...

Yaan Kwa ufupi nikwamba, Hizo ndo Amri za Mungu, Ni Vichwa vigumu tu vya wanadam.
Hivi mkurugenzi hujisikii aibu kuja kutulingushia hicho kibibi chenu Ellen G White kilichozaliwa juzi tu hapa kwenye karne ya 19!!

Yaani kipindi ambacho Kanisa Katoliki lilishaitawala Dunia kwa miaka 2000 kasoro! Shindana na vitu vyote! Ila usijaribu kabisa kushindana na Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume! Kamwe wewe na hao Wasabato wenzako hamtafanikiwa.
 
Kubishana na Msabato ni kupoteza tu muda kwa upande wangu. Maana mnajiona nyinyi ni watakatifu! kumbe ni bure tu.
Ukibishana na msabato utaonekana umechanganyikiwa kabisa, nilikutana nao wakawa wananiambia blood donation mahospitalini ni dhambi nikajua naongea na vichaa, wanachojua ni kuuza dawa za mitishamba tu
 
Wasabato hawana uwezo wa kupimana nguvu na Wakatoliki! Maana hawa ni watoto wa juzi tu.
Yaani hawana tofauti na wafuasi wa Moses kulola, Mwamposa, Josephat Gwajima, na hivi vipanya road vyetu.
Yangekuwa madhehebu mengine walau!


Watu gani hawa eti wanazuiliwa kunywa mpaka chai ya rangi! Kisa tu Ellen White alikuwa hapendi chai ya rangi, basi na wenyewe wanaiga! Wakiwa Kanisani kwao, karibia nusu ya ibada yao wanatumia kuwasema Wakatoliki! Wivu tu umewajaa.


Kanisa letu Lina misingi yake, Moja ya msingi ni Afya ya Kanisa, Waumini wenye Afya njema maana yake kazi ya Mungu inafanyika vema.

Lkn pia, MUNGU MWENYEWE ndio muanzilishi wa Afya Bora ya mwanadam...

Kasome MAMBO YA WALAWI 11 ...Mungu mwenyewe anawaambia watu wake, nini wale , na nini wasile.

Acha porojo porojo!!.


Sasa basi, Mimi ni Daktari , nakupa H/W mpigie simu Daktari yoyote yule MKATOLIKI , mwambie hivi, Kuna Daktari kaniambia Majani ya Chai haya tunayotumia, yana athari... Hii imekaaje ???.
 
Kanisa letu Lina misingi yake, Moja ya msingi ni Afya ya Kanisa, Waumini wenye Afya njema maana yake kazi ya Mungu inafanyika vema.

Lkn pia, MUNGU MWENYEWE ndio muanzilishi wa Afya Bora ya mwanadam...

Kasome MAMBO YA WALAWI 11 ...Mungu mwenyewe anawaambia watu wake, nini wale , na nini wasile.

Acha porojo porojo!!.


Sasa basi, Mimi ni Daktari , nakupa H/W mpigie simu Daktari yoyote yule MKATOLIKI , mwambie hivi, Kuna Daktari kaniambia Majani ya Chai haya tunayotumia, yana athari... Hii imekaaje ???.
Aisee Ellen G White amewaharibu kabisa. Ubishi ti umewajaa.
 
Back
Top Bottom