Chato: Katekista wa kanisa Katoliki akamatwa kwa tuhuma za kubaka mtoto wa miaka 8

Chato: Katekista wa kanisa Katoliki akamatwa kwa tuhuma za kubaka mtoto wa miaka 8

Jambo ambalo hulifaham , Si tu kabla ya Hellen kuzaliwa, au baada ya Hellen kuzaliwa .


Hellen G White, hakuanzisha Suala la utanzaji wa Sabato.

Hellen G White, aliuanzisha IMANI YA KISABATO..Sasa Hapa Kuna mambo mengi sanaaa Ndani yake.


Sabato ilikuwapo Hata kabla ya kuumbwa Kwa Dunia, na itakuwepo siku zote Kwa sababu ni SIKU YA MUNGU MWENYEWE aliyoileta Duniani kwaajili ya wanadamu kwa mambo mawili

1) Wamkumbuke Mungu kama Muumbaji wa Mbingu na Ardhi na vyooooooote viijazavyo Dunia,siku hiii waitumie zaidi kuwasiliana na Mungu ,Uponyaji, Furaha n.k

2/Wanadam wapumzishe miili Yao na akili zao baada ya mchakachaka wa siku 6 za kazi na mahangaiko ya Dunia..



YESU alipokuja Duniani, aliikuta Sabato, na wayahudi waliiheshim Sabato , ndio Sababu alipoponyesha watu siku ya Sabato, wayahudi walimsema kafanya "Kufuru Kwa Mungu aliye juu".

Kwa hiyo Sabato ipo Toka enziii na enzi .


Kwahiyo, kabla au baada ya Hellen G , hakubadili Hatima ya mwisho wa mwanadam ambaye HAENDANI NA KINYUME NA MATAKWA YA MUNGU MWENYEWE., Na Moja ya takwa ya Mungu Kwa wanadam, ni kuzishika Amri zake 10.. na kwenye hizo Amri 10 ,Kuna Amri Sasa

Usiwe na miungu mingine, Usijifanyie sanamu, Usilitaje Bure jina langu, Ikumbuke siku ya Sabato, waheshim baba na Mama yako , usiue,usizini,usiibe, usishuhudie jirani yako uongo , usitaman nyumba ya jiran yako, Mke ,n.k...

Yaan Kwa ufupi nikwamba, Hizo ndo Amri za Mungu, Ni Vichwa vigumu tu vya wanadam.
Unajua maana ya Mosi? Mosi ni kwanza au moja.

Kwa maana hiyo Jumamosi ni siku ya kwanza. Sasa kwanini mnaiabudu siku ya kwanza badala ya siku ya saba ambayo ni Ijumaa?

Kwanini mnaiabudu siku badala ya Mungu?

Au ndio maagizo ya Helena?
 
Hivi mkurugenzi hujisikii aibu kuja kutulingushia hicho kibibi chenu Ellen G White kilichozaliwa juzi tu hapa kwenye karne ya 19!!

Yaani kipindi ambacho Kanisa Katoliki lilishaitawala Dunia kwa miaka 2000 kasoro! Shindana na vitu vyote! Ila usijaribu kabisa kushindana na Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume! Kamwe wewe na hao Wasabato wenzako hamtafanikiwa.


Tatizo lenu, hamna mjualo ni Kwa namna gani Kanisa lenu Rumi limeanzishwa .


Lkn pia, Udogo wa uelewa wa maandiko ndio changamoto.


Suala la H.G.W kuanzisha Imani ya KISABATO , sio kwamba Kuabudu Sabato kulianza kwake

YESU alipokuja Duniani, aliikuta wayahudi wanaabudu Sabato, nakanisa la wakati lile, halikuwepo Cha Roma, Wala Angalikana, Wala SDA ..Kanisa LILIJULIKANA , "KANISA LA KRISTO"na Eneo la KANISA ...

Ukisoma Ufunuo... Utakutana na Kanisa la Laodokia, Kanisa la Efeso, Kanisa la Simrina ,Kanisa la Pergamo N.k .

mlivyo wanaa, wanawadanganya Et YESU KRISTO ALINZISHA KANISA LA RUMI🤣🤣🤣
 
Kanisa letu Lina misingi yake, Moja ya msingi ni Afya ya Kanisa, Waumini wenye Afya njema maana yake kazi ya Mungu inafanyika vema.

Lkn pia, MUNGU MWENYEWE ndio muanzilishi wa Afya Bora ya mwanadam...

Kasome MAMBO YA WALAWI 11 ...Mungu mwenyewe anawaambia watu wake, nini wale , na nini wasile.

Acha porojo porojo!!.


Sasa basi, Mimi ni Daktari , nakupa H/W mpigie simu Daktari yoyote yule MKATOLIKI , mwambie hivi, Kuna Daktari kaniambia Majani ya Chai haya tunayotumia, yana athari... Hii imekaaje ???.
Daktari wewe basi ni kilaza wa kutupwa.

Kuwa na athari hasi haimaanishi ndio kisitumiwe, kuna vitu vingapi unavyotumia vina athari hasi?

Itakuwa ni kibaya pale tu Madhara yake ni makubwa kuliko faida
 
kwani wanaume siku hizi wamekuaje jamani mara baba kambaka mwanae
 
Daktari wewe basi ni kilaza wa kutupwa.

Kuwa na athari hasi haimaanishi ndio kisitumiwe, kuna vitu vingapi unavyotumia vina athari hasi?

Itakuwa ni kibaya pale tu Madhara yake ni makubwa kuliko faida
Unaona ulivyo kiazi mbatata sasa , wewe ulishiwahi jiuliza Kwa mnywaji wa Pombe ,Huwa ni ngum Tena kuacha pombe na hatima yake Huwa ni Kuua Ini lake na mashida kedede? Sasa kipi Bora, kuacha kabisa au kuendelea kutumia ?.

Wee Kilaza kweli, Sigara simpaka wanawaandikia ni hatari Kwa Afya yako?. ..lkn simnavita Mdogo mdogo, matokeo yake Huwa ni yapi?.


Kiazi mbatata wewe !!.
 
Huko Chato mkoa wa Geita katekista wa kanisa katoliki amekamatwa akibaka mtoto wa 8.

=====

Jeshi la polisi mkoani Geita, linamshikilia Athanas Rugambwa (62) mkazi wa Muganza wilayani Chato mkoani Geita kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka nane mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Katema.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Alhamis Septemba 15, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Henry Mwaibambe amesema mtuhumiwa ni katekista na alikua akimfundisha mtoto huyo masomo ya dini.

Mwaibambe amesema mtuhumiwa huyo alimvizia mtoto akiwa kwenye mafundisho ya dini kanisani na kumuita ofisini kwake kisha kumbaka.

Mwananchi
Katekista itakua alisoma uzi wa kula kimasihara
 
Unajua maana ya Mosi? Mosi ni kwanza au moja.

Kwa maana hiyo Jumamosi ni siku ya kwanza. Sasa kwanini mnaiabudu siku ya kwanza badala ya siku ya saba ambayo ni Ijumaa?

Kwanini mnaiabudu siku badala ya Mungu?

Au ndio maagizo ya Helena?

Kwa maana hiyo, Jumapili...pili

Kwahiyo Jpl ni siku ya Pili???


Wewe unahisi Majina ya siku yalianza kutumia wakati gani ?.


Sasa ni hivi ili uelewe,, Siku Kwa mujibu wa Mungu mwenyewe , zinahesabika hata Leo Kwa KIYAHUDI ... Na katika KIYAHUDI, Siku ya Saba ni Yom Shabbat , Kingereza ni SATURDAY .


wabongo Saturday tukaiita Jumamosi , Sunday tukaita Jumapili.

Alafu, usipende kujibu masuala mazito Kwa majibu mepesi
 

Attachments

  • Screenshot_20220915_191213.jpg
    Screenshot_20220915_191213.jpg
    346.7 KB · Views: 2
Unaona ulivyo kiazi mbatata sasa , wewe ulishiwahi jiuliza Kwa mnywaji wa Pombe ,Huwa ni ngum Tena kuacha pombe na hatima yake Huwa ni Kuua Ini lake na mashida kedede? Sasa kipi Bora, kuacha kabisa au kuendelea kutumia ?.

Wee Kilaza kweli, Sigara simpaka wanawaandikia ni hatari Kwa Afya yako?. ..lkn simnavita Mdogo mdogo, matokeo yake Huwa ni yapi?.


Kiazi mbatata wewe !!.
Kumbuka kuna normal level ya Alcohol consumption ambayo haimweki mtu kwenye risk

We ni daktari kweli au [emoji848]
 
Hawa watu wangeruhusiwa waoe tu

Maana huko parokiani wanapeleka moto kwa kujificha
Kateksta siyo mtawa,anachaguliwa miongoni mwa waumin wa kanisa,is just a normal member,hii siyo ROHO ya kawaida,lazima kuna Ushirikina ndani yake [emoji24]
 
Kumbuka kuna normal level ya Alcohol consumption ambayo haimweki mtu kwenye risk

We ni daktari kweli au [emoji848]

Ndio maana nimekuita Kiazi mbatata

Achana na mambo ya kiwango gan Kwa siku, na aina gan ya pombe .

Wewe unahisi Kuna mnywaji wa Pombe anayeweza kumantain kiwango sahihi Cha unywaji wa Pombe ?, na hufaham habari za athari ya Pombe kwenye balance ya GABA na glutamate kumpelekea mnywaji kuifanya Pombe kua sehem yake siku zote ?.

Sikila mnywaji huanza na chupa Moja na huniapiza kunywa chini ya 2, Huwa wanaishia wapi?.


Kiazi wewe !!!
 
Kubishana na Msabato ni kupoteza tu muda kwa upande wangu. Maana mnajiona nyinyi ni watakatifu! kumbe ni bure tu.
Kisa hawali kitimoto na kambale na kusali jumamosi,wanajiona watakatifu Sana, wakati Sheria zingine za Musa hawazigusi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio maana nimekuita Kiazi mbatata

Achana na mambo ya kiwango gan Kwa siku, na aina gan ya pombe .

Wewe unahisi Kuna mnywaji wa Pombe anayeweza kumantain kiwango sahihi Cha unywaji wa Pombe ?, na hufaham habari za athari ya Pombe kwenye balance ya GABA na glutamate kumpelekea mnywaji kuifanya Pombe kua sehem yake siku zote ?.

Sikila mnywaji huanza na chupa Moja na huniapiza kunywa chini ya 2, Huwa wanaishia wapi?.


Kiazi wewe !!!
We daktari wewe ni takataka kabisa sijui umesoma wapi.

Anyway Kila kitu ni kiasi

Alcohol ni drugs kama drugs zinginge ambazo zina athari.

Mbona hatuachi kutumia dawa kisa zina Madhara?
 
YESU mwenye ni Msabato, na aliitunza Sabato, hakufanya kazi siku ya Saba ambayo ni JUMAMOS.


Kumuheshimu Mungu ni jambo la binadam mwenyewe , yaan tunatenda dhambi huku tukijua tunamkosea Mungu.

Na Moja ya sehem ambayo Mwanadam anamkosea Mungu ni Kuvunja Amri yake ya Nne, inayosema Ikumbuke siku ya Sabato na uitakase.
Wapi pameandikwa YESU KRISTO alikua msabato? YESU aliponya watu Mpaka siku ya sabato mpaka mafarisayo wakakasirika, leo unatudanganya aliisika sabato?
 
Back
Top Bottom