Chato: Katekista wa kanisa Katoliki akamatwa kwa tuhuma za kubaka mtoto wa miaka 8

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Huko Chato mkoa wa Geita katekista wa kanisa katoliki amekamatwa akibaka mtoto wa 8.

=====

Jeshi la polisi mkoani Geita, linamshikilia Athanas Rugambwa (62) mkazi wa Muganza wilayani Chato mkoani Geita kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka nane mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Katema.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Alhamis Septemba 15, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Henry Mwaibambe amesema mtuhumiwa ni katekista na alikua akimfundisha mtoto huyo masomo ya dini.

Mwaibambe amesema mtuhumiwa huyo alimvizia mtoto akiwa kwenye mafundisho ya dini kanisani na kumuita ofisini kwake kisha kumbaka.

Mwananchi
 
Kuna mtu ukimuambia kwa dunia ya sasa huwezi kumuamini mtu kwa usalama wa mtoto wako na njia pekee ni kujenga urafiki nae na pia kumpa uwezo wa kujieleza na kujisimamia ili aepuke hatari, anaona kama umechanganyikiwa 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️
 
Tulia dada mbona hivyo?
Shemeji hajaacha kodi ya meza?
Issue ya ubakaji/ulawiti ni issue ya mtu binafsi sio kanisa na waamini wake wote?
Hebu nikuulize hapo ulipo hakuna mkatoliki kama yupo mbona wewe hujalawitiwa?
Ubakaji ni issue ya mtu binafsi sio dini,kabila wala rangi wala taifa wala jamii.
 
HuU SI ndio yule Katekista mashuhuri na alikuwa kimbelembele enzi zile za uncle mwendazake? Kakumbwa na Nini?
 
Daaah, hakuna pa kukimbilia!
 
Waruhusiwe kuoa tuuu☹️☹️☹️.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…