Unaruhusiwa hata wewe kumuatack... sema mabaya yake kama tunavyosema ya Pombe.Anaongoza chama amedhaminiwa na chama ongelea chama chake mbona yeye hamuatack Lissu? au unadhani hana ya kumu attack nayo? acha umbumbu jazz band
Nikafikiri mliwadhibiti! Kumbe walikimbia!?mlipanga kundi la wahuni si uliona umati walivyomlinda ,kundi dogo na wahuni wa CCM kazi yao kuvizia kama vibaya kurusha mawe kwa mbali ,mbona walikimbia
Lissu hua anasema Nchi inaendeshwa kidikteta...Mara nyingine anasema MAGUFULI anajifanya mfalme je ni kweli anamaanisha ? Je ni kweli anaamini anachosema maana huwezi ukaenda stronghold ya mfalme ukapige kampeni labda iwe ndani ya nchi ya kidemokrasia sasa yeye anaamini MAGUFULI ni dikteta alafu wakati huohuo anaenda kufanya kampeni kwake ( kwa diktete kweli?)
Paragraph yako ya mwisho ni ya kipuuzi sana...kwa hyo Lissu asiende kwa sbb ya kumnanga kujijengea uwanja wake?Siamini kwamba wananchi wachato wananeemeka na huo uwanja hvyo wachukie,haya ni mawazo sikia ya mtu asiyemkazi wa chattle.Kwa taarifa jiwe hajawahi kupendwa chattle kwani hata ubunge hajawahi kupigiwa kura na wanachattle zaidi viti maalum kwa jina la "kupita bila kupingwa"ndio maana unaona hana ushawishi kabisaKu attack msafara wa mgombea yeyote sio jambo la kiungawana.
Lakini lazima uulize akili za strategist wa Chadema kuna ulazima gani wa kumpeleka Lissu Chato?
This is just a provocation kwa watu wa Chato mambo mengine ni ya kujitakia anawapa walinzi wake binafsi na jeshi la polisi kazi ya ziada wakati mwingine.
Nilikuwa hakuna umati, kulikuwa na kakundi ka kawatu kadogo alikotokanako Geita.
Mwambieni kichaa wenu Lissu kwamba aache lugha za kifedhuli dhidi ya Rais, na pia anapoomba kura sio mpambano wa yeye binafsi na Magufuli aache kumuattack perosanally ashadihishe hoja kati ya chadema na ccm sio magufuli na Lissu, akiendelea hivyo atapigwa maeneo mengi tu nje ya Chato
Nilikuwa hakuna umati, kulikuwa na kakundi ka kawatu kadogo alikotokanako Geita.
Ndiyo maana hata clip zote mnazozisambaza wote wanaolalamika kupopolewa na mawe wanajitambulisha wametoka Katoro, yaani unatoka Katoro hadi Chato kwenda kufanya fujo harafu utoke salama.
Ukute wewe ni kijana wazazi walisomesha shule wakajinyima visenti vyao kumbe wanasomesha kengeLissu hua anasema Nchi inaendeshwa kidikteta...Mara nyingine anasema MAGUFULI anajifanya mfalme je ni kweli anamaanisha ? Je ni kweli anaamini anachosema maana huwezi ukaenda stronghold ya mfalme ukapige kampeni labda iwe ndani ya nchi ya kidemokrasia sasa yeye anaamini MAGUFULI ni dikteta alafu wakati huohuo anaenda kufanya kampeni kwake ( kwa diktete kweli?)
Hakuna anayejulikana mapaka sasa ndio maana tunamwachia Mungu ahukumu kwa wakati wake.Sengondo na Sokoine walitangulizwa na akina nani ?
Wapumzike kwa amani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangekufa wajinga wale.. wanaleta shobo kwenye mikutano isiyowahusu.Nikafikiri mliwadhibiti! Kumbe walikimbia!?
Na bado
We nionyeshe video wanapopigwa mawe chadema
Mmeiteka Tanzania nzima,mtashinda usiwe na wasiwasi mkuu,mimi nilikuwa nasema kile nilichokiona,wewe umepata taarifa hapa Jf.Mwisho wa siku kila mtu aamini anachokiamini.Umeongopa mkuu mkutano ulikuwa na nyomi na vijana kwa elfu 50 wanarusha mawe
Ukiambiwa siasa ni somo pana, akili yako inakutuma kwenye maswala ya vyuo tu eeh😃?Yaani nimecheka kwa nguvu, halafu inaonekana ww utakuwa ni Mzee lazima, maana ndio huwa wanatumiaga maneno kama haya ya kwako. Yaani watu tuone mtu katekwa kabisa uniambie siasa ni somo pana sana! Mimi nazungumzia uhalisia wa siasa, ww unaniletea habari ulizokaririshwa kwenye chuo cha siasa hapo kivukoni. Kaa Kimya tu maana huna jipya.
Acha usengge wewe, wapi umeniona nasambasa clip, pumbavu weweNilikuwa hakuna umati, kulikuwa na kakundi ka kawatu kadogo alikotokanako Geita.
Ndiyo maana hata clip zote mnazozisambaza wote wanaolalamika kupopolewa na mawe wanajitambulisha wametoka Katoro, yaani unatoka Katoro hadi Chato kwenda kufanya fujo harafu utoke salama.
Nimeangalia clip zote zilizoambatanishwa kwenye post ya kwanza ya uzi huu. Sikuona mahali panapoonyeshwa ushahidi wa UVCCM kufanya vurugu. Nimeona baadhi ya wananchi waliovaa jezi za Chadema wakimshambulia mtu mbele ya askari!!! Sasa katika mazingira haya ambayo Chadema wanadai wanaakili kubwa, wameshindwa kweli kutumia akili yao kubwa kudhibitisha madai yao haya!? Tuukiwaambia ni waongo na wazushi....wanakuja juu!!! Kwa hiyo, kwa ushahidi uliowekwa, nadhani ni ghiliba zile zile za kuamsha taharuki nchi ili malengo yao yatimie ya kupata sababu ya kuomba " Asylum" huko nje ya nchi. Hilo Watanzania tunaopenda nchi yetu hatuliungi mkono.
Lisu ameamuru barabara ifungwe?!!
Kama nani?