Hivi na nyie mkienda maeneo ya wapinzani mkapigwa mawe mnaweza kuvumilia?Lisu na chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Hawachelewi kusema ni CHADEMA ndio wameanza fujoWameshindwa hoja wamekimbilia nguvu ni dhaifu Sana Hawa
Kwa hyo kila mgombea akisema aandae watu wa kurusha mawe unadhani magu angefanya kampeni ikungi? Jpm ni mbaguzi.sasa kura akachukue hukohuko chato.Hatuwezi mpa kura mtu mbaguzi kiasi hicho, kwani Leo alikoomba kura dar ndo kwake?Lisu na chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Kila siku chato chato,Wameshindwa hoja wamekimbilia nguvu ni dhaifu Sana Hawa
Lisu na chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Huko jimboni kwa Lissu watu wanampenda Magufuli ndio maana hawakumrushia mawe. Ukisema kwamba hawakumrushia kwasababu ya mamlaka yake, Basi angalau hata wangemzomea tu.huo ni ujinga kwahiyo Magufuli asifanye kampeni jimboni kwa lissu au arusha apigwe mawe ,we nguruwe wa lumumba huna akili
Sijui leo aliropoka tena kuhusu uwanja wa chato au mbuga ya burigi 😁Watu wanataka uwanja unakwenda kuwaambia kuwa uwanja hauna faida wacha wakuchape kichapo cha mwizi
Halafu viongozi wa dini wanamrambamramba miguu jpm.siwapendi wale viongozi wa dini hatariiWana wa Mungu "CHADEMA " shukuruni Mungu, huyo askari hapo namuonea huruma, yeye anatekeleza maagizo toka kwa "wanefili" waliomtuma , waliovaa ngozi ya kondoo ilhali ndani ni mbwa mwitu, leo wametembelea hekalu, kukagua ujenzi kumbe mioyoni wamejaa "damu"
Hivi wakati unaandika huu ugoro ulikuwa unakunywa nyagi au? Hivi sisi wa kaskazini tuufanye huu upuuzi unaoushabikia unafikiri tutafika wapi?Lisu na chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Mkuu hakuna chama kisicho na wafuasi popote nchi hii, kilichofanyika chato ni aibu kwa rais, Igp ana la kujibu.Jpm kaelekeza vijana wafanya yaleHuko jimboni kwa Lissu watu wanampenda Magufuli ndio maana hawakumrushia mawe. Ukisema kwamba hawakumrushia kwasababu ya mamlaka yake, Basi angalau hata wangemzomea tu.
Kiukweli, ni ngumu Sana Lissu kukubalika Chato, Kama uliwahi kufika utakubaliana na mimi.Huyo mnaemuita jiwe ni kama mtemi wao, huwaambii kitu kabisa juu ya Magufuli, kwahiyo sishangai hivyo vitendo vilivyotokea huko(na wala haiwezi kuwa kikundi kilicho andaliwa)
Pamoja na hayo hiyo haimzuii mgombea wa chama pinzani kufanya kampeni zake Kama kweli democracy inazingatiw.Hivyo sheria unapaswa ichukue mkondo wake kwa wote waliofanya huo uvunjifu wa amani.
We unahoji kama nani? Watu wengine kwa kupenda kujimwambafai!!!!!Lisu ameamuru barabara ifungwe?!!
Kama nani?
Lisu na chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Ndomaana nikasema hatua sitahiki zichukuliwe kwa wote waliohusika.Sipo hapa kusupport kilichotokea.Mkuu hakuna chama kisicho na wafuasi popote nchi hii, kilichofanyika chato ni aibu kwa rais, Igp ana la kujibu.Jpm kaelekeza vijana wafanya yale
Kilichofanyika kikundi kidogo sana cha vijana ndo kilirusha mawe, mbaya zaidi polis wakala wanawaangalia tu badala ya kuipambania nao..Si mlikuwa mnasema Chato itazizima? Ikekuwaje Tena the so called " NI YEYE" kashambuliwa na wapiga kura wake?
🤣🤣🤣 Huo ndo uhalisia wenyewe, mtu wenu hawezi kukubalika chato miaka mia.Mimi chato naijua kwa100%.unaonekana kichaa unapoandika bla bla nyingi halafu uharo mtupu
Mheshimiwa Tundu Lissu aamuru Barabara ya Chato Kufungwa baada ya wafuasi wa CCM kushambulia kwa mawe msafara wake na kuharibiwa gari la vifaa vya muziki (PA).
View attachment 1599022