Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
wameona risasi hazifanyi kazi wakaamua wahamie kwenye maweBaada ya risasi 16 kudunda wanajaribu na mawe sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wameona risasi hazifanyi kazi wakaamua wahamie kwenye maweBaada ya risasi 16 kudunda wanajaribu na mawe sasa?
Hii nchi siyo ya watu wa Chato peke yake, hii Nchi ya wote na kila mmoja anatakiwa awe anaishi na anaenda kwa amani mahali kokote nchini.Lakini lazima uulize akili za strategist wa CDM kuna ulazima gani wa kumpeleka Lissu Chato?
This is just a provocation kwa watu wa Chato mambo mengine ni ya kujitakia anawapa walinzi wake binafsi na jeshi la polisi kazi ya
Mungu akiwa upande wetu hakuna litakaloshindikana. Yeye amafahamu ni jinsi gani atakavyotukinga na kutupihaia dhidi ya hawa Watesi wetu.Hutawasikia tume ya uchaguzi wakilaani kwa vile ni chadema wanashambuliwa ,ingekuwa CCM ndo wanashambuliwa utaona watakavyokuja kasi kulaani kama faru aliyejeruhiwa kwa risasi
Wapo watu humu jf mmefurahi kwa shambulio kwa lisu.furaha yenu ni ya kitambo tuu chadema iko mioyoni mwa wa tz wengi
Hutawasikia tume ya uchaguzi wakilaani kwa vile ni chadema wanashambuliwa ,ingekuwa CCM ndo wanashambuliwa utaona watakavyokuja kasi kulaani kama faru aliyejeruhiwa kwa risasi
na sisi wa Mwanza na Shinyanga tutamfundisha adabu huyo Msukuma feki wa Burundi.Lissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Sasa mkuu, kampeni meneja wa Lisu alishiriki mazishi ya mbwa wa Nasari yeye pamoja na Lema, unategemea nini toka kwa mtu kama huyo??Ku attack msafara wa mgombea yeyote sio jambo la kiungawana.
Lakini lazima uulize akili za strategist wa CDM kuna ulazima gani wa kumpeleka Lissu Chato?
This is just a provocation kwa watu wa Chato mambo mengine ni ya kujitakia anawapa walinzi wake binafsi na jeshi la polisi kazi ya ziada wakati mwingine.
Mbona habari hazieleweki, Mkutano alifanikiwa kufanya au hakufanikiwa?Mheshimiwa Tundu Lissu aamuru Barabara ya Chato Kufungwa baada ya wafuasi wa CCM kushambulia kwa mawe msafara wake na kuharibiwa gari la vifaa vya muziki (PA).
View attachment 1599022
Wakakupime sio bure .Lissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Mbona habari hazieleweki, Mkutano alifanikiwa kufanya au hakufanikiwa?
Chato ipo Burundi ? au mpaka uwe na Passport ndio uende Chato?Lissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Sasa mkuu, kampeni meneja wa Lisu alishiriki mazishi ya mbwa wa Nasari yeye pamoja na Lema, unategemea nini toka kwa mtu kama huyo??
Mkuu kukubalika mimi pia sikatai lakini kurusha mawe huo ni ushenzi na uhuni wa hali ya juu na unapaswa kukemewa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huo ndo uhalisia wenyewe, mtu wenu hawezi kukubalika chato miaka mia.Mimi chato naijua kwa100%.
Sijisikii vizuri kabisa kuitwa chizi na jobless.
Mimi pia naona chadema wamezidi unyonge.Ni upuuzi kutowaandaa vijana wa cdm kujibu kwa namna hiyo hiyo kwa kujihami dhidi ya hao wapuuzi wa uvccm.Chadema muache unyumbu,watu wanawashambulia mnashindwa kujibu? Hili ni tukio takribani la 3
Mheshimiwa Tundu Lissu aamuru Barabara ya Chato Kufungwa baada ya wafuasi wa CCM kushambulia kwa mawe msafara wake na kuharibiwa gari la vifaa vya muziki (PA).
View attachment 1599022
View attachment 1599076
IGP kama kweli yuko serious basi aanze na hao WAHUNI WA CCM, hayo MAGENGE ndio yatakayotumika pia kupora nakala za matokeo kwa Mawakala kama ambavyo walifanya kwa Wagombea Ubunge na Udiwani. This is a failed Government, Magufuli must go.Lissu anakashifu uwanja kujengwa chato, mbuga ya wanyama kupelekwa na benki kujengwa chato alafu anapeleka pua unategemea nini, wasukuma hawataki mashoga
Inaonesha ni watu wa aina gani wamemzunguka mgombea wa Chadema,
Yaani kampeni meneja anafanya mazishi ya Mbwa??
Haha.