imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Tufanye siasa za kistaarabu sasa kusifia siasa za zama za kale za mawe hakufaiLisu kajitakia! Kila siku anawatukana watu wa chato, wampopoe kabisa hana adabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tufanye siasa za kistaarabu sasa kusifia siasa za zama za kale za mawe hakufaiLisu kajitakia! Kila siku anawatukana watu wa chato, wampopoe kabisa hana adabu
Tumia Busara broo.Lissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Siasa za majitaka hizo mkuu. Tangu lini mgombea wa urais akapangiwa ni wapi asifike? Sasa mmeshaishiwa mbinu na hoja za majukwaani eti unasema Tundu Lissu wapi na wapi Chato? Hivi unajielewa kweli au unafuata mkumbo tu? Nyie subirini tu 28 tuna jambo letu hakika hamtaamini enyi banyamulenge.Lissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Kwani chato siyo Tanzania. Magufuli hajapita ikungi wiki iliyopita na hajasumbuliwa na mtu yeyote? Mkiambiwa mnatumia NGUVU kushinda mapovu pipa. Pumbavu.Lissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Ni kweli mkuu.Kwa vurugu za chato anayepaswa kujisafisha ni rais, akikaa kimya atakuwa amechafuka vibaya.Kwa rais alipaswa kuwa mfano kufanikisha usalama wa kutosha unawepo Kwake kwa wagombea wenzie..
Wacheni mambo ya kishamba kama mgombea wenu hakubaliki fujo za nini?Makamanda mnalialia nini
Hicho kitendo sijakisapoti hata kidogo, na Wala siwezi kushangilia Jambo Kama hilo, maana hata ningekuwa mimi nisingefurahia.Ndomaana nikasema Hatua Kali za kisheria zinapaswa kuchukuliwa dhidi ya waliohusika.Mkuu kukubalika mimi pia sikatai lakini kurusha mawe huo ni ushenzi na uhuni wa hali ya juu na unapaswa kukemewa.
Wewe unadhani magufuli anakubalika sehemu zote kwa 100%?
Well siku ukiitwa BBC kuwaelezea hayo malalamiko yako usisahau kuwauliza kwanini unionist awaendi maeneo ya separatist kwenye campaign za siasa huko North Ireland na wakati ni haki ya mgombea kwenda popote kwa taifa linalojidai ku promote democracy duniani.Hii nchi siyo ya watu wa Chato peke yake, hii Nchi ya wote na kila mmoja anatakiwa awe anaishi na anaenda kwa amani mahali kokote nchini.
Mgawanyo wanini sasa?
Mmmh, hilo mimi sina uhakika nalo Wala ushahidi wowote, kwahiyo siwezi kujadili chochote.Hata kwa Waziri mkuu wagombea wa upinzani walitekwa na kupigwa sana ili waziri mkuu apite bila kupingwa. Hayo ndio maagizo ya viongozi wa amani hii.
Ninyi wanaCCM mbona mnamharibia mgombea wenu?Washambuliaji ni wana-Chato ambao Tundu lissu anawasema wamepelekewa maendeleo kwa upendeleo
Nimeuliza tu rafiki yangu, nijibuJitoeni akili tu pumb@vu zenu nyie
Huenda ikawa kama unavyowaza,na kama ndivyo basi viongozi wa namna hiyo hawawezi kutufaa kwa namna yoyote ile.Siyo hulka ya Watanzania kuwafanyia fujo wanasiasa wanaoomba kura. Ukiona fujo imefanyika ujue kuna watu na wanasiasa wa hovyo waliochochea, kuratibu na hata kuwezesha fujo. Wanasiasa wa aina hiyo hawatufai hata kidogo.
Inasadikika wamechukuliwa vijana wa jkt na ni maagizo ya jpm, hizi ni habari toka chatooo
Alimtukanaje?Lissu ameamua kufanya siasa za uchokizi, kutukanana, Nzega alivyo mtukana magufuli, alikuwa anapeleka ujumbe Chato kuwaomba wamshambulie, ili apate ajenda ya kuzungumzia kesho na keshokutwa. Apigwe tuu
Kama kweli ni kibaraka wa Wazungu basi ccm mnapoteza muda wenu bure...Huyu msaliti na kibaraka hapaswi kupewa nafasi kuendelea kupanda mbegu za chuki miongoni mwa watanzania, asubiri kipigo cha kura kiduchu ndiyo ataelewa this is Tanzania
What happened to JPM when was in Singida?Ku attack msafara wa mgombea yeyote sio jambo la kiungawana.
Lakini lazima uulize akili za strategist wa CDM kuna ulazima gani wa kumpeleka Lissu Chato?
This is just a provocation kwa watu wa Chato mambo mengine ni ya kujitakia anawapa walinzi wake binafsi na jeshi la polisi kazi ya ziada wakati mwingine.
Kwa nini mnapenda vurugu?nyie ndio chanzo cha kuvuruga amani, na machafuko ndani ya nchi hii yataanzishwa na nyinyi, nashangaa sijui kwa nini vyombo vya Dora vinawakumbatiaLissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha Chato wamfundishe
Lisu anachokitafta atakipata very soon! Maana asidhanie matusi na maneno anayotumia kila mtu anao uvumilivu.