IGP kama kweli yuko serious basi aanze na hao WAHUNI WA CCM, hayo MAGENGE ndio yatakayotumika pia kupora nakala za matokeo kwa Mawakala kama ambavyo walifanya kwa Wagombea Ubunge na Udiwani. This is a failed Government, Magufuli must go.Washambuliaji ni wana-Chato ambao Tundu lissu anawasema wamepelekewa maendeleo kwa upendeleo
IGP kama kweli yuko serious basi aanze na hao WAHUNI WA CCM, hayo MAGENGE ndio yatakayotumika pia kupora nakala za matokeo kwa Mawakala kama ambavyo walifanya kwa Wagombea Ubunge na Udiwani. This is a failed Government, Magufuli must go.Wacha ashughulikiwe, atatia adabu tu. Wananchi wa Chato sio wa mchezo mchezo.
Kuwa mwendawazimu kama ulivyo, siyo sifa unayotakiwa kuionesha mbele za watu.Lissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Wanatafta kutrend, hiyo ndo siasa ya CDM , utaona vichwa vya magazeti kesho.Ku attack msafara wa mgombea yeyote sio jambo la kiungawana.
Lakini lazima uulize akili za strategist wa CDM kuna ulazima gani wa kumpeleka Lissu Chato?
This is just a provocation kwa watu wa Chato mambo mengine ni ya kujitakia anawapa walinzi wake binafsi na jeshi la polisi kazi ya ziada wakati mwingine.
They have lost the legitimacy to lead the country.Wameshindwa hoja wamekimbilia nguvu ni dhaifu Sana Hawa
2810Mbona hata Rais Mstaafu Kikwete msafara wake uliwahi kushambuliwa kwa mawe? Kuna watu bado ubongo wao haujapevuka. hata kwenye majukwaa ya kisiasa bado watu hoja zao ni matusi tu nao ni sawa na hawa wanaorushia mawe viongozi, mawe mengine yanarushwa humu JF watu badala ya kujibu hoja wanatukana tu!
Tuwaombee wastaarabike, Ameen!
Huwa sitafuni mwanamme mwenzangu bali tutafumuana mingumiSawa bwashee utanitafuna tu,mimi si muhongo wa kutafuna.
Mbona JPM alikaribishwa kwa wema sana Ikungi? Acha siasa za kutugawa na za kumwaga damu.Lissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Kwahiyo unaona arusha kama yenuduh ...! Basi kenya
Eti ndiyo akili waliyo iamini kuongoza nchi kwa miaka mitano iliyopita! So pathetic! Kituko
Mheshimiwa Tundu Lissu aamuru Barabara ya Chato Kufungwa baada ya wafuasi wa CCM kushambulia kwa mawe msafara wake na kuharibiwa gari la vifaa vya muziki (PA).
View attachment 1599022
View attachment 1599076
It is not going to work Lissu na watu wake (mabeberu waliomtuma) washajiandaa kushindwa ndio maana wanajitangaza washindi mapema sijui Lissu anasapoti kubwa ndani ya Tanzania etc with nonsense ya kutengeneza mazingira ya kupinga matokeo ya uchaguzi na kujaribu kuanzisha vuruga.Wanatafta kutrend, hiyo ndo siasa ya CDM , utaona vichwa vya magazeti kesho.
Wanachato nawatolea fungu la kumi kwaajili yao kizazi teule cha Chato.Safi sana wanachato
Mkuu ingia YouTubeWacha ashughulikiwe, atatia adabu tu. Wananchi wa Chato sio wa mchezo mchezo.
Wewe ni pumbavuu kiwango cha lami, magufuli alipokelewa kwa heshima Ikungi iweje ufurahie Lissu kushambuliwa chato.
Hivi huko lumumba huwa mnabakwa?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mbona Dr. Magufuli alikwenda Singida? Acha siasa za kitoto haya ni maisha kila mtu ana uhuru wa kuchagua kiongozi anayemtakaLissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha chato wamfundishe tena wampige mawe haswaa
Ulishawahi kumsikia Magu akiwatukana watu wa SingidaMbona Dr. Magufuli alikwenda Singida? Acha siasa za kitoto haya ni maisha kila mtu ana uhuru wa kuchagua kiongozi anayemtaka