Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

Hivi uwanja wa mpira unahamasishaje watalii?

Yaani watalii waache huko kwao kwenda kushangaa Wembley Stadium waje washangae Chato Stadium?

Haya bana.
unasemaje
IMG_20190703_095015.jpg
 
CRDB stadium, mfadhili mkuu ni crdb chini ya Kimei
 
Kwani Chato siyo Tanzania?? Hicho kiwanja cha mpira kingejengwa Rwanda kwa hela za walipa kodi za Watanzania hii Taarifa ingekuwa big deal.... Kama ni Chato wacha tu kijengwe hadi 2030 tutakuwa na vigezo vya Tanzania ku host world cup...
 
mkuu hili lipo siku nyingi na mfadhili ni crdb na uwanja utaitwa crdb
 
tusihau na bahari....tukaijenge chato bahari ya kimataifa ili kiweze kuwa na bandari....
 
Back
Top Bottom