Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Uwanja wa mpira unahamasisha vipi watalii ?
Yaani sijui kwanini Watanzania tunaonekana bogus na hawa wanao tuongoza
Yaani sijui kwanini Watanzania tunaonekana bogus na hawa wanao tuongoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zuzu wewe! Jinga kabisa!!Kwani Chato siyo Tanzania?? Hicho kiwanja cha mpira kingejengwa Rwanda kwa hela za walipa kodi za Watanzania hii Taarifa ingekuwa big deal.... Kama ni Chato wacha tu kijengwe hadi 2030 tutakuwa na vigezo vya Tanzania ku host world cup...
Yule jamaa aliyekuja juzi hajaleta kweli hiyo vitu... mana uncle alifurahi kweli hadi akampa ndege akafuge. Swali, alimfurahisha na nini? Anyway labda ujio wake tu.Hahaaa.. sirikali inaongozwa na wavuta bhange kwa kweli.. siyo bure
Hatar na nusu khaaa
Hawana shida hawa, watu wenyewe viwanja, hata wakiamishiwa Nangwanda- Mtwara wao sawa tu.
Ndoto nzuri itachukia miaka mingapi kujenga viwanja km hivyo nchi nzimaMipango ipo mbioni kukamilika,
Tunamshukuru Mungu Kupata Rais Mzalendo, anayeanza kupaendeleza Chato, baadae itafuata Mikoa Mengine
Huu ni ubinafsi unaofanywa pekee na viongozi hamnazo. Watanzania wote tuna haki ya kufaidi keki ya TaifaNawe gombea urais ujenge kwenu maenge
Yule jamaa aliyekuja juzi hajaleta kweli hiyo vitu... mana uncle alifurahi kweli hadi akampa ndege akafuge. Swali, alimfurahisha na nini? Anyway labda ujio wake tu.
Na utaleta watalii hahah.Oyeeeeeeeee hahahahahaha nimestuka mnooo uwanja wa mpira chato? Aiseeeeeee