Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

Hivi uwanja wa mpira unahamasishaje watalii?

Yaani watalii waache huko kwao kwenda kushangaa Wembley Stadium waje washangae Chato Stadium?

Haya bana.
I
Wataenda kuangalia vya utamaduni na usije kushangaaa timu kubwa duniani zikija kutalii na kupiga tizi
 
Kwa waziri mkuu mbona tayari....!

Kwani ile fainali ya shirikisho Lipuli vs Azam ilichezwa wapi?!
Waziri mkuu naye anajenga uwanja wa mpira jimboni kwake,Mnyeti yeye huko kwao ameshauzindua uwanja wa mpira anaomiliki yeye binafsi,chato nako utajengwa uwanja wa mpira.

Fresh tu labda inawezekana sisi wapiga kura tunahitaji sana viwanja vya mpira kuliko huduma nyingine za kijamii.
 
Apeleke mbuga, hospitali, shule, maji, uwanja wa soka, Chato itabaki kuwa Chato tu.

Jepesi aliposema sirikali hii inaendeshwa na washamba hamkumuelewa. Hivi hakuna wa kusoma al badriblile zee life? Potelea mbali
 
New babutu of this generation is loading ........
 
CHATO STADIUM KUJENGWA HIVI KARIBUNI‬

‪Waziri Medard Kalemani amesema Serikali ipo mbioni kujenga Uwanja wa mpira wa Chato Stadium ambao amedai utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya Tanzania‬

___
Mipango ipo mbioni kukamilika,
Tunamshukuru Mungu Kupata Rais Mzalendo, anayeanza kupaendeleza Chato, baadae itafuata Mikoa Mengine
Charity begins at home
 
Kwa waziri mkuu mbona tayari....!

Kwani ile fainali ya shirikisho Lipuli vs Azam ilichezwa wapi?!
Pole sana ile fainali ilichezwa lindi mjini sio kule kwa waziri mkuu. Kule kwa waziri mkuu kumejengwa uwanja mkubwa ule wa lindi mjini cha mtoto.
 
Makamongo Mkuu, ndivyo WALIVYOOO! Jitihada zote hizi kule chato ni kuhakikisha hotel ya nduli na dikteta kule chato inapata wateja vinginevyo itakuwa TUPU mwaka mzima.

Hivi uwanja wa mpira unahamasishaje watalii?

Yaani watalii waache huko kwao kwenda kushangaa Wembley Stadium waje washangae Chato Stadium?

Haya bana.
 
Ahamishe na mlima Kilimanjaro na Meru pia na mount Usambara........................ na asisahau ana mwaka mmoja tena tuu huenda vyote hivyo vikawa historia.............
 
Back
Top Bottom