May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
labda huu utakuwa wa makuti, ni kivutio.Hivi uwanja wa mpira unahamasishaje watalii?
Yaani watalii waache huko kwao kwenda kushangaa Wembley Stadium waje washangae Chato Stadium?
Haya bana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda huu utakuwa wa makuti, ni kivutio.Hivi uwanja wa mpira unahamasishaje watalii?
Yaani watalii waache huko kwao kwenda kushangaa Wembley Stadium waje washangae Chato Stadium?
Haya bana.
we mis mbona kama umepanic?relax momAhamishe na mlima Kilimanjaro na Meru pia na mount Usambara........................ na asisahau ana mwaka mmoja tena tuu huenda vyote hivyo vikawa historia.............
Ndio kila mtu naye sasa awe pesident.UTAWALA HUU TUTAONA MENGI..
Daah nilionaga tu unajengwa mkuu,sikua najua hata kama ulishakamilika.Kwa waziri mkuu mbona tayari....!
Kwani ile fainali ya shirikisho Lipuli vs Azam ilichezwa wapi?!
JotowaTanzania mnajiskiaje??
Lindi kucheleeeeeePole sana ile fainali ilichezwa lindi mjini sio kule kwa waziri mkuu. Kule kwa waziri mkuu kumejengwa uwanja mkubwa ule wa lindi mjini cha mtoto.
CHATO STADIUM KUJENGWA HIVI KARIBUNI
Waziri Medard Kalemani amesema Serikali ipo mbioni kujenga Uwanja wa mpira wa Chato Stadium ambao amedai utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya Tanzania
Hapo kijani na nyekundu vipi tena?Uwanja wa mpira wa Chato Stadium
😂😂😂 hivi kuna mchezaji gani maarufu Tz anayokea ChatoCHATO STADIUM KUJENGWA HIVI KARIBUNI
Waziri Medard Kalemani amesema Serikali ipo mbioni kujenga Uwanja wa mpira wa Chato Stadium ambao amedai utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya Tanzania