makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Bado kuwasogezea na bahari kabisa, wajenge visiwa vya unguja na pembaIkiwezekana ule mlima Kilimanjaro uhamishiwe Chato kuhamasisha wawekezaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kuwasogezea na bahari kabisa, wajenge visiwa vya unguja na pembaIkiwezekana ule mlima Kilimanjaro uhamishiwe Chato kuhamasisha wawekezaji
we mis mbona kama umepanic?relax mom
Hujazaa tu ?!Dj mbowe atakuwa na hali gani?
Yaani mtu akiwa anaweweseka utamjua tu kwa kauli zake. KUzindua mbuga haitoshi, ila kujenga Chato Stadium ambayo ITAVUTIA WATALII. kila mmoja anataka kumzidi mwenzake kwa UJUHAHivi uwanja wa mpira unahamasishaje watalii?
Yaani watalii waache huko kwao kwenda kushangaa Wembley Stadium waje washangae Chato Stadium?
Haya bana.
Hapa natamani kwenda kutalii Chato..
Bado kuwasogezea na bahari kabisa, wajenge visiwa vya unguja na pemba
Ninachojiuliza tayar tulikuwa na mpango wa kujenga uwanja mkubwa pale Dodoma na hadi ikulu raman ilifika na kutangaziwa kuwa utakuwa mkubwa kuliko wa Mkapa je umeshia wapi au tumebadili gia angani?
Hutaki ?CHATO STADIUM KUJENGWA HIVI KARIBUNI
Waziri Medard Kalemani amesema Serikali ipo mbioni kujenga Uwanja wa mpira wa Chato Stadium ambao amedai utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya Tanzania
Mpaka kufikia 2025 tutayaona na kuyasikia mengi sana kuhusu ChatoWaziri Medard Kalemani amesema Serikali ipo mbioni kujenga uwanja wa mpira hivi karibuni Chato.
"Hivi karibuni tutajenga uwanja wa mpira wa miguu Chato Stadium ambao utatumika sana kuhamasisha wawekezaji na hasa watalii wanaotoka nje ya nchi yetu".View attachment 1149718
Duh! Hii kali mkuuHivi uwanja wa mpira unahamasishaje watalii?
Yaani watalii waache huko kwao kwenda kushangaa Wembley Stadium waje washangae Chato Stadium?
Haya bana.
Nadhani alimaanisha uwanja wa kufugia fisi.Utalii na mpira wapi na wapi ?
Mkuu..sio wachezaji wote wa Simba na yanga wamezaliwa daslamKwa mpira upi uliokuwepo chato? Ubadhirifu mwingine wa mabilioni ya pesa za walipa kodi.
Plan ya kujenga uwanja Dom ipo tayariMakao Makuu ya nchi hakuna uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu lakini kipaumbele ni chato!!! 😳😳😳😳
Maendeleo yumbani kwanzaWaziri Medard Kalemani amesema Serikali ipo mbioni kujenga uwanja wa mpira hivi karibuni Chato.
"Hivi karibuni tutajenga uwanja wa mpira wa miguu Chato Stadium ambao utatumika sana kuhamasisha wawekezaji na hasa watalii wanaotoka nje ya nchi yetu".View attachment 1149718