Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah kwanini mkuuHii mada imekaa kichochezi chochezi hivi. Anyways mambo yote chattle
hehee chato futuboli kilabuSerikali kujenga uwanja mkubwa wa mpira Chato
C&P
[https://pressmuusport]
Serikali imetangaza kujenga uwanja mkubwa wa mpira wilayani Chato, mkoani Geita ili kukuza sekta ya michezo nchini na kuvutia watalii na wawekezaji. Uwanja huo unatarajiwa kuwa wa pili kwa ukubwa baada ya wa Benjamin Mkapa ulipo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nishati Medard Kalemani amesema hayo wakati akihutubia sherehe za uzinduzi wa Hifadhi ya taifa ya Burigi-Chato na kueleza kwamba uwanja huo utaitwa Chato Stadium na ujenzi wake unatarajiwa kuanza hivi karibuni.
"Hivi karibuni tunajenga Uwanja wa mipra Chato Stadium ambao utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya nchi yetu" amesema Waziri Medard Kalemani.
acha upumbavu wako wewe wakati anakata hivyo viuno likuwepo kumsaidia au mlikata wote ,kwahiyo maeneo mengine yote yaliyopewa hadhi ya mkoa pia walikata viuno au huko ulikata wewe shenzi kabisaGeita wamshukuru sana viki ckamata, kwa kukata kiuno vizuri adi mkwere akaamua kuupa hadhi ya mkoa na makao makuu ya mkoa kuwa Geita, angechelewa kidogo tuu chato ndiyo ingekuwa mkoa
Kwa hiyo wazaliwa was Chato watacheza Chato FC?Mkuu..sio wachezaji wote wa Simba na yanga wamezaliwa daslam
Hivi uwanja wa mpira unahamasishaje watalii?
Yaani watalii waache huko kwao kwenda kushangaa Wembley Stadium waje washangae Chato Stadium?
Haya bana.
Upo sahihi lakini kila sekta ina umuhimu wake, wapo ambao hawaamini kwenye elimu maisha yao yanategemea sports zaidi.
tanzania , tanzania !!!!!!!!!!! nakupenda kwa moyo wote!!!
Au tubadili wimbo?Kwishnehi
Kwa hiyo wazaliwa was Chato watacheza Chato FC?
Nadhani nia zaidi ni kutangaza hifadhi ya burigi. Wanataka ijenga chatoBado sioni kipaumbele cha kujenga huo uwanja. Ni kukurupuka tu na kufanya mambo ambayo hayana kipaumbele. Yule waziri kalemani kadai uwanja huo utavutia wawekezaji chato. Wawekezaji na kiwanja cha mpira chato wapi na wapi!? Kwenye mikoa ambayo kuna viwanja vya mipira wawekezaji wangapi wamevutiwa na viwanja hivyo!?
Ni sera za kukurupuka tu na za hovyo mara tumefanya hili mara lile badala ya kuwa na vipaumbele vyenye tija kwa Taifa. Ndiyo sababu baada ya miaka 59 ya uhuru bado kuna shule chungu nzima ziko katika hali ya kutisha na kusababisha elimu yetu kuendelea kuanguka ukilinganisha na nchi nyingi jirani.