Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi ule wa mfalme umefikia hatua ganiCHATO STADIUM KUJENGWA HIVI KARIBUNI
Waziri Medard Kalemani amesema Serikali ipo mbioni kujenga Uwanja wa mpira wa Chato Stadium ambao amedai utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya Tanzania
Mbona hilo tatizo limeshaisha. Wakuu wetu wa mikoa wanalishughulikia ipasavyo
Kwasasa hakuna anayeijua kwasababu ni mpya, itatangazwa na itajulikana.
Tumetulia mkuuChato ndy kipaumbele kwa hiyo tulieni
Ova
Ikifa maana yake uongozi ni mbovu umeshindwa kusimamia Mambo. Basi bora yeye aendelee kuwepo 🤣🤣🤣🤣Akiondoka madarakani inakufa kifo cha mdudu mende
Ikifa maana yake uongozi ni mbovu umeshindwa kusimamia Mambo. Basi bora yeye aendelee kuwepo 🤣🤣🤣🤣
Huo mfano dah!Sio lazima wawe wazaliwa wa chato. Hata Simba watautumia
Umekaa poaHuo mfano dah!
Sawa mkuu, una point lakini viwanja navyo vinahitajika😳😳😳angekuwa ana uwezo wa kusimamia mambo wafanyakazi, wakulima, wafanyabiashara nchini wangelia? Uchumi ungeporomoka? Graduates wangepiga lami mtaani kwa ukosefu wa ajira?
Mbona hilo tatizo limeshaisha. Wakuu wetu wa mikoa wanalishughulikia ipasavyo
Kwako sio kwangu.Umekaa poa
Ile ya Mkapa kule Lushoto imekufa?Akiondoka madarakani inakufa kifo cha mdudu mende
Suala la ajira siyo Tanzania pekee mkuu labda jambo lingine.😳😳😳angekuwa ana uwezo wa kusimamia mambo wafanyakazi, wakulima, wafanyabiashara nchini wangelia? Uchumi ungeporomoka? Graduates wangepiga lami mtaani kwa ukosefu wa ajira?