Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

Inabidi niulize.

Hii habari ni ya kweli au watu wanapakazia tu?
 
"...there I remember when we used to seat in the government yard in trench town..oba observing the Hippocrates..."

No woman no cry...( Bob Marley)
Imenikumbusha mbali sana. Tulipokuwa na washikaji kwenye viwanja vya serikali
 
Kwa hiyo kwa sababu nchi nyingine zina hili tatizo na sisi tulinyamazie pamoja na kuwa trillions zinapotea kwenye wizi, ubadhirifu na ufisadi!? 😳😳😳😳imagine hizo 2.4 trillions alizokwapua nduli kama zingeelekezwa kwenye ajira mpya, Tanzania ingeweza kutengeneza ajira ngapi mpya!? 😳

Tusibweteke kwa kuwa nchi nyingine zina tatizo hilo basi tukae kimya kuhusu trillions za walipa kodi zinazoishia mifukoni kwa hawa wahuni, majizi na mafisadi wanaojifanya ni viongozi.

Suala la ajira siyo Tanzania pekee mkuu labda jambo lingine.
 
CHATO STADIUM KUJENGWA HIVI KARIBUNI‬

‪Waziri Medard Kalemani amesema Serikali ipo mbioni kujenga Uwanja wa mpira wa Chato Stadium ambao amedai utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya Tanzania

---------
Serikali imetangaza kujenga uwanja mkubwa wa mpira wilayani Chato, mkoani Geita ili kukuza sekta ya michezo nchini na kuvutia watalii na wawekezaji. Uwanja huo unatarajiwa kuwa wa pili kwa ukubwa baada ya wa Benjamin Mkapa ulipo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nishati Medard Kalemani amesema hayo wakati akihutubia sherehe za uzinduzi wa Hifadhi ya taifa ya Burigi-Chato na kueleza kwamba uwanja huo utaitwa Chato Stadium na ujenzi wake unatarajiwa kuanza hivi karibuni.

"Hivi karibuni tunajenga Uwanja wa mipra Chato Stadium ambao utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya nchi yetu" amesema Waziri Medard Kalemani.
Mmmh
 
Nchi yetu sasa kuchukuwa pesa za watu kwenye mabank walizofanyia kazi, kufungwa kwa biashara kodi mpaka kwa machinga halafu pesa zinatumika kwenye hobby za watu tu ambao wanalipwa mshahara na pesa hizohizo
 
Ninachojiuliza tayar tulikuwa na mpango wa kujenga uwanja mkubwa pale Dodoma na hadi ikulu raman ilifika na kutangaziwa kuwa utakuwa mkubwa kuliko wa Mkapa je umeshia wapi au tumebadili gia angani?
Chato ilitakiwa ijengwe wodi ya Vichaa na Majuha na si uwanja wa mpira!
 
Hivi uwanja Mpya Chato utakamasishaji Wawekezaji au Watalii ..............!!?
 
waTanzania mnajiskiaje??
Mfano Kuna nyuzi siku hizi sitaki kabisa kuzifungua,ni ushenzi wa kiwango Cha juu Sana waimba mapambio wanaandika, haijalishi ni siasa ila zinanijaza hasira kuu na kuzidi kumchukia huyu meko na the whole government.sasa hii Tena asee!mzee kaja kuumiza watanzania matumbo hakika.
 
Mfano Kuna nyuzi siku hizi sitaki kabisa kuzifungua,ni ushenzi wa kiwango Cha juu Sana waimba mapambio wanaandika, haijalishi ni siasa ila zinanijaza hasira kuu na kuzidi kumchukia huyu meko na the whole government.sasa hii Tena asee!mzee kaja kuumiza watanzania matumbo hakika.


D_CLjihU0AA5JqP.jpg


Eti wapewe Elimu Ha hah! shule za binaadam madawati hamna mnataka kutoa Elimu kwa wanyama?🤔
 
CHATO STADIUM KUJENGWA HIVI KARIBUNI‬

‪Waziri Medard Kalemani amesema Serikali ipo mbioni kujenga Uwanja wa mpira wa Chato Stadium ambao amedai utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya Tanzania

---------
Serikali imetangaza kujenga uwanja mkubwa wa mpira wilayani Chato, mkoani Geita ili kukuza sekta ya michezo nchini na kuvutia watalii na wawekezaji. Uwanja huo unatarajiwa kuwa wa pili kwa ukubwa baada ya wa Benjamin Mkapa ulipo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nishati Medard Kalemani amesema hayo wakati akihutubia sherehe za uzinduzi wa Hifadhi ya taifa ya Burigi-Chato na kueleza kwamba uwanja huo utaitwa Chato Stadium na ujenzi wake unatarajiwa kuanza hivi karibuni.

"Hivi karibuni tunajenga Uwanja wa mipra Chato Stadium ambao utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya nchi yetu" amesema Waziri Medard Kalemani.
Namkumbuka Mobutu seseseko haha haaaa
 
CHATO STADIUM KUJENGWA HIVI KARIBUNI‬

‪Waziri Medard Kalemani amesema Serikali ipo mbioni kujenga Uwanja wa mpira wa Chato Stadium ambao amedai utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya Tanzania

---------
Serikali imetangaza kujenga uwanja mkubwa wa mpira wilayani Chato, mkoani Geita ili kukuza sekta ya michezo nchini na kuvutia watalii na wawekezaji. Uwanja huo unatarajiwa kuwa wa pili kwa ukubwa baada ya wa Benjamin Mkapa ulipo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nishati Medard Kalemani amesema hayo wakati akihutubia sherehe za uzinduzi wa Hifadhi ya taifa ya Burigi-Chato na kueleza kwamba uwanja huo utaitwa Chato Stadium na ujenzi wake unatarajiwa kuanza hivi karibuni.

"Hivi karibuni tunajenga Uwanja wa mipra Chato Stadium ambao utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya nchi yetu" amesema Waziri Medard Kalemani.
Ndiyo maana watu wananyimwa pension zao ili wajifie mbali; na wao wachezee mpira!
 
Back
Top Bottom