Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Omba picha piaHivi ule wa Dodoma tayari naomba 'updates'
Mwanza...Ni mkoa gani ambako Kuna kiwango kikubwa Cha soccer ili ukajengwe huko?
Nadhani nia zaidi ni kutangaza hifadhi ya burigi. Wanataka ijenga chato
🤣🤣🤣🤣 NdiooooKwa hiyo wazaliwa was Chato watacheza Chato FC?
Hata wangejenga huko Kuna ambao wangelalamikaMwanza...
Naona Gbadolite ya bongo inaendelea kujengwa kwa nguvu zoteSerikali kujenga uwanja mkubwa wa mpira Chato
17 minutes ago
[https://pressmuusport]
Serikali imetangaza kujenga uwanja mkubwa wa mpira wilayani Chato, mkoani Geita ili kukuza sekta ya michezo nchini na kuvutia watalii na wawekezaji. Uwanja huo unatarajiwa kuwa wa pili kwa ukubwa baada ya wa Benjamin Mkapa ulipo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nishati Medard Kalemani amesema hayo wakati akihutubia sherehe za uzinduzi wa Hifadhi ya taifa ya Burigi-Chato na kueleza kwamba uwanja huo utaitwa Chato Stadium na ujenzi wake unatarajiwa kuanza hivi karibuni.
"Hivi karibuni tunajenga Uwanja wa mipra Chato Stadium ambao utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya nchi yetu" amesema Waziri Medard Kalemani.
Ikulu mbn ishajengwa[emoji28][emoji28] Bado Ikulu tu.
Hata wangejenga huko Kuna ambao wangelalamika
Sio lazima tufanane mawazo mkuu. Hata ungejengwa kantalamba ningeona sawa. Kwani shida ni ujenzi wa kiwanja au kwasababu ni chato?Unafeli
Yaani unafeli pakubwa
Nakuheshimu sana mkuu , ila hapa unafeli
Unafurahia kujenga uwanja mkubwa chato kweli !!!
Mbona hilo tatizo limeshaisha. Wakuu wetu wa mikoa wanalishughulikia ipasavyoSioni kujenga uwanja kule chato kama ni kipaumbele kwa Watanzania. Vipi kuhusu shule ambazo hazina madarasa, vyoo na madawati? Kwanini hayo mabilioni yasielekezwe huko!?
Nia zaidi ni kuhakikisha hotel ya nduli na dikteta wa Ikulu kupata wateja vinginevyo itakuwa empty throughout the year. Nani aende chato hiyo hifadhi ya chato katika vivutio vya watalii vilivyopo Tanzania katika dunia hakuna anayeijua.
Na uwende ubaki huko Huko usirudi huku!Hapa natamani kwenda kutalii Chato..
Lumumba wenzako wanakushangaa kwa comment ykoBavicha na chadema watapinga.
Maendeleo hayana vyama