Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

Tutaelewana tu.
IMG-20190709-WA0017.jpeg
 
Kwamba uwanja wa mpira uhamasishe wawekezaji hasa watalii? Hapa sijaelewa
 
Watalii watakuja kuutembelea uwanja kama kivutio cha utalii au watakuja kuashinza ligi yao chato???
 
Na bado, huyu jamaa hataondoka hiyo 2025 kama wengi mnavyojidanganya. Hii miradi ya long run kama Stigglers Gorge, Makao makuu Dodoma na SGR ndio vitakuwa visingizio vya kutoviacha kwani haamini mtu wa kumalizia kazi.
Chato itajengwa mpaka iwe mji mkubwa ghafla. Hivi mmeshau alivyofanya diversion ya barabara ipite kwake against initial design wakati yu waiziri wa Ujenzi? so many to see at the expense of the national unit and development...
 
Sasa tuna John Mabutu kama wa Zaire uwanja wa ndege! uwanja wa mpira pesa tunapata kwa vitisho kwa watu inatia huruma. Hivi kuna hata team Chato ya mpira?
 
CHATO STADIUM KUJENGWA HIVI KARIBUNI‬

‪Waziri Medard Kalemani amesema Serikali ipo mbioni kujenga Uwanja wa mpira wa Chato Stadium ambao amedai utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya Tanzania

---------
Serikali imetangaza kujenga uwanja mkubwa wa mpira wilayani Chato, mkoani Geita ili kukuza sekta ya michezo nchini na kuvutia watalii na wawekezaji. Uwanja huo unatarajiwa kuwa wa pili kwa ukubwa baada ya wa Benjamin Mkapa ulipo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nishati Medard Kalemani amesema hayo wakati akihutubia sherehe za uzinduzi wa Hifadhi ya taifa ya Burigi-Chato na kueleza kwamba uwanja huo utaitwa Chato Stadium na ujenzi wake unatarajiwa kuanza hivi karibuni.

"Hivi karibuni tunajenga Uwanja wa mipra Chato Stadium ambao utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya nchi yetu" amesema Waziri Medard Kalemani.
Kuna tofaut kati ya:
1- jambo zuri
2- jambo sahihi

Uki argue hili suala kwa kuangalia three dimension (premises, inference, conclusion) tunaangukia hapa "An African people can plan only for one year" - PW botha

Tunahitaj nguv kubwa sana kumprove wrong bwana Botha
 
At least ungejengwa katika eneo ambalo lina population kubwa. Chatooo??? Serious?
😀😀, Yaani mnataka maeneo ambayo hayana watu yazidi kuwa nyuma kimaendeleo? Huo uwanja wa mpira, hifadhi ya burigi na traffic lights zitafanya watu wahamie Chato
 
Back
Top Bottom