Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

Sina la kusema nisije tekwa.

Na ramani ipo tayari
Screenshot_20190709-123359.jpeg
FB_IMG_15626648288950783.jpeg
 
Hivi kwa nini asimwambie mfalme wa Morocco ule msaada wa stadium akajenge Chato badala ya Dodoma?
 
Magufuli,
Nyerere leo angelunduka kila kitu mkoani Mara je mikoa mingine ingeendelea lini?
Acha ubinafsi.
Mtwara hadi Leo hujalipa korosho zao. Mungu atakuhukumu kwa kuwa hutendi haki.
 

Attachments

  • Screenshot_2019-07-09-12-30-28.png
    Screenshot_2019-07-09-12-30-28.png
    43.2 KB · Views: 34
Walisikika wakijaribu kumfurahisha kuhani mkuu (Kayafa) kwa kuyapamba maeneo alikozaliwa, ili wapate kuendelea kumlamba miguu, hata pesa za wakulima waliokuwa wakiidai serekali hazikuweza kulipwa naam, masikini hana haki katika utawala wa Kayafa.
 
Back
Top Bottom