mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mjifunze na vitu vya kusifia.
Huyo huyoUnamzungumzia JPM?
Angekuwepo wangesema wamenunuliwa...Naomba niwe wa kwanza kunyosha mikono kwamba nimepita huko mitandao mingine nimejionea mabandiko ya huyu mwamba.
Nikaona aibu nikasema ngoja nirudi tu WhatsApp. Wakati nachungulia status, nikakutana tena na mabandiko.
Nimeamua kuzima simu yangu na kulala, hivi huu uzii ndio namalizia kupost ili nimalizie kulala.
Hii siku sio nzuri kwangu kabisa, ni legacy gani yenye nguvu kiasi hiki. Yaani hadi vitoto vinapost status za huyu jamaa.
Magufuli jina lake limeandikwa kwa wino wa dhahabu katika mioyo ya watanzaniaMkuu huyu mwamba alipendwa na ataendelea kupendwa tatizo kuna watu wachache walichukia jamaa kupendwa na mpka sasa wanachukia mwamba kuendelea kutrend kwenye mitandao ya kijamii. Sio kwamba hawakubali kazi zake bali wanachukia mwamba kupendwa na hivyo wanatafuta ubaya wa kila namna kumchafua lakini hachafuki.
Ujanjaujanja Umerudi Kwa KasiKama mtumishi wa umma, nitakuwa wa mwisho kumkubali.
Naomba niwe wa kwanza kunyosha mikono kwamba nimepita huko mitandao mingine nimejionea mabandiko ya huyu mwamba.
Nikaona aibu nikasema ngoja nirudi tu WhatsApp. Wakati nachungulia status, nikakutana tena na mabandiko.
Nimeamua kuzima simu yangu na kulala, hivi huu uzii ndio namalizia kupost ili nimalizie kulala.
Hii siku sio nzuri kwangu kabisa, ni legacy gani yenye nguvu kiasi hiki. Yaani hadi vitoto vinapost status za huyu jamaa.