mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hapana.ukweli usemwe ana busara hana mipasho Kama mama wengine.
Angekuwa mwingine angeshaita na mapress conference kibao tangu afiwe.
Mimi najua kumsoma mtu akiongea najua ni mtu wa aina gani
Angekuwa mwingine angeshaita na mapress conference kibao tangu afiwe.
Mimi najua kumsoma mtu akiongea najua ni mtu wa aina gani
Mjifunze na vitu vya kusifia.