Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zirushe wewe basi mkuu.Wamesahau kurusha tukio za kupiga risali kuteka kutesa na kuua watu
Magufuli apumzike kwa amani.Hakika JPM alijenga hii nchi kuliko Rais yeyote na ndani ya muda mfupi tu.
Apumzike kwa amani mbinguni.
Magufuli alirekodiwa akipiga risasi? Au vipiWamesahau kurusha tukio za kupiga risali kuteka kutesa na kuua watu
Ni kwelKama mtumishi wa umma, nitakuwa wa mwisho kumkubali.
Pingapinga kibaruani!... unaamini kabisa kwamba Tanzania imekuwa ya kisasa? Hata 10% ya Ukraine hatujafika.
Amina. Hopefully yupo mbinguni.Magufuli apumzike kwa amani.
Heshimuni taaluma, walimdhalilishaje?Chini ya kikeke na zuhura bbc swahili walitumia miaka mitano kumdhalilisha magufuli
... kiwanda cha toothpick kipo wapi nchi hii ndugu? Halafu wanataka tuamini Tanzania imekuwa ya kisasa! Wakadanganya wajinga huko.Pingapinga kibaruani!
Amen.Amina. Hopefully yupo mbinguni.
Kipo Moshi pamoja na kile cha viberiti.... kiwanda cha toothpick kipo wapi nchi hii ndugu? Halafu wanataka tuamini Tanzania imekuwa ya kisasa! Wakadanganya wajinga huko.
Chini ya kikeke na zuhura bbc swahili walitumia miaka mitano kumdhalilisha magufuli
Hakika JPM alijenga hii nchi kuliko Rais yeyote na ndani ya muda mfupi tu.
Apumzike kwa amani mbinguni.
Amina. Hopefully yupo mbinguni.
Hao ni vibaraka walioandaliwa kwa siku ya leo.
Watu wanaawaangalia tu kwa jinsi wanavyojifurahisha. Wanatumia nguvu nyingi sana kulazimisha huyu mtu akubalike na wanajitahidi sana kufunika maovu yake.
Wanaovaa mavazi ya kidini wanatumika tu kufanikisha huu mpango wa kujidanganya
Pmj na mambo mengine ile hyu mze alikuwa jiwe na mwamba kweli kweli nnchi nzima tulivyata mkia hakuna aliweza kunyanyua kichwa juu akabaki salama
Pmj na kuwafuga kina makonda na sabaya na kuua democracy kbsa Ila haiondoi kuwa huyu mtu alikuwa Ni rais Africa inataka
Kipindi cha BBC Dira ya Dunia leo kimetumia zaidi ya dakika 7 kuelezea maendeleo mbalimbali yaliyoletwa na hayati Magufuli nchini Tanzania..
Wananchi wa maeneo tofauti wamehojiwa na wote wamesema Magufuli alikuwa kama nabii Musa aliyewatoa Waisrael Misri lakini hakufanikiwa kufika nchi ya Ahadi Caanan.
Source: BBC Dira ya Dunia
Mangula kasema leo hakuna aliepewa kadi ya mwaliko wote waliokuwepo pale ni kwa upendo na mvua ikawanyeshea lakini wakakaa bado japo wapate maneno ya faraja iliwapunguze machungu yao….
Mimi binafsi yangu kwa leo Jaji Mkuu, Mpango na Mangula ndio walionifariji…