Chato: Yaliyojiri katika Maadhimisho ya mwaka 1 wa kifo cha Hayati Magufuli. Kasala, tusimamie ukweli na haki. Samia kuendeleza Mema

Chato: Yaliyojiri katika Maadhimisho ya mwaka 1 wa kifo cha Hayati Magufuli. Kasala, tusimamie ukweli na haki. Samia kuendeleza Mema

Mkuu
Huko unakoelekea sio
Mambo ya familia waachie wenyewe wewe sio msemaji wao.

Ila magufuli alikuwa ni kufuli kweli?
Sijaongelea mambo ya kifamilia nimeongea kama mwananchi wa kawaida nileyeona ,kusikia na kushuhudia yaliyotokea na yaliyopo sasa na yanayoendelea
 
Back
Top Bottom