Jamaa ana nasaba ya interahamwe.Mimi sikuhusiki na chama chochote ila tu ni muumini wa utaifa ...sisi hatuna vyama ..ndio nawaambia hakuna sitting president aliyezuia wapinzani kufanya kampeni kwenye mkoa ,wilaya au kijiji chake .Msifanye vyombo vikamzira .
Na kwa vile uvumi huu umesikika mapema na vyombo vyote vya ulinzi na usalama basi kama yatatokea na ring leaders na wafuasi wao hawatakamatwa serikali haina pa kukwepa...basi wanatakiwa waendelee na shughuli zao ili Tundu Lissu akifika Chato akose watu wa kumsikiliza.
..kumfanyia vurugu kama kumrushia mawe, au kujaribu kumdhuru kwa namna yoyote ile, ni kuvunja sheria.
Mkuu unazungumzia kushinda au kutangazwa?Namkubali sana Lissu hasa kwa 'Akili' yake Kubwa, Kujiamini na kuwa 'Legal Guru' mzuri tu ila kusema kuwa atashinda mbele ya JPM ni ndoto mno.
Haya matukio ya kufanywa na CCM kisha kudai kuwa ni saccos ndiyo upumbavu ambao wananchi wamewaona CCM ni vilaza watupu, iweje ufanye hujuma kisha chadema akilalamikia hujuma zako unakuja na hoja za kishamba kuwa wanasaka huruma, kama chadema ni saccos iweje kutwa mnashinda mkiwabambikia kesi kesi? Iweje mnawapiga risasi? iweje mnatumia Polisiccm na NECCCM Tumeccm kama chombo binafsi cha CCM? acheni uhuru wananchi wajiamlie wenyeweHaya ni matukio ya kufanywa na "saccos" ili kuongeza joto la uchaguzi na kuonyesha kwamba wanaonewa ili wapate kura za huruma, maana wanajuwa wameisha shindwa, iliyobaki ni kuharibu tukose wote
Idi Amini mkubwaah wewe,tena utulie na uwe adabu.CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana
Ratiba inamtaka kuwepo kule
Watamtangaza hata kama hawataki....chezea beberu wewe!!!Exactly, hawawezi kumruhusu walivyo mashetani wakubwa. Lissu anashinda mapema asubuhi, shida ni kumtangaza! Tunafanyaje?
Na wao wamechoka mwenyekiti wao kuwa fanya washamba kama yeye!Mbona uzi umejaa wana CCM humu,Leo Magufuli si yupo mburahati huko Uzi wake haufiki hapa page 90[emoji3][emoji3]kwanini hawaendi kumsapoti? au sababu kwenye mitandao Hamna malori na wasanii wa kuleta wachangiaji
Lissu ni habari nyingine,mvuto wake sio wa kitoto[emoji3]tuendelee kumsapoti
Huku kwetu naonaga wakichanga nauli zao na kukodi daladala.Hivi Hawa watu wanaosombwa hua wanafungwa kitambaa machoni,miguuni na mikononi kwamba lazima waende? Mi nafikiri Ni kwa mapenzi yao ndo maana wanavalia jezi ya chama na kusubiri usafiri mahali walipokubalina kukutana.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Kuna vipaumbele vya nchi na vya mtu binafsi sio vyote lazima viwe vipaumbele vya Chato vingine ni vya kitaifa
Mfano Serengeti kuna uwanja wa ndege lakini si kipau mbele cha wana Serengeti ni cha kitaifa
Mfano kipaumbele cha wana Chato ni Lissu? au CHADEM
Ukerewe alishatoka huko? Ulikuwa wapi wewe au ulikuwa umefungiwa kwenye box la chakubanga?Mwambieni Lisu ukerewe wanamsubiri atawakoma
Walikufa wakerewe mamia Chadema hawakutoa mtu kwenda kuhudhuria mazishi halafu wanajitia kwenda kuwaomba kura.Wakerewe hawajasahau
Mdee anena kuhusu viongozi wa CHADEMA kutohudhuria mazishi ya waliokufa kwenye ajali ya MV Nyerere
Huku JF kuna haki hakuna ujinga kila mmoja yupo huru kule Whatsapp maccm hutamba kuwatukana watu sana lakini huogopa kuwajibu kwa hofu ya kubambikiwa kesi ya uhujumu uchumiMbona uzi umejaa wana CCM humu,Leo Magufuli si yupo mburahati huko Uzi wake haufiki hapa page 90kwanini hawaendi kumsapoti? au sababu kwenye mitandao Hamna malori na wasanii wa kuleta wachangiaji
Lissu ni habari nyingine,mvuto wake sio wa kitototuendelee kumsapoti
Acha kuweweseka, Lisu kawashika vibayaYaani utafikiri kwenda Chato ni kushinda bahati nasibu,
Mambo ya Chadema kama watoto wa sekondari vile.
Hata ICC wana mwakilishi wao chato mda huu anaangalia jinsi OCD na Polisiccm watavyofanyaNa kwa vile uvumi huu umesikika mapema na vyombo vyote vya ulinzi na usalama basi kama yatatokea na ring leaders na wafuasi wao hawatakamatwa serikali haina pa kukwepa.
Aibu itakuwa sio kwa serikali, NEC na polisi pekee Bali hadi huyo ambaye huko ni kwao.
Hii Ina dhihirisha Ile dhama ya maendeleo hayana ubaguzi kuwa ni fikirishi zaidi ya uhalisia. Nakuwa tumeunganishwa zaidi Kama watanzania kuwa sii kweli Ila tumegawanywa zaidi. Kwa pamoja tuwakatae watu wanaohimiza utengano was taifa kwa sababu zozite, iwe kisiasa, kiuchumi, ama vyovyote vile.Leo hao Interahamwe walioandaliwa na Gwajima tuwaone ,tunajua Gwajima kapewa kugombea ubunge kwa kazi yake yenye ushahidi kila mahali kuwa anaongoza kundi la msituni la kikabila eti lenye lengo la kumlinda Magufuli , as if TISS na Vyombo vimeshindwa ....na tunajua kuwa leo wanataka kufanya vurugu kubwa sana .......kwenye demokrasia hakuna jambo la ajabu ...Dr Slaa alifanya kampeni hadi kijijini Msoga na alimuweka kwenye hot soup Kikwete kwa kuwa na nyumba nzuri huku wanajijiji wenzake wana nyumba za nyasi .....baada ya ule uchaguzi kikwete alijitahidi kuboresha uchumi na nyumba za wanakijiji wanaomzunguka ....
Hadi Lupaso kampeni zilifanyika na Mkapa akachekwa kwa kutokuwa na nyumba ya maana kijijini , AKAJENGA ....HIII NDIO DEMOKRASIA .....wanaotaka wapinzani wasifanye kampeni Chato wanaweka predecence ya ajabu sana ..sio utamaduni wetu huo
Wote tuchukue ushahidi wa ninani anafanya uovu,ili kujenga taifa lenye kuheshimu ,Uhuru,haki na Sheria.Hata ICC wana mwakilishi wao chato mda huu anaangalia jinsi OCD na Polisiccm watavyofanya
Mradi mkubwa wa kutafuna pesa CCM kwa sasa ni mbinu za kuihujumu kuidhoofisha chadema kila anayekwenda na mbinu za kuteketeza chadema anapewa pesa na cyprian Musiba chini ya uratibu wa polepole .Na wao wamechoka mwenyekiti wao kuwa fanya washamba kama yeye!
Achana na hao wehu,Nyerere alishasema watu wakishindwa sera za maana wanaanza kukimbilia udini na ukabila unabii umetimia.Wewe ndio baba yake Bro hadi umpangie kwao.
Haya Burundi kijiji kipi au Wilaya IPI.
Do I look like I care?Usipoambiwa kuwa huwa unapuuzwa hautajua
Nyerere alisema watu wakishindwa ubora wa sera wanakimbilia udini na ukabila, ila wewe Idi Amini naona umekuja na ubaguzi wako wakipee kabisa niuite Uinchi.Mtukufu magufuli ni raia toka Burundi na katibu mkuu Bashiru ni raia toka Rwanda na mzee mangula Asili yake ni Malawi kwa kifupi CCM inaongozwa na wageni wenye Asili za Nchi jirani